Ni yule mrembo wa kitanzania ambaye anaiwakilisha nchikatika shindano la kumsaka Miss Africa United State,shindano lililoshirikisha wanafunzia wa kiafrikawasomao huko.


Rachel ambaye ni mdogo wa Miss Tanzania 1999 HoyceTemu alipata tiketi hiyo baada ya kushinda taj la MissAfrica California mapema mwaka huu.
Rachel anashindana na warembo wengine wapatao 18 kutoka nchi tofauti ikiwepo Congo, Senegal,Nigeria,Kenya , Sierra Leon,Uganda , Cameroon,Gambia,Ethiopia, Zambia, Gambia na South Afrika.


Warembo wengine wanaowania taji hilo ni kutokaBurundi,Liberia,Burkina faso, Sudan, Ghana na Guinea
Ili kumchagua Rachel bofya humo
http://www.missafricaunitedstates.com/mausa/vote.htm ambapo utaona picha za warembo wote na chini yake unaichagua Tanzania na bofya tena Vote.

Shindano hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 3 hivyo Shime Shime Watanzania.....Tumtoe kimaso maso Rachelaweze ipeperusha bendera ya TZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 39 mpaka sasa

  1. sizani kama atashinda kwani wasichana wa burundi ni wazuri sana

    ReplyDelete
  2. hata tukavote vipi hawa wote kama wabongo tu. Wanigeria wampe mwingine kuliko wa west africa!!!! Itakua vichekesho.

    wameshasema hata ukivote...poll hiyo haiaffect uamuzi wa majudge.....

    Hii ni shindano la kwao kusaidaiana scholaship na wengine wanasindikiza tu.

    ReplyDelete
  3. She is a very beautiful lady with romantic eyes, smile to die for, beautiful complexion and wowowo la kukata na shoka udenda unakutoka kwa kuliangalia, guu la kihaya limenona kuanzia juu mpaka chini....halafu muweke yule Rachia sijui racia wako kama ataona ndani...Yeah! Black is beautiful!
    Michu hebu nipenyezee email yake...maana natafuta mchumba.

    ReplyDelete
  4. Basi mtuonyeshe hao warembo wengine ili tuweze kupiga kura. Kwani lazima tumpigie huyu kwa vile ni Mtanzania? Haya mashindano kama ni fair to all, basi tuwache tujichagulie tunayemtaka ashinde!!!!!!! Kuna watanzania wengine wanaoshindana naye au yeye tu?

    ReplyDelete
  5. This girl is beautiful, she was amazing in Carlifornia. Ohh my God she was the only girl from Arizona and was able to kick off the girls who are from Vegas and Carlifornia.
    She is full of talent, Rachel break the history since she is the First Tanzanian to be on the competition.
    Wlifamnyia mtimanyongo wa Miss Arusha sasa angalia anavyotikisa. Rachel anang'ara Carlifornia kwani she is VIP for every event.
    Please let us vote for her, she is something, am telling you guys. Let us vote for her every day, till Nov third. RACHEL I WILL VOTE FOR YOU. PLEASE SHOW THEM WHAT TANZANIA HAVE. GOOD LUCK MY DEAR. aLL THE BEST, AND i WILL BE IN ATL FOR YOU.

    ReplyDelete
  6. Rachel my dear, punguza make up kidogo. You wear too much make up yaani inaficha hata sura unabadilika kidogo. Tafuta professionals (make up artists) wakutengeneze. Yaani wala hauhitaji kukandika that much.

    ReplyDelete
  7. leo bwawa la maini mmepingwa basi anayeyusha stori .maneno mengi.ha ha ha

    ReplyDelete
  8. KAKA MICHUZI HATUWEZI KUWA TUNASUPPORT VITU VINGINE AMBAVYO HAVIELEWEKI...HII KITU NI NO NO NO KABISA HUYU DEMU HAWEZI KUWA MISS KITU CHOCHOTE ANA MTINDI KAMA ANANYONYESHA MAJAMBAZI YA KIZAIRE HELLLLL NO..TUMEKATAA KUMPA KURA ZETU HATA KAMA DADA YAKE ALIKUWA MISS JOSEPH KUSAGA TANZANIA...

