MICHUZI,


SWALI KWA WATANZANIA WOTE WANAOISHI ULAYA NA MAREKANI.JE KAMA UMEISHI ZAIDI YA MIAKA 10 ULAYA AU MAREKANI INAWEZEKANA KURUDI BONGO NA KUKOPU NA MAISHA YA BONGO?????


WATANZANIA WACHACHE TUMEWAHOJI HAPA ULAYA NA MAREKANI WANASEMA..NI VIGUMU KAMA UMEISHI MIAKA MINGI ULAYA AU MAREKANI NA UKAAMUA KWENDA KUISHI BONGO, KUTOKANA NA MAMBO MENGI,BAADHI YA MAMBO HAYO,WANASEMA KUANZA KUTOA RUSHWA ILI UMUONE DAKTARI, PIA WANASEMA PILIKA LA UMEME NA MAJI,WENGINE WAMEDAI MAMBO YA KUANZA KUBEBA NDOO ZA MAJI NA KUFUATA CHOO MAILI 2 NA KOPO MKONONI. ASILIMIA 70 WANADAI USALAMA MDOGO WA MAISHA, KWAMBA NI RAHISI KUPOTEZA MAISHA BONGO KULIKO ULAYA, MOJA WAPO NI MBU WENYE SUMU KALI.
TUNAOMBA WATANZANI MTAKAOWEZA KUTUMA MAONI YENU ILI KUKAMILISHA MAKALA MAALUM YA KIMAISHA AMBAYO KUNA WATU TUNAKUSANYA HOJA ZENU. PIA KAMA HUKO BONGO TUMA HOJA YAKO KAMA UNAONA MAISHA HUKO NI YA USALAMA NA TOA SABABU ZAKO..
TUMA MAONI YAKO KWA mbagalaboy@hotmail.com
FROM CASHMONEY,
HOLLAND.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 45 mpaka sasa

  1. Mimi ngoja niweke maoni yangu kwa faid ya wanablogu.
    Watu wengi walikuwa nje ya nchi wamerudi bongo na wameweza kuishi maisha ya bongo. Inategema huko nje ulikuwa unafanya nini na ulijiandaaje na mipango yako ni nini?.

    Haijalishi uko bara gani, ila inategemea huko uliko umejiendeleza kiasi gani kielimu na umejiandaa kiasi gani kifedha na kisaikolojia. Na inategemea pia huko nyumbani umefanya maandalizi gani ili utakaporudi usioge maji ya kikopo, usifikie nyumba isiyo na bafu ndani. Kwani hapo Bongo maisha yote yapo na yanawezekana.

    Nikisema kujiaandaa kuna wengine watasema huyu naye hajui maisha ya huku yalivyo hebu piga hesabu vikopo na vichupa vya bia au wine unavyokunywa kwa siku, wiki, mwezi na hata mwaka unakuwa umetumia pesa kiasi gani kwenye hayo matanuzi? Maisha ya nje ni magumu ndio na watu wanafanya kazi ngumu kweli kweli, lakini mwisho wa yote baada ya kulipa bili watu wanajaza pombe kwenye mafriji au wanakwenda kujirusha minight club kwa starehe ya kupita. (Sio wote lakini)
    Kuna watu wamerudi Bongo wameshangaa kukuta wenzao waliowaacha wako mbali wana mahali pa kulala standard au pazuri, na maisha yanaenda ingawa hali ni ngumu, matokeo yake wamekata tamaa na kusema baada ya kuishi nje hawawezi kurudi nyumbani, sio hawawezi kucope wanaona wameachwa mbali na inakuwa ngumu wao kuanza moja ili kufika pale kwenye msitari waliouchora. Mifano hai ipo. Na kuna watu wamerudi na wanacope na maisha kama kawaida kwani hapa ni suala la msitari au kwa kiswahili fasaha daraja ambalo mtu amejiweka kwa kuwa yuko nje au aliishi nje. Na jamii haikuelewi pia kwa kuwa nayo imekuchorea msitari kuwa wewe ni wa kulee, ukiwa upande huu tutakushangaa, tunaraji makubwa kutokwa kwako!!

    Ila kitu cha msingi ni kujiandaa na maisha ingawa maisha ni kokote dunia hii ya Mungu popote pale mtu alipojaaliwa na anapoona kuna unafuu kwake basi ndio aishi au atakoishi.

    Wasi wasi wangu ikifika uzeeni kwenye miaka kama 65+ hivi sijui watarudi nyumbani au wataenda kuishi kwenye nyumba za wazee, maana kwetu hakuna hizo nyumba ila tuna strong social ties na security ambazo hazitufanyi tuwe na wasi wasi sana kuhusu uzee wetu hasa ukiwa na social security ya kutosha(watoto na extended families).

    Halafu kwa udaku tu, wawekezaji wanapenda wasomi waliosoma nje ya Bongo, kama mwekezeji ni wa Europe basi wanapenda waliosoma Europe hali kadhalika kama ni wa Kanada au Amerika, Sijui huwa wanafikiria nini, jamaa market yenu ni kubwa huko home kwa makampuni ya wawekezaji, cha msingi ni Elimu bora sio bora elimu, na kupitia mitandao kuona nafasi za kazi kwa wale wanaotaka kurudi maana kurudi kwa raha ni uwe na kazi tayari au na shughuli ya kufanya sio unarudi huna kazi au shughulu yoyote utaiona Bongo ya uchungu.

    Suala la maji na umeme si hoja ya msingi kwa sababu hao walioko huko wanaishije na wanacope vipi. Hata issue ya kumhonga Daktari nafikiri jamaa wanazungumzia enzi zile hospitali za serikali peke yake au Muhimbili, siku hizi ukimtaka Dr. Muhimbili haraka unaenda fast track unalipa uhonge nini? Na kama una pesa ya kuhonga kwa nini usiende private hospital kama Aghakhan, TMJ, TMS, Tumaini, Burhani na kwingineko na utawakuta hao hao madaktari bingwa wa Muhimbili wana clinic zao. Tanzania Tambarare Jiandae tu!!

    Mie nikimaliza zangu shule narudi zangu Bongoooo nikaendelee na maisha sio kuanza, sababu opportunities ziko nyingi tu, shughuli kibao za kufanya kama hutaki kuajiriwa ni suala la kujua tu unataka kufanya nini katika hizo opportunities.

    Mwisho namalizia, nyumbani ni nyumbani tu hata kama kuwe kubaya.

    ReplyDelete
  2. bwana cashmoney, wewe baki zako udauni tu huko bongo hukuwezi kama nikujuavyo, bongo kuna raha yake, peace of mind, but otherwise u have to sleep with one eye open, ukiwa na hela hulali, but udauni unalala hata mlango hufungi maana mafweza yote yako kwenye kiplastiki, (bank cards), nani atakuvamia?.. vidokozi vingi bongo bwana..

