jj blue pamoja na ruaha vimefungwa hivi karibuni kwa sababu zisizojulikana na lady jd na bendi yake ya machozi wamehamia chinese club iliyoko barabara ya bagamoyo rodi kiasi cha gia mbili hivi upande wa kulia ukiwa unatokea morocco. wadau kibao waliofika hapo kwa shoo ya kwanza ya kila ijumaa wamepasifia sana mahala hapo wakisema ni penye ubora na nafasi nzuri zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. HUYU MAMA KUSHOTO KUVAA UCHI NDIYO NINI?

    ReplyDelete
  2. ukiambiwa msanii au super star ndiyo utembeeee uchi??????

    unatofauti gani na MALAYA
    ANAYEUZA UCHI

    ReplyDelete
  3. Chinese Club mbona hatuoni Wachina?

    ReplyDelete
  4. Sio kila wafanyacho maselebriti wa huku Ni cha kuigwa jamani.. hivi we dada huna kaka dada na wajomba.. tukiacha mbali wazazi.. kama huwaonei haya hao.. utamuoneaje HAYA MUNGU WAKO>. Amka mama.. kuvaa huko sio wala nini.. halaf kwa Taarifa yako utaishia kutembea na wakware tu... ila hutopata mwanaume decent hata siku Moja... kwani Sisi hatufagilii wala nini shorty wangu awe anaonwa na kila mtu alivyo.. Duh.. hii kweli utumwa wa akili.

    We haya wee..

    Mkandamizaji mwandamizi.

    ReplyDelete
  5. wewe mwanamke uliyekaa uchi ndiyo uliyeharibu picha hii ya hapo juu

    wenzako wote wanapendeza isipokuwa wewe sijui umekosa nini hata utembee uchi

    jee una ugonvi na wazee wako

    pengine wamekukosea

    na wewe ndiyo unawalipa ila kama baya lolote litakurejea mwenyewe na siyo wazee wako

    kila lakheri mwenyezi mungu atakusaidia

    ReplyDelete
  6. Jamani mbona mnamsema vibaya huyo dada, kwani kosa gani kafanya kama angekuwa uchi basi asingefika hapo alipo kula raha.Tatizo ndugu zangu muna mifadhahiko ya akili ndio maana mumepei attenisheni kwa huyo kwini halafu muna sahau kama Bongo kuna joto sana.

    ReplyDelete
  7. Baba kwenye picha.....MKE WA MTU! baba!!....huyo mchukulie kama NYOKA MWENYE SUMU KALI....uzungu gani huo wewe!!! hapo ukikaguliwa utakutwa mambo hayajakaa sawa....shauri lako...halafu umepiga naye picha zaidi ya moja...SHAURI YAKO!!....ushakumbana na neno "manslaughter"....haya endelea na kasi hiyo hiyo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...