    ReplyDelete
  9. Michuzi sasa na wewe uwe fair, tumpigie kura kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu au tumpigie kura kama anafaa? Mi haijalishi ni nani, nitampigia aneyefaa, maana na mimi katika maisha yangu nimefanikiwa on merit na sio kwa sababu mtu alinijua, tukienda hivyo watoto wa wakulima hatuwezi kufika mbali. Maana haitakuwa haki kumnyima kura Mburundi au msenegal kama anafaa ati kisa, nimpe mtanzania mwenzangu. Ila kama Rachel anafaa basi nitampa kura yangu, ila kigezo cha Utanzania mimi sikifagilii! Nafagilia uwezo wa mtu.

    Kila lakheri washiriki wote!

    ReplyDelete
  10. Yeah she's attractive but my vote goes to Miss Eritrea,she's simply drop dead gorgeous.
    No offense to my Tanzanian brothers and sisters lol!

    ReplyDelete
  11. MH!
    MIE WALA SIELEWI!

    ReplyDelete
  12. Huku Marekani kuna sikukuu inaitwa Haloween..ndo wanavaa make-up namna hiyo..I don't know about your talents lakini jamani punguza kidogo hiyo make-up....hayo ni madude ya weupe..sisi wabongo natural looks zinatosha..au watafute wamassai wakufundishe kuweka make-up..Ila nakutakia kila la kheri..japokuwa competition unayo dada....!!

    ReplyDelete
  13. Kwa kweli Rachel chakula ya mtoto anayo. Kama majudge watafikiria na hilo basi kesha kuwa MISS.

    ReplyDelete
  14. DADA TUNASHUKURU SANA KWA JUHUDI ZAKO NA MWENYENZI MUNGU AKUSAIDIE. SISI WABONGO HATUVOTI HOVYO HOVYO MPAKA TUONE MUWAKILISHI ANALIPA KAMA HULIPI HUPATI KITU DADA.HII ITATUSAIDIA KUWA NA WAREMBO SAHIHI. FLAVIANA ANALIPA.

    ReplyDelete
  15. huyu demu amezeeka,si apumzike au huu ukoo wa Temu tangia Hoyce wameona hii ndiyo dili na hakuna mambo mengine katika maisha?

    ReplyDelete
  16. Jamani nataka kuwaambieni Rachel kuwa na mtindi ni Mungu kampa. Kwanza ndio fashion marekani angalieni waakina Pamela Anderson wanavyofanya implants ili wawe na maziwa makubwa. Huyu dada ndiye mtanzania aliyefunika Carlifornia, Arizona na Las Vegas. Sio tuu kachaguliwa bila vigezo. Hata ukiangalia website event ya Carlifornia Rachel ndio kafunika.
    Cha kushangaza wewe mpumbavu unayetukana, haujalazimishwa kuvote, bali umeombwa kwa hiyo huo ni uamuzi wako.
    Ninachooomba michuzi, mwambie Rachel akutumie more pictures kwani anapicha nzuri, saana, na yeye mwenyewe bomba kishenzi, kwa wale ambao hamjamuona.
    Binti Rachel ndiye mtanzania pekee anayetuwakilisha, na ukitaka undani wake soma biography yake. Lakini ni MTANZANIA PEKEE. Kila mtu anauamuzi wake, hivyo ukishabofya wewe nendaga uakachague umpendaye, but Rachel is the HEAT. Subirini moto wake, kwani anaongea na stage na anajua kuvutia watu stejini. This girl is something mimi namtabiria mema, na dada ukishinda niko tayari kutoa ticketi ili uende tanzania ukawaonyeshe what you did. Allllllllllll the best RACHEL. Good luck!!!!

    ReplyDelete
  17. Ushauri wa bure kwa miss Temu. Biography is too long with full of lies. International student active member pale sio mahala pake. Make short and clear, kuexplain mpo wangapi, sijui kuna kaka yako mlevi sijui nini haimake sense. Make short and clear that is american way baby. CV ndefu kama Hilary clinton.

    ReplyDelete
  18. bila kusema uongo miss TZ hamfikii hata kidogo wa somalia, eritrea, ethiopia wala nigeria. ingawa mimi ni mzalendo lakini nitaenda na miss ERITREA kwa umiss ni uzuri wala sio utaifa.
    kasera
    kansas city

    ReplyDelete
  19. ndugu yangu mithubu hiyo NIDO mmmhhh!?!?!?