    ReplyDelete
  3. KAKA MICHU NINA USONGO SANA NA WEWE.. KWANINI UNACHAGUAGA COMMENT ZA BAADHI YA WATU WENYE MAJINA UNAZIPUBLISH HUMU, ZETU HUWEKI WHY? WEWE NI MBAGUZI, TAFADHALI HIYO COMMENT YANGU IWEKE TO PROVE IT TO ME KUWA WEWE SIO MBAGUZI WA MAKABILA.. HIVI NILIKUFANYAGA NINI MIE.. KAMA TUNA BIFU NIELEZE. GIVE ME MY RIGHTS TO SPEAK MY MIND LIKE OTHERS. CHEERS

    UK

    ReplyDelete
  4. Inategemea huko kwenu Tanzania ulitokea wapi na kwenye familia ya aina gani.Kuna watu nyumbani kwao bongo mambo ni tambarare kuliko huko walipo Ulaya.Wanabakia huku labda kwa status tu,shule au business.

    Ila kama ulitokea uswazi na kwenye familia yenu wewe peke yako ndie angalau ulimaliza la saba,basi ni wazi Ulaya lazima upaone kama pepo ni.

    ReplyDelete
  5. Jina la Bongo linatokana na kwamba jiji hilo ni lazima utumie Ubongo ili uishi,

    Ukitoka hata kwa mwaka mmoja ukirudi kila kitu kimebadilika
    Kwani wenye magari mazuri na maisha mazuri wengi ni wasanii tuu
    ni kazi sana kufanikiwa kama unataka kufuata njia iliyo nyoooka


    Nakubaliana na wadau kwamba kwa sisi tulio nje ku cop na maisha na Bongo ni ngumu kwani huku kila kitu ni sheria kiasi kwamba imekuwa ni sehemu ya culture mtu anajua wajibu wa kulipa kodi na adhabu ya kukwepa kodi, kulipa bill n.k ila kwa Bongo kila kitu ujanja ujanja tuu, Umeme Dill, Kazi kwa kujuana mpaka uwe mtoto wa fulani hata kama una nondo zako,
    Kingine maisha unaanza upya we mwenyewe Michuzi uko mjini lakini leo ukianza pilika za kutafuta nyumba utatembea hadi miguu iingie tumboni.

    Kingine ni sekta ya Afya, watu wamezoea kuwa na insurance ambayo husumbuani na mtu ukiumwa unatumia card unatibiwa, Leo hii ukiumwa bongo kama unataka matibabu yenye uhakika na kwa haraka basi lazima utenge pesa ya kutosha na usiombee kulazwa ni balaa mtauza hadi bata wa Mlimba.

    Kwa ujumla kama umekaa nje kwa kipindi hicho si rahisi kuendana na maisha ya nyumbani unakuwa mgeni kwa kila kitu, nani anataka maisha ya kupanga foleni Bank, Tanesco, Posta, Hospital? ndio maana watu wanang'ang'ania kukaa nje tuu.

    Suala la Usalama pia, kama mdau alivysema ni rahisi sana kupoteza haki zako Bongo hata uhai usalama ni mdogo we michuzi uko Samora ni mara ngapi unaona watu wanaibiwa wazi kwa kukabwa au kukwapuliwa na watoto wa mjini? mara ngapi unaoana hata watalii wanaibiwa na polisi hawako mbali? pakuishi unachagua ikipiga 99 mpaka upate msaada uuuuuuuuuuuwi ushakoma ubishi ushachanwa sana na viwembe.

    ReplyDelete
  6. FIRST LEMME SAY I CANT WAIT TILL MY ASS GET MY DAMN BACHELOR N RETURN TO BONGOOOO 4LIIIIFE

    Ndio inawezekana nikarudi bongo na kukopu na maisha ya kila siku. Kwani ukifikiria nyumbani ni nyumbani, pili hata kama akuna umeme kumbuka nimeishi miaka yoote hiyo bila ya umeme.

    Lakini ni hivi wadau wezangu, Kama huja complain then why complain now?. Kuishi US,UK,CANADA au nchi nyingine yeyote haiwezi kukupa ugumu wa kurudi kwenu sababu wengine meondoka kwenu mkiwa na umri wa miaka 20 ( up to now maybe ur 30), sasa kama umeondoka bongo ukiwa na miaka ishirini itakuaje uone vigumu kurudi sasa kisa umekaa marekani miaka kumi? I find that as a STUPID EXCUSE. Now lemme break it down for u guys

    Choo- Kama choo na kushika kopo basi tokea zamani mlikua mwafanya hivyo sasa iweje hivi sasa mseme sijui hamtaki rudi makwenu sababu hiyo? Kama umeweza kwenda chooni na kopo wakati ukiwa na miaka 12 na kujichambisha bila kutumia toilet paper kwa nini ushindwe hivi sasa? Huo ni ubaladhuli usiokua na msingi na hiyo excuse ya kusema kisa umekaa majuu miaka 10 utaki rudi bongo kisa choo mambo hayo bali mungu awanusuru nyie sababu mtu hasahau kwao hata kuwe na shida vipi kwenu ni kwenu.

    Rushwa- Kama hiyo rushwa ya kumuona daktari basi kama mna akili sana mkipiga mahesabu kaaeni mkijua huko mlipo pia mwatoa hiyo rushwa pitia taxi zenu mnazo katwa kila mnapo pata mshaara. Nyie mwazani sijui mwaenda hospital bure, kalaga bao na uwezao jamani rushwa mwalipishwa pitia tax zenu za kila paycheck sasa kama unasema utaki rudi bongo kisa rushwa, fungasha urudi sasa hivi.

    Ndoo za maji- kama umebeba ndoo za maji enzi zile basi waweza fanya sasa hivi pia, tafuteni excuses nyingine jamani manake hizi zoote hazi make sense kwangu

    Kama usalama mdogo wa maisha basi huko mlipo pia usalama ni mdogo wa maisha. Nchi neyote ina usalama mdogo wa maisha ila binadamu mwenyewe ndo unatakiwa uwe na akili nzuri na ujue unataka nini katika maisha yako. Na pili nyumbani ni safe kuliko huko us,uk canada,sweden. Leo hii mie naweza toka nyumbani kwenda dukani saa tano ya usiku bongo, sasa msichana/ mvulana hawezi toka kwenda dukani marekani bila kuwa na fear na maisha yake. Sababu watu wengi wa majuu wana access na guns na kila kitu ambacho chaweza uwa mtu. Huwezi kuniambia eti rahisi kupoteza maisha bongo kuliko marekani. Nyie tafute magazeti msome muyaone. Maisha bora bongo na umasiki woote lkn mtu unaishi bila kua na fear ya kutoka nje. Mimi binafsi nikitoka shule jioni lazima niwe nangalia mgongoni anifuatae ninani sababu huku majuu akuna UMOJA kaka BONGO. sasa nyie fanyeni research muone.

    Mbu- Kama mejikinga na mbu enzi hizo mtashindwaje hivi sasa? Nyie woote mnao leta excuse hizi ni wanafiki mnatafuta sababu za kukaa huko cuz sababu zenu hazi make sense kabisaa. I mean kama meweza kukaaa miaka yoote hiyo tanzania mtashindwa vp hivi sasa?

