mzee wa mabling bling hussein macheni akiwa na wanamuziki wa fm academia wana ngwasuma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. oya nina hamu sana ya kumjua huyo blingbling macheni..sasa sijui ni yupi maana hao jamaa 2 wa upande wa kulia wapo bling micheni vibaya vibaya..oya masela nataka kumjua kati ya hao jamaa..MACHENI NI YUPI????/

    ReplyDelete
  2. macheni ni huyo mnene mwenye nguo ya kitenge. Huyu jamaa ni maarufu sana bongo lakini umaarufu wake ni wa kuvaa cheni tu.

    ReplyDelete
  3. Hivi bongo kwa nini wanaume wanapenda kushikana shikana kwenye picha ? Inatia wasi wasi kidogo .

    ReplyDelete
  4. jamani wadau naombeni kuuliza,huyu macheni ukiachilia mbali umaarufu wake wa kuvaa cheni ana nini hasa kingine cha kumfanya awe maarufu??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...