    ReplyDelete
  20. anon wa Tarehe October 4, 2007 3:04:00 AM NAMBA 4 KUTOKA MWANZO

    ACHA UJINGA kuvutia WAHAYA WEWE muhaya nini NYAMBAFU huyu demu NI MUCHAGA BABAANGU POLE SANA

    mnaochonga mtatulia tuuu tumeshawazoea WAKUJA NYIE HATAKA KAMA SIO MZURI MCHUNA NGOZ HUVUTIA KWAKWE akifanikiwa NI MANUFAA KWAKWE TAIFA NA WEWE PIA KENGE Nyie

    X_X

    ReplyDelete
  21. kwa kweli hiyo kitu ya ERITREA sio mchezo...dada Temu samahani hapo hupati kura yangu lazima mzuri ashinde

    ReplyDelete
  22. Mimi mtanzania lakini nitampigia huyo wa Kenya

    ReplyDelete
  23. NASIKITIKA BINTI UMESEMA UONGO! KUJAZIA RESUME YAKO. UMEDAI WEWE NI MWANZILISHI WA BUNGE LA VIJANA.KWA HARAKAHARAKA; UMEZALIWA MWAKA 82, MEANING UNA MIAKA 25.BUNGE LA VIJANA LILIFUNGULIWA PALE MSIMBAZI MWAKA 98.WITH MAJORITY OF STUDENT BEING FOR 5 AND 6.SWALI AT 16 WERE U ALREADY IN HIGH SCHOOL?????.THIS WILL QUESTION OTHER CREDENTIAL OF YOURS!!! ANYWAY U WILL PATA MY KURA!

    ReplyDelete
  24. Honesty, Competition anayo. Hiyo photo shoot siku hiyo waliokua naye walimshauri vibaya too much makeups. na hii picha wameiedit ikawa too red.

    Kuna picha za wengine ziko natural kishenzi...wow....kwa wale tusiokujua hizi picha zimeharibu sana...Goodluck

    ReplyDelete
  25. WE ANON WA 8:17 ANGALIA MANENO YAKO.KUMBUKA MWANAMKE NI MAMA,DADA,SHANGAZI YAKO.USITUMIA MANENO KAMA ANA MTINDI SIJUI NINI.WEWE AMESALIWA WAPI? NI MUTU YA WAPI WEYE? ACHA MAWIVU YAKO EEE.
    KAMA UNAMCHUKIA MEZEA BASI.KNOW ALL
    YOU SAY BUT DONT SAY ALL THAT YOU KNOW.
    JUNIOR-TURKEY

    ReplyDelete
  26. Mi nimekubali Miss wa DRC. Her smile blows me off. Temu acha uzushi kama sista yako

    ReplyDelete
  27. hawa watu ndio wapotofu wakubwa wa jamii wanafanya mambo ya umiss yanamtazamo tofauti jana nili vote kimakosa anyway kazi kwako mungu nisamehe shetani aliniingia

    ReplyDelete
  28. jamani waangalieni kinadada hawa Nigeria na Senegal i think ni wazuri zaidi ya huyu dada yetu.....

    ReplyDelete
  29. Senegal na Nigeria ni wazuri zaidi yake.

    ReplyDelete
  30. tanzania ni kwa mwendo wa uongo uongo tu ndio uawin... Unashangaa CV ya huyu mwanadada ingia bunge la waheshimiwa wetu uone vichekesho...
    Kuna mbunge namfahamu akabisha ameonyesha ana degree mbili hahahahhahah.....

    ReplyDelete
  31. piga ua miss eritrea lazima aenda labda akina michuzi wafanye yale waliyoyafanya kwenye mizz tz 2007. yetu macho...
    kasera
    kc

    ReplyDelete
  32. Wewe anony wa 4.40 watoto wa vikopo utawajua tu lazima watie matusi tu! Duh. Hivi umeshamjua baba yako ni nani? au ndio hasira za kutomjua baba yako mzazi unataka kurusha matusi kwa kila mtu. Mungu hakukosea kukufanya mtoto wa kikopo.