    Kama wasemavyo wabongo, ukiwa na hela zako, elimu yako maisha mazuri bongo. Sasa nyie kama hamtaki rudi makwenu basi kweli mna laana tena si ndogo ni kubwaaa. Ntawaombea mungu nyie woote mnao kataa kurudi makwenu.

    ReplyDelete
  7. Ninafurahi sana kwa watu kuendesha research kama hii. sisi wabongo ni vichekesho sana mtu anayesema hawezi kuishi bongo wakati amezaliwa bongo na kuishi zaidi ya miaka 15 bongo ni muongo na ndio maana wabongo hatuna mwelekeo wa maisha tunapenda kudharau vya kwetu na kukumbatia ya watu. Nauliza Je wakati upi ni delicate kwa maisha ya binadamu ni miaka 5 ya kwanza au ni ukishafikisha miaka 30? na kwa watu wanaosema hawawezi kuishi bongo je walivyozaliwa walikaa muda gani bongo? Wabongo tunatakiwa kuona aibu ya mambo tunayoongea na kufanya mtu kazaliwa bongo na kaa zaidi ya miaka 25 leo hii kazamia nchi za watu anakashifu alikotoka na kusema mtu utakufa kirahisi ukiishi bongo, kumbuka wazazi wako au grand parents wako wanaish wapi na wana miaka mingapi. Swali ina maana wanaoishi bongo miaka 70 wamekuwa wanyama sio watu? Je wazungu wanaenda kuishi bongo na hawajazaliwa huko wanaishije? Mimi nikko US but still the better palce to live is Tanzania where you'll experience the real world.

    ReplyDelete
  8. Mimi ni mtanzania ambaye nilishaishi marekani kwa muda wa takribani miaka tisa na sasa nimerudi nyumbani nafanya kazi. kusema ukweli miezi ya sita ya kwanza maisha yalikuwa ni magumu sana kuyazoea kama vile nilvyokuwa marekani miezi ya mwanzo ilikuwa migumu sana. lakini uzuri ni kwamba maisha yanazoeleka. lakini nyumbani ni nyumbani

    ReplyDelete
  9. Sidhani kama utaweza kujudge Tanzania kukoje bila ya kuuliza wale waliorudi wanaonaje. Tatizo kubwa mimi naamini ni kudanganyana kati yetu sisi waTanzania, na saa zingine kudanganyana kunatokana na source za huu udaganyifu. Mara nyingi tunategemea sana watu waliotoka huku TZ, wengi wakiwa ndio kwanza wamemaiza shule, au wameenda uskauti na kuzamia huko etc, yaani wengi wao hawajaanza maisha.

    Nashauri ukitaka research yako iwe nzuri ni kutafuta wale watu halisi ambao wamerudi bongo for good na ndio hao watakaoweza kujibu vizuri. Vizuri kuuliza forum kama hii lakini elewa kwamba utapata watu ambao wameondoka kama wanafunzi, utapata walioondoka nchini zamani sana, utapata ambao hawajaishi huko nje etc etc na utapata a lot of conflicting information.

    Bottom line, tafuta watu genuine waliorudi na kuanza maisha hapa bongo, period. Ni hao tu watakakupa a live picture of what is actually happening here in bongo.

    Watu wengine bwana, kaaazi kwelikweli! Kukiwa hakuna maji si unainvest in a simtank au kiboko tank? Kukiwa hakuna pressure ya maji si unainvest in a pressure pump? Kama hakuna umeme si unainvest in a generator (tena southern USA zile access generator za Katrina poa sana!!)Kupikia invest in a jiko la moto poa, ukitaka nyumba bora tembea tembea na utaipata tu si ajabu kwa bei kubwa kidogo.

    Bwana eeh, maisha kote ni kutafuta tu and it really depends on how you want to live your life! Believe that from someone who has been there and is living it!

    ReplyDelete
  10. Anon wa kwanza yaani nakuunga mkono 100%!! It all depends on your atitude.

    ReplyDelete
  11. Kwanza kabisa mwangalie mtu mwenyewe kwene picha ndio utajua kwanini ameomba mchanishow wa mada hii, pia angalia jina lake , Mbagala , hapo tuu inatosha kujua kwanini mtu kama huyu ana sababu zote za kujifanya kuwa hawezi maisha yabongo.

    Kwa mtazamo wangu, mtu yeyote aliye kulia masiha mazuri hapa Bongo ,yani kama yale anayo pata Ulaya kwa mtu wa middle class, hawezi kuuliza swali kama hilo, kwani tunajua kama una uwezo Bongo hakuna tofauti yeyote na ulaya.

    Kama ni medical insurance, Bongo zipo kuna AAR na kadhalika, kila unachotaka Bongo una weza kupata na ukawa na maisha mazuri tuu.

    Huyu jamaa ninavyo muona hapo , na uhakika , alipo fika ulaya , vitu muhimu kama gari ,TV, ana hiyo Apatment ndio mara ya kwanza kupata, Bono lazima aliishi kw akupanda dala dala na kuishi chumba cha Kupanga Mbagala,.Watu kama hawa wengi wakifika Ulaya ndio wana jifanya kuwa eti hawawezi maisha ya Bongo, wakati kumbe ndioo maisha ya shida wamekulia.

    Huyu ndio wale walio toka Bongo pekee katika familia yao na ndio maana an apost picha yake hapo ili wamkome mtaa wa pili kwua yuko Ulaya.

    Acheni Ulimbukeni , kama ni mbu zipo dawa za kupuliza kw awataalamu na mbu hawakai wala Nzi jamani hamja wahi sikia neno FAMIGESHENI? , jamani kwetu tunapuliza na sijaona mbu, inzi wala panga , mwaka wa 2 sasa toka nirudi US.

    ReplyDelete
  12. jamani watu wengine mna akili sana, kuliko tukae tunadiscuss mambo ya ndoa ya Richard na mambo mengine yasiyo na maana sana, hemu tukae chini tushughulikie maisha yetu na hali zetu.
    MICHUZI, PLEASE, badilisheni hiyo message hapo juu, mtoe email ya huyu kaka, ili comments za watu wote zije hapa kwanza, watu tufaidike, duu hii topic imenigusa, maana inanihusu, NIPO MAMTONI, mwaka wa 6 sasa, na wala sijui ninachokifanya hapa nilipo, AKILI NA MWILI CHOKA MBAYA.please hemu kazanieni hii research na ukitafuta wafadhili unaweza tengeneza pesa nyingi saana, ukafanya research moja kubwa sana kwanza, and then ukaanza kufocus kwa nchi mojamoja na wabongo walioko huko, wamekaa muda gani, wanafanya nini, ungana na wengine ufanye research kubwa, leta ma questionnaire online watu tutajaza ..etc...tuko maelfu na maelfu wenye hali ngumu huku, watu wanajifariji tu na vigari vyao vya mikopo na videgree vyao, degree wanazitumia kuoshea vyombo kwenye mahoteli NOMA, lakini kwa ufupi, HAKUNA MPANGO WOWOTE.

