Hafla ya kuchangia mfuko wa maendeleo ya elimu mkoa wa kagera
Mgeni Rasmi :Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Mahali: Diamondi jubilee hall
Muda: saa moja usiku
Mahali: Diamondi jubilee hall
Muda: saa moja usiku
Tarehe: 28/11/2007
Maendeleo ndo nia yetu wote kwa kujenga taifa lililo bora
Ahsanteni na karibuni
+255 715 524372
+255 754281229
You are invited to contribute/ support or donate generously by depositing the money in the special Account No. 2236600029 operating in the name “MKUU WA MKOA – KAGERA DAY” with the National Microfinance Bank,
NMB House.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,
S.L.P 299,
Simu Na.+255 282 222015
Fax +255 282 222 341
BUKOBA,
KAGERA
Eeeh, wakora waitu!!! hawa jamaa c ndo wanajifanya wamesoma na wanahela kuliko wote TZ, sa mbn matatizo madogomadogo km haya wasiyasolve wenyewe mpaka watuombe msaada na wengine!!!! Mpoki vip? jitetee hapo!!! ze comedy oyeeee
ReplyDeleteunajua hata msomi asiyekuwa mchoyo huwafundisha wengine njia za kujiletea maendeleo kwa vitendo.hilo nalipongeza kwa mfano huu wa akina Nshomireeeeeeeeeeeeee!!!!
ReplyDelete