    ReplyDelete
  33. Michuzi utaniambia, labda niwe nimekufa na hii iwe ni rekodi, RACHEL NDIE ATAKAYESHINDA, kubalini mkatae ni shauri yenu.
    Na kwa ufupi tuu, ningependa kuwajulisha bunge la vijana lilianza in 1997, amabapo shule za Dar-es-Salaaam ikiwepo, Tambaza, Makongo(Rachel alipokua akisoma), Shaaban Robert, Jangwani, Zanaki, Azania na baadhi zake ziliunda bunge hili. Kiongozi mkuu alikua ni Sebastian Ndege akiwa muwakilishi kutoka Tambaza.
    Nakumbuka rachel alikua Form two, alipokuja, she was very motivated and signed up for the bunge la vijana.
    Kwa ufupi Binge la vijana linahusu wanafunzi wa sekondani tuu, kwa kipindi hicho. Na likikua likifanyikia Karimjee Hall.
    Watanzania hamtakaa tuwe na maendeleo, huyo fala Kasera wa Kansas anaongea ushenzi tuu kwanza mazamiaji unaropoka tuu. Kama hutaki kuvote hujalazimishwa acha, na ucha alaaa.
    Rachel, wasikuzingue, YOU GOT IT ALL. Tunakusupport for every move you have made till today. Kaza mwendo ufike mama. We love you.

    ReplyDelete
  34. Nipo bize kidogo nasikiliza "brand new second hand" ya PETER TOSH.

    ReplyDelete
  35. wewe anony 8:57AM take your words back eti labda uwe umekufa!!!! Nakwambia labda uanzishe shindano lako umpe ushindi wa bure lakini hata kama ni mtanzania mwenzangu...penye ukweli lazima pasemwe.

    ReplyDelete
  36. Wewe Karigabagaho...acha upuuzi...unafikiri mabunge ya secondary yanamfanya mtu kuwa Miss somebody? Kama hujui kuvaa make-up utakuwaje Miss somebody? Labda wa huko gezaulole na kigugumo..!! Hapendwi mtu hapa..kama hujui kuvaa make-up na nywele kama ndama aliyetoka kulambwa na mama yake...Lol..usituletee za kulete..hapo dada Rachel...."IMEKULA KWAKO".....!!!

    ReplyDelete
  37. Good luck on this competition. I am routing for you.
    Halafu watanzania tuwe na tabia ya kupeana moyo badala ya kuvunjana moyo..ndio namna pekee ya kukuza vipaji. sasa hapa wengine mmeshaanza ooh mara CV, sijui imekuwa nini, who cares? wewe unayesema huyu binti amedanganya kwenye CV yake, wewe umeshadanganya mara ngapi?

    ReplyDelete
  38. Dada huyo kweli ni mzuri lakini mbo ni mshamba sana hiyo rangi ya mdomo yatatarisha namna hiyo asipake sana hivyo ataonekana mnigeria bure.Wapambe tupo atutafute.Kura nitapiga lakini ngoma nzito wadada wa west wababe san watpeana wenyewe na sura zao nzito.Wadau pigeni kura msilete vilomo lomo sasa mkawapigie wakenya na wazambia maana hao ndio mnaoa kila siku eti nini hakuna anayewaangalia na kila kitu yes sir.Watanzania wazuri jamani,nyie mnao oa waganda na wazambi kweli mnakosa vilimbwende.Mimi siono ubaya wa huyu dada ila tu mekapu zipunguzwe ziwe neutral.

    ReplyDelete
  39. rachel mwaya usiwasikilize hawa mambwiga..!!
    mnasema tu uzuri uzuri...nyie mlipo huko ni wazuri..????
    Km yupo mzuri kushinda huyo RACHEL,JITOKEZE BASI TUKUONE?????PAMBAFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFF!!!

    nani kathibitisha kuwa aliyoyasema kny CV yake ni uongo???
    ht kama kweli kadanganya nani ambae hajadanganya?????wangapi hapo mnatumia PC za ofisini,nafasi mlizozipata kwa njia ya udanganyifu?vyeti bandia na upuuuzi mwingine??!
    sijui mkoje??,eti jitu linasema waaaazi unaenda ku-mvote mtu wa ERITREA...sasa UNAMKOMOA NANI???si uende??hovyooooooooo!

    Ney,bham

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...