    ReplyDelete
  13. kwanza kaka michuzi nakwambia kabisa usipo post comment yangu leo mimi sitaongea wala kucheza na wewe tena. ........ha ha ha. nakumbuka enzi za ubwabwa huu. yaani best wako akikuuzi unamtishia hivyo. alafu nafikiri wewe kweli unaupendeleo sana na hizi comment. mimi nishatuma nyingi sana lakini unanitosa. hamna pressure tutakutana tu mitaa yetu ya kati maeneo ya kino.

    mimi nafikiri wewe unaagenda ya siri na hisi kama vile kuna kapropaganda kanakoendelea kati yako na Muheshimiwa rais kikwete kuhusu hao watu wanaoishi nje. sababu ni kweli serikali inataka sana wanaoishi nje kurudi kuwekeza nyumbani. sasa watarudije kuwekeza nyumabani wakati elimu ya kuwafanya wapate kazi za maana na kulipwa vizuri hawakuzisoma wakaishia kubeba maboksi tuu............!!!!!!kumradhi ndugu zangu wa ulaya. inamaanisha wanapata hela za basic needs too na vitu vingine vichache kama magari ambayo wengi wanakopa na lazima wawenayo ili kwenda kazini we namawinter waliyonayo unafanya mchezo nini bila gari siutakauka kama kuni.


    Kusema kweli i can understand ndugu zetu inawawia vigumu kurudi myumbani. Nondo inakuwa si nondo tena bali alama za maboksi tuu, ata ingekuwa mimi sirudi manake kwanza aibu umekaa ulaya miaka zaidi ya 10 alafu unarudi kufikia nyumba ya kupanga, choo cha shimo na vitu kama hivyo. noma hiyo watu wanakutolea mimacho tuu na kukucheka wakati ulivyoondoka ata shule walikuwa hawajamaliza sasa unawakuta na nyumba zao kifanya mchezo wao ndio wanaokupangisha.


    jamani ndio maana wanaamua kudanganya oohh eti rushwa nyingi mbona ulaya zipo kwani si wao ndio wanatuwekea kila aina ya economic sunctions ili tuzidi kuwa maskini tuu, ata raisi wa World bank alijiuzuru sababu ya rushwa jamani. mara hospitali hakuna wakati ukaya unasubiri appointment wiki na zaidi kuonana na daktari. bongo hospitali kibao mfuko wako tuu. kuhusu usalama jamani hayo mambo ya kuomba Mungu tuu. kama maji na umeme wewe tuu solar na matanki yamejaa kibao kazi kwenu.

    ushauri wa bure kwa wanaotaka kwenda ulaya na walioko ulaya, amabao bado hamjakwenda tafadhalini muende mkafanye kile kilichowapeleka especially kama ni nondo manake elimu Bongo inalipa sasa hivi. mlioko ulaya jamani Nyumbani ni Nyumbani na BOngo A.k.A yake ni kijiji cha mtakuja. acheni kujirusha endeleeni kubeba maboksi msevu hela kidogo mjaribu kuja kubanana na biashara hapa bongo kama umeshindwa kabisa kurudi na nondo. kila kitu kina mwanzo ukiwa makini utatoka tuu ndugu yangu. TANZANIA OYEE, KIKWETE OYEE, HARI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA.

    NB: MIMI SIO MWANA CCM wala sina chama chochote.

    mtz damu

    ReplyDelete
  14. Wengine tulikuja zamani sana huku, watoto wetu walizaliwa huku wameoa na kuolewa. Kwa kifupi familia kubwa zaidi ni wakazi wa huku. Hata kama utakuwa umejiandaa vizuri vipi nyumbani, ukirudi nyumbani utakutana na wazee wenzako tu, maana watoto na wajukuu wako huku. Mwisho inabidi, ni lazima, ubaki huku uwe karibu na familia yako itakayokuangalia vizuri na kwa upendo zaidi.

    ReplyDelete
  15. Hii ni kwa mkuu wa POLISI.Jamani bongo polisi wezi ukiwaita watakusachi kwanza,wakupute kila kitu,usalama si mzuri.Hivi kweli 999 inafanya kazi bongo? au watu turudi na amunisheni?Tulio ughaibuni wote wake kwa waume twajua kuzifyatua,naona katika swala la ujambazi turudi na magnum ili kuhakikisha mtu haponi kabisa.Polisi wajibikeni acheni uharamia.Jingine ni kwa waziri wa Afya.Jamani eeeee MRSA hat ulaya zaua kila siku,manesi bongo wanashindwa kuwa safi wakati wa kazi sababu maji hamna au gloves hamna au saa zingine uzembe na matokeo yake waathirisha wagonjwa wengine.Ni vigumu kwa waliosoma nchi za nje kuja kufanya kazi katika hali hiyo isiyo ya usafi.Mbona sio hela nyingi kupasua mwamba na kuvuta maji?? ni dola kama $2000 tu,hii itaweka swala la maji shwari.Wa ulaya wamezoea dispozabo karibu kila kitu kwahiyo hali ya kufanya kazi bongo hawataiweza,wataonekana wana midomo sana.Watu wa AMBULANCE hawana ujuzi bado wa kusevu maisha ya watu,they still need training.VENTILATORS for life support.Wengi wao walio ughaibuni hasa wakina dada wanajua haya mambo ya life support machines.Najuwa wakina dada wengi wanaofanya kazi ER na ICU huku ulaya na wamesomea haya mambo wana degree zao na wanaaminiwa sana na madaktari marekani.Hali ya kuja bongo na kufanya kazi bila vifaa hawataweza na watapoteza ujuzi wao.Jamani BONgo bado ipo nyuma kimatibabbu yaani hata kupima damu tu simple blood test,unapewa date na date ya kuja kuchukua majibu.Huku ulaya mambo ni hapo hapo.Hivi inachukua muda gani kurani damu??? haichukui muda kabisa na majibu ni hapo hapo.EKG pia bongo ni dili huku ni jambo la hapo hapo.Tusidanganyane jamani kuna maudhi bongo na uzembe unakatisha tamaa.Nesi asubiriwe ajibidue wee mpaka afike kwako ushapata heart attack.Madaktari nao wazembe. Kwa wananchi wapewe bima za matibabu na wahamasishwe kuchukua hizo bima kwa wenye uwezo hii itasaidia serikala pia.Swala jingine kubwa la africa nzima ni rushwa jamani.Shime watu tuamkeni hili swala lizikwe,hii inaumiza sana uchumi wa nchi na vilevile maendeleo ya watu.Ukienda kwenye ofisi fulani kila siku bosi hayupo kaenda safari hivi mabosi wa bongo wasafiri kila siku na kila dakika??? Hili swala linaudhi sana.Tuwajibike katika kazi zetu ili tuweze kupata maendeleo na tulio ulaya tutarudi kwa wingi na kuinvest at home.We want to do that but till then Naahhh!Vitu vingine kuhusu tuliowaacha wameendelea hayatutishi,we love to see them up there,they are our people so we dond't even worry about that.Very few have life in bongo anyway.As for us who live outside of the country life in Tanzania is very easy.Tunaweza kuishi tambarare sana,nyumba si kazi kupata,magari yapo na tunaafodi ya nguvu sana.Nadhani kinacho wakatisha roho walio ulaya ni hayo niliyotaja hapo juu na pia kuto kujitayarisha kwa maisha hasa kwa wale wanaotoka familia za chini ni vigumu kwao kujiinua wakiwa huku ulaya na vilevile wengi wanakuja ulaya wakiwa wadogo from high school,hawajuwi cha kufanya.Swala la muhimu BONGO do your part na walio nje jiandaeni msijisahau.Hela mnayopata ni kubwa sana kuliko ya walio bongo,itumieni kwa maarifa.Someni kama mna uwezo wa kusoma na kama hiyo hairuhusu fanyeni kazi kwa bidii na mjiendeleze kwa njia nyingine.Hauitaji degree kununua stocks au CDs au bonds,hii hata bila elimu unaweza kufanya.Saidieni familia zenu kila muwezapo.POLISI bongo acheni uhalifu na kula rushwa (some of you)

