mchezo kati ya timu ya taifa ya bara, kilimanjaro staaz na ya zambia, chipolopolo, inaendelea hivi sasa neshno hapa dar na staaz inaongoza kwa bao 1-0 lililowekwa kimiani na mchezaji chipukizi mike chuma katika dakika ya pili ya mchezo kipindi cha kwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kudadadek...kidogo inatia moyo, ila hujatuambia km vijana wamepiga samba au ndo bado kichwa cha mwendawazimu style!!! weka uchi Michuzi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...