    ReplyDelete
  16. Kinacho fanya maisha ya Bongo kuwa magumu kwa watu aliokaa nje kwa muda mrefu takribani miaka iliyotajwa hapo,kwa maoni yangu ni kama ifuatavyao-.
    1-RUSHWA:-Rushwa ya Bongo bwana inaumiza sana huwezi kupata haki iliyo yako kwa mujibu wa sheria mpaka utoe kitu kidogo kwa walio kaa mamtoni hii ni ngumu sana kwani huku hakuna kitu kama hicho. 2-KAZI kupata kazi Bongo nisongo binde kama walivyosema wengine hapo mpaka uwe mtoto wa fulani au ujuane na wakubwa fulani walioko katika nafasi ya kutoa kazi (bado pia hii ni Rushwa) hata wale waliokuja huku Ulaya au Mareakni kisha wakarudi utakuta ni wale either waliokuwa na nafasi zao za kazi tayali hivyo hawana wasiwasi pindi wakirudi hawa lao huwa ni moja kupandishwa daraja na mshahara au utakuta tayali wanafamilia zao hivyo inabidi iwe isiwe lazima warudi pindi wamalizapo masomo yao kwa kuogopa lawama na majungu kwamba wametelekeza familia zao, wengine wanalazimika kurudi kwa kunyimwa vibali vya kuendelea kuishi na kufanya kazi.3-SOCIAL SECURITY maisha ya Bongo hayana uhakika hasa pale mtu napopoteza kazi yake tofauti na hapa Ulaya ambapo serikali inajaribu kukupiga jeki pale unapopoteza kazi au hata pale unapopata mtoto. Kwa mtu aliyezoea mambo kama hayo akifikiria kurudi Bongo na kuanza kuishi kwa kutegemea kudra za mwenyezi mungu basi anaona hawezi ku –coop tena na system ya bongo. 4 TRANSPORT- usafiri wa bongo kweli ni usafiri kafiri na wasafiri wake ni wasafiri kafiri pia I dadi ya watu wanokufa kutokana na ajali Bongo inatisha na kuwafanya watu walioko nje waseme ohhhhhhh let me stay away from that hell.Kutokana na mfumo mbaya wa usafiri mijini inawalazimu watu wajibane sehemu moja kama POPO katika colony lao hasa Dar es salaam siwezi kusema mengi kwani wengi wetu tunalijuwa hilo.Usafiri wa mikoani kwa wasiomudu gharama za Ndege hapa n i balaa tupu huwezi uka cross tanzania nzima within 24 hiyo bado ni ndoto wakati kwa wenzetu huku mhhhhhh mambo swaaaaaaaaafi. 5 SIASA Siasa za bongo zinakera na wana siasa wake wanakera pia Blaaaaaaaablaaaaaa nyingi hakuna kinachofanyika! Hii nayo ni sababu pia inayofanya maisha ya Bongo yawe magumu kwa watoro ku-coop nayo pindi wanaporudi.

    ReplyDelete
  17. Mimi naona ugumu ni vitu watu wa ulaya walivyosomea na mishaara ya kibongo.Wengi wapo kwenye medical field.Kuna REGISTER NURSES waliospeshalaizi katiaka mashine za kusafisha mafigo,cancer of all kinds,kimo therapy,REGISTER RESPIRATORY PRACTITIONERS(wamespeshalaizi katika mapafu na moyo,mfumo wa upumuzi,pulmonary system),HII NGOJA NIIELEZEE KIDOGO,HAWA JAMAA WANAFANYA KAZI BENETI NA MADAKTARI KATIKA PROSIJA NYINGI ZA EMERGENCY.Ma respiratory practitioners hufanya kazi ER,ICU and few times on regular floors wakidili na magonjwa ya kupumua.Wanadili na LIFE SUPPORT,wana intubate if doctor is not near na kumuweka mgonjwa kwenye life support machine VENTILATOR na hawa ndio macho na masikio ya daktari katika life emergency.Vile vile wanatoa damu (arterial blood) na kuirani kwenye maabara yao ambayo ni tofauti na Labs za kawaida na kutafsiri majibu.Vile vile kuna dawa fulani wanawapa wagonjwa.Wenye magonjwa ya kupumua wote huwa wanasaidiwa na hawa jamaa.Ulaya hawa jamaa wanaheshimika sana ulaya na wanakwenda shule saa zingine mpaka masters degree.Wengine ni Physical therapist,speech therapists,hizi ni fields chache ambazo Tanzania hazilipi bado,ulaya hawa jamaa wanaishi kwa kupeta sana kimaisha na wanapenda kazi zao.Tatizo wakirudi ujuzi wao utapotea maana field kama hizo zao bado zinadharauliwa Bongo na zingine hata bado hazijafika bongo kama RESPIRATORY PRACTITIONERS.Kwa wadau walio fields hizo labda warudi na kufungua cliniki zao wenyewe ili kupata kipato cha kukidhi maisha yao.Je kazi walizosomea zipo Tanzania.Kwahiyo msibwabwaje jamani watu wana nondo zao na ujuzi wao lakini hakuna vifaa vya kuwaendaleza kikazi wakirudi.Kazi kwenu kama mnawataka hawa warudi waonyesheni kuwa vifaa vya kazi vipo na watarudisha ujuzi wao nyumbani kusaidia wananchi badala ya kukaa ulaya na kusevu maisha ya wazungu.

    ReplyDelete
  18. jamani Bongo kweli tumia ubongo.Nilikuwa na ndugu yangu mwenye matatizo ya moyo na kuvimba mwili na moyo unabana.Basi daktari akamwambia aende nyumbani anywe maji sana na alale nilipopata habari tu nikawasiliana na ndugu yangu nikamuambia aendea akapewe lasix naasifuate maadili ya daktari.Basi nilimsevu maisha.Daktari angemuua na heart failure,mgonjwa alikuwa ameshajaa maji mwilini mpaka anavimba na moyo kubana angejiongezea kunywa maji mengi bila lasix moyo ungefeli na angekufa.Hili ni tatizo pia la bongo madaktari wazembe mno na nondos zao,wanaweza kuua mtu kiurahisi sana.Hii inakatisha tamaa.Ulaya tumezoea kuwashtaki madaktari kam hawa na hatua zinachukluliwa,wazungu hawana mchezo wa kujuana,law is Law, lakini BONGO mambo kujuana na rushwa.Rushwa ikiondoka na watu wakiwajibika,bongo sio pabaya.Ulaya ni kwa kuchumia pesa na kupatia ujuzi tu maisha sio mazuri kama bongo.

    ReplyDelete
  19. Michuzi we umekaaa na unatembelea saana ulaya na america naamini pia, ni kweli huko kunamaisha mazuri lakini!! kwanini naweka lakini???
    Maisha ni mazuri kwa wenye kwao, sisi si kwetu huko. Rangi yenyewe inatushitaki kuwa kwetu ni africa. Kwa taarifa mi niko hapa UK, ninarafiki angu mmarekani mweusi, ivi nakwambia kila siku ananibembeleza nije nae TZ, anasema hataki kabisa kurudi New York, kisa anasema ubaguzi na ushenzi wanaofanyiwa na wazungu.

    Pia hawa jamaa zetu walioko huko wengi hawajasoma na hawawezi kuridi, ndio mana wanaishia kusema bongo noma maji, umeme barabara hakuna. Sasa wao ndio walijenga hizo infrastructures huko waliko?? Wakumbuke kunawatu walikufa kwaajili ya kuaandaa hapo wanapopasifia na ni wenye nchi (yani weupe), kwa hiyo nadhani wao kama wanataka kuondokana na adha tulizonazo, waje tuungane bongo tuwe changamoto. unadhani bush au brown ndio watakuja kujenga hapa kwetu?? Ng`oooo, sasa we waache wakalie kubeba maboksi na kufanywa kama malaya tu huku ulaya na merican

    ReplyDelete
  20. mk kaka michu ni mimi tu au wadau hapa swali hawajaliewa.Unachotakiwa kufanya ni kuelezea wewe kama upo abroad au Bongo naomba ninukuu TUNAOMBA WATANZANI MTAKAOWEZA KUTUMA MAONI YENU ILI KUKAMILISHA MAKALA MAALUM YA KIMAISHA AMBAYO KUNA WATU TUNAKUSANYA HOJA ZENU. PIA KAMA HUKO BONGO TUMA HOJA YAKO KAMA UNAONA MAISHA HUKO NI YA USALAMA NA TOA SABABU ZAKO...Sasa mnavyooanza kucomment oh kuna watu wanasema hivi na vile maaana yake nini? mbona swali simpo wewe binafsi toa hoja zako ,kusema ya watu wala hamjaulizwa.Sometimes tunapenda kucomplicate mambo bila sababu ya msingi looo.

    ReplyDelete
  21. kaka unabagua!!! siyo siri. sasa sijui unavigezo gani unavyotumia kubagau, sababu nimepost comment yangu leo kuhusu hii mada wala sijaiona kuwekwa, then what the use of asking the publc to comment if u know very well that u wont publish them, or take only afew. i wasted my time writing the comment instead of doing something useful, im so hurt by this. it discourages me from commenting on further issues, though i really like ur blog.

    ReplyDelete
  22. ukiona wanasema ya watu mana yake ujumbe umefika rudini nyumbani!! Huko mnapoteza muda, kwani usalama nini?? Mbona kila kukicha mnauliwa huko kwa risasi?? ndio amani hiyo??

    Njooni home turekebishe, usalaaama utakuja tu. amani inapotea kwa kuwa hatuna watu criative na kuondona matabaka, unadhani tukisawazisha nani atang`ang`ana kumuibia mtu??

    Michuzi wasikubabaishe kama hawataki kuja home achana nao waendelee kubeba mizingi, kwani mabosi wa easy finance kina kasanga na james lugembe walioamua kurudi bongo walimshaurisha mtu?? sasa hao walio ugaibuni na hawa jamaa wa easy finance nani anatesa?? BONGO panalipa siku izi, njooni na vingereza vyenu muone wawekezaji wakizungu watakavyo wachangamkia.

    BIG UP SAANA KWA EASY FINANCE, UNAONA WANAVYOTOKA NA KUWASAIDIA WABONGO??

    Ile ni akili ya London school of economics kama ya mwanamtandao wa ccm rostam

    ReplyDelete
  23. Michuzi! waambie wadau wa mtoni, maisha ni kujipanga...wengine mbona bongo ndio BATA huko mbele tunaenda kutalii tu, anazungumzia mbu, wizi, hongo kwa ajili ya huduma za afya,,,mwambie huyo kibisa huku kuna madiplomats, wafnyabiashara na wawekezaji kibao toka mbele na wanona mambo yapo bongo na ukiwakuta maclub yani wanajiachia kama kwao. Washakaji jipangeni ili mkirudi bongo mje kula bata bila ivyo tachachekesha mkirudi. Kuna mchizi wangu karudi May 07 toka maryland mteja wa nguvu kudadek wakati alikuwa anatafuta nondo yake ya it,,,yako wp sasa??? JIPANGENI NYIE MAFALA

    ReplyDelete
  24. Hii topic niliwahi kuichangia nakumbuka just last month wakati Michuzi alipoweka ile picha ya gari (AUDI-SUV). Lakini kwa mara nyingine napenda tena kutoa insight yangu:
    Maisha ni popote pale: Dhana ya kwamba ukiishi nje ya nchi especially kwa kipindi kirefu huwezi kuishi Tanzania ni potofu. Kwa nini nasema hivi?
    Kuishi katika mazingira yeyote yale inahitaji adaptability. Kama tume toka kwenye mazingira ya nchi ya dunia ya tatu na kuweza ku adapt mazingira ya maisha ya dunia ya kwanza kwa nini tusiweze kua dapt mazingira tuliyoyaacha ambayo slowly but surely are getting better?
    Kila kitu kizuri matokeo ya good planning. Unaweza kujenga makazi mazuri Tanzania, kama ni swala la umeme kuwa un reliable unaweza kutafuta sources nyingine za nguvu..generators, solar, etc. Kama ni bidhaa zipo madukani..H&S Ammons wanauza cosmetics na accessories nyingine sema bei zao ni za kuua kwa sababu bado hawana competition ya kuwatoa jasho. Kila kitu extra ordinary nyumbani kipo lakini ni fedha ya mtu tu.
    Kwa hiyo basi maisha nchini yanawezekana hata kama mtu umeishi nje hata kama ni kwa miaka 40. Wazungu wao wanakuja kwetu na wanaweza maisha yetu for the most part. Tatizo ni kwamba wao wakiugua wanakuwa air lifted kwenda kutibiwa Nairobi ama Johanesburg kwa emergency treatment na wakirudi makwao (U.S. ama Europe) wanafanyiwa thorough medical exams ku detect risky deaseas kama cancer, diabetes, high cholestrol, heart disease, etc.

    Kuna baadhi ya maeneo makubwa ambayo kwa kweli tunahitaji ku improve ili kuboresha maisha yetu nyumbani.
    USALAMA ni suala la kwanza na linasumbua sana. Watu wanachukua maisha ya watu kwa vitu vidogo tu, sasa hivi nimeona habari kwenye Ippmedia kuna afisa mmoja wa TBS ameuwa kwa risasi na kuibiwa briefcase na simu ya mkononi. Huenda huko kwenye briefcase kusiwe hata na chochote cha maana cha kuwanufaisha hao majambazi. Haya POLISI wetu ndio hao, (japokuwa sio wote ni wazembe) most of the are na wanapenda rushwa kupita kiasi. Polisi wako tayari kukupandikizia ushahidi wa uongo ili wakutoe kitu kidogo. In addition kuna abusive behavior kwenye vituo vyetu vya usalama ndio maana raia wema wanashindwa kwenda kuripoti maovu.

    RUSHWA: iko wazi wazi. Kila mwaka ninaporudi nyumbani kusalimia hapo KIA tu hao jamaa wa customs huwa wanachakarika kutaka kunitoa kitu kidogo. Yaani ni karaha kweli kweli. Kuna mwaka niliingiza vitu vya misaada ya watoto zeruzeru (Albinos), zilikuwa sun screen lotions, jamaa walivyo wajinga wakataka nilipie $100.00. Nikawaambia nitalipa na nitachukua risiti, waliposikia naulizia risiti wakaniacha niende.
    Uliza mtu yeyote aliyekuja U.S. kama aliwahi kuambiwa alipie ushuru wa chochote anachoingiza hata kama ni Kilimanjaro Beers na Batiques na vinyago. Hapa hausumbuliwi so long as ukisha clear kwenye documents ulizopewa kujazo ku declare thamani ya mali unayoingiza.
    Kuna vitu ambavyo ni haki ya wananchi lakini haki hizo hazipatikani mpaka kitu kidogo depending on the case kitoke. Kwa mfano passport ni haki ya kila mwananchi—lakini Wizara yetu ya Mambo ya Ndani na watendaji wake wamefanya kwamba ni priviledge ya wachache, hivyo basi watu huwa wanarushwa kichura kwenye procedures za kupata hizo documents.
    Driver’s license: Hebu kila mtu anayesoma hapa akumbuke mazingira ya jinsi alivyopata leseni yake ya udereva. Tukiweka poll hapa utaona kwamba watu wengi walizipata leseni zao kwa kuhonga. Hapa U.S. Unafuata procedure zilizowekwa na Department of Motor Vehicle (DMV) unafanya procedures kadhaa mbili tatu—zote zinahitaji kufauli mitihani (paper and practical) na unalipia fees ziliwekwa na State, unapata leseni yako.

    AFYA: Healthcare falities zetu especially clinics na hospitali za Serikali zimejaa uzembe mtupu. Customer service yenyewe ni mbovu, lugha chafu, etc. Bado huko pia unahitajika utoe kitu kidogo upate kumuona daktari ama kupata dawa. Ila mambo ya private health facilities ni tofauti kidogo japokuwa bado nyingi sio State of the art. Ndio maana hata viongozi wetu wanakimbia nje. I hope hii sio inferiority complexy ya viongozi wetu wengi juu ya huduma zetu za afya nchini.

    CONCLUSION: Maisha nchini yanawezekana. Kama nilivyosema hapo juu ni mipango mizuri tu. Kuishi nje ya nchi sio kigezo cha kuwa na maisha mazuri. Kuna watanzania wachache nchini ambao wana maisha mazuri kuliko hata watu wa middle class Marekani, Canada na U.K. na kuna watanzania wachache sana ambao kweli wanaweza kununua real estate hata Hampton, NY wakitaka bila mkopo wa benki (narudia tena wachache sana tena hawa si MAFISADI). Vile vile kuna watanzania ambao wako nje na mambo yao iko MBAYA MNO. Kila kitu ni nidhamu. Watanzania wengi walioko nje wame acha vitu yale muhimu yaliyowaleta huku (ELIMU) wamechukua short cut ya maisha, na kwa sababu hiyo wameoa wanawake they are not proud of ili kukaa kwenye status na wanaogopa kurudi nyumbani kwa sababu mambo bado sio fresh regarless of muda waliokaa nje. Wanapata mshtuko kwa sababu marafiki na classmates zao waliosoma nao High School wako mbali ki maendeleo kuliko wao. SASA HAWA NDIO WANAOOGOPA KURUDI NYUMBANI. Watanzania wenye elimu nzuri, wengi wana kazi na wengi wako kwenye status na hawa ndio wanao rudi nyumbani mara kwa mara na wanafanya vitu nyumbani..eg. Ujenzi, na kadhalika.
    Kama ambavyo ilichukua muda ku adopt kunywa maziwa ya baridi na cerial kwa breakfast tulivyofika U.S. basi vile vile tunaweza ku adopt maisha ya kukaa bila umeme kwa masaa mawili hadi sita siku tukirudi nyumbani.

    ReplyDelete
  25. Nyumbani bwana sio siri ni kutamu lakini inapofikia hapa http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/11/19/102814.html

    ReplyDelete
  26. Duuh huyu si yule chakubanga alieimbwa na marehemu marijani kumbe siku hizi yupo amsterdam hata jina kabadili jamani wana blog nyumbani ni nyumba msimsikilize chakubanga kwanza ana kesi vipolo kibao polisi magomeni alikuwa tishio enzi zake pale tandale ndio maana anaipaka bongo ajui kama bongo kuna watu watoka burundi na zaire wakifika bongo hawataki kuondoka wanaona kama usa.

    ReplyDelete
  27. NAONA ANON NOV 19.2007 9.36 UMEKOSEA HUYU SIO CHAKUBANGA HUYU NI YEBOYEBO AKA JOTI KAMA UNABISHA TAFUTA VIDEO YA MAJUTO IITWAYO YEBOYEBO UTAMUONA AMERUDI BONGO TOKA USA SASA YALIOMTOKEA NDIO MAANA ANAIKANDIA BONGO.

    ReplyDelete
  28. mimi naona nitashindwa kwani nemezoea mandhari safi ya kansas, barabara safi, maji safi, watu wasafi, na usiseme hakuna magonjwa ya ajabu ajabu...nimeshasahau kupanda dala dala na pia mafuta ya gari bado ni chee marekani... kwa kweli maisha ya bongo yatanishinda labda sijui
    kasera
    kansas city

    ReplyDelete
  29. ALuuuuuu nianze kwa kucheka ,hapa maana ni kupakana tuuu hamna lolote ,maana nashangaa kila siku watu wanapanga foleni kutafuta viza za kuondoka Bongo wengine ooh hamna dili ulaya,mh hapooo kaazi kwelikweli .Ynagu macho kaka uliyotaka haya maoni pole maana hapa hamna kituuuu.blahblah tuuu.

    ReplyDelete
  30. PIGA UA,GARAGAZA,NYOFOA KIUNGO CHA SIRI,NYOFOA MAKALIO SIRUDII BONGO NG'O!!!!!!Nitakuja kusalimia na kurudi ughaibuni tusiongopeane maisha bongo sio TAMBARARE bali ni COROGESHENI TUPU.

    ReplyDelete
  31. Kuishi bongo ni kiulani sana...maisha ya huku yako very fast ukirudi bongo ni so easy akili inakua imechemka kishenzi...

    Ila kwa rushwa, kumjua mtu ili usaidiwe, sheria hazipo, majambazi na matibabu ndio inatisha.


    Otherwise hamna cha kushindwa kuishi home...kabla hatujaja huku baba zetu walikuja kusoma huku huku na kuishi miaka mingi tu na walirudi nyumbani na wame turn out fine so why not us...Ila uzuri na tofauti ni kuwa siye tumejaliwa kuweka nyumba mbili ...life ikishinda unakwenda bongo ..bongo kukichemsha unarudi abroad...

    Wazazi wetu hawakufanikiwa kufanya hivyo Nyerere alikua anawapenda sana ....Alikua mkali ukimaliza shule rudi nyumbani na usiporudi wanakufuata..sasa hivi hata hawajui ni wangapi wako nje ya nchi....so freelance tuko wengi.......

    ReplyDelete
  32. Michu mie nitarudi baada ya mafisadi wote, wala rushwa wote na viongozi wenye uroho wa utajiri wa haraka haraka watakaposwekwa Lupango

    ANALYSIS: CCM cadres’ new book revisits Mkapa’s troubled legacy
    THIS DAY

    IN our society, there is a group of people who felt relieved, perhaps, that the death of the country’s founder Father and longest serving Chama Cha Mapinduzi (CCM) chairman, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, meant also a death of courageous people who could take the bull by the horns and criticize high profile politicians and bureaucrats.

    This group of people thought that Nyerere’s demise paved way for a new era of leadership irresponsibility, greed and looting of public resources and that nobody would question, enquire or straight away criticize them in public for their irresponsible behaviour in public office.

    But they have been proven wrong. A new book by veteran journalist, television talk show host and one-time CCM national executive committee (NEC) member, Makwaiya wa Kuhenga, in collaboration with one of Mwl. Nyerere’s sons, Madaraka Nyerere and veteran politician- cum-former Mwalimu’s closest aide, Joseph Butiku, indicates once again that CCM, and indeed Tanzania, has no shortage of courageous, visionary and upright men who can dare to challenge the system, be it a former president and CCM national chairman.

    In the book titled: ’CCM na mustakabali wa nchi yetu,’ which literally means, ’CCM and our nation’s destiny’, deals blow after blow to the immediate former president and CCM national chairman, Benjamin William Mkapa.

    The authors in unison condemn the era of the former party national chairman; his avoiding to meet and talk over issues of interest to the party and nation as a whole; his disdain of his peers and the sudden usurpation of party by a class of filthy rich people, often with questionable character. The chairman’s behaviour gave rise to a culture of gossip and bad mouthing among the top brass of the party, signifying a major rift within the party.

    The authors also question why the ruling party under former chairman Ali Hassan Mwinyi silently abolished the Arusha Declaration, including its leadership code of conduct, which resulted into free-wheeling accumulation of ill gotten wealth, with the rich vying for leadership positions through bribery, deceit and other dirty tricks.

    The book accuses Mkapa of entertaining hearsays and gossips which led to divisions within the top hierarchy of the party which was once revered and respected across Africa and the world. The party leadership sometimes trampled on members’ rights by changing important procedures and regulations. When those disenchanted asked for clarification, during meetings, they got jeered off by other members.

    The book also mentions the fraudulent deletion of immediate former CCM vice chairman for the Mainland John Malecela, from the list of presidential aspirants in 2005 just because the former prime minister had not conferred with Mr Mkapa as chairman prior to his picking presidential nomination forms.

    The veteran CCM members and Mwl. Nyerere’s son question CCM�s loss of vision and direction in terms of formulating the five years development rolling plan, which was last done in 1981, hence impacting negatively on the part of the government. The authors wonder whether the party is any longer in charge and holding the government accountable.

    Because of lack of a visionary leadership that sidelined some critical voices, CCM under Mkapa did sow seeds of racial discrimination especially during internal party nominations and primaries. The authors cite examples of former Prime Minister Dr Salim Ahmed Salim, who was opposed by some Zanzibar caucus members as being of Arab origin, and having played a role in the slaying of former Zanzibar President Abeid Karume.

    It condemns a new culture of stage managed public rallies convened by the party and often addressed by senior party leaders including the national chairman and secretary general, to issue party membership cards to opposition cross-overs and wonders whether such people share a strong belief in CCM's ideals.

    The book, the first of its kind to be written by the ruling party’s members in the past ten years or so since the late Mwl . Nyerere wrote, ’Uongozi wetu na hatima ya Tanzania,’ in 1995, ends with a number of suggestions to current President Jakaya Kikwete , who is also the party’s national chairman:- avoid entertaining gossip, rediscover the Arusha Declaration and preside over the writing of a new constitution to replace the one party 1977 Constitution.

    The authors advise Mr Kikwete to take the leadership in enacting a new constitution that will also reduce excessive powers of the presidency, which has routinely been abused by some individuals to advance personal rather than national interests while at Ikulu.

    ReplyDelete
  33. Kama umekaa nje muda mrefu ukirudi bongo lazima utapata shida kidogo. Mimi familia yangu imeishi nje miaka 10 , haikuwa rahisi kuja kupambana na maisha ya bongo , lakini baada ya muda tukazoea.

    NAOMBA KUMJIBU HUYU ANYEONANISHA MBAGALA NA MAISHA MABAYA. MBAGALA IPO DAR , UNADHARAU VIPI MTU WA KITONGOJI CHA DAR , HALAFU UTUDANGANYE KUWA UNWEZA KUHESHIMU WATU WANAOISHI VIJIJINI ??
    WEWE NI MMOJA WA WATU AMBAO HAWARUDI KWAO KWA LIKIZO WALA MSIBA.
    UNAPOZUNGUMZIA TANZANIA , MBAGALA NI SEHEMU ILIYOENDELEA SAAANA .

    ReplyDelete
  34. WEWE NANI KAKWAMBIA UJENZI WA NYUMBA NA GARI NDO MAENDELEO? MBONA JAMANI MNA AKILI FUPI HIVYO? WENZENU WAKATI WANAFIKIRIA KWENDA KWENYE SAYARI YA MARS NINYI MNASEMA KUJENGA NYUMBA YENYE SWEEMING POOL NDO MAENDELEO...MMEPUMBAA KWELI..JAMANI HAMUONI HUDUMA DUNI NA HALI ZA WATU ZILIVYO DUNI? SASA KAMA WEWE NI WAZIRI MKUU NINI KINAKUFANYA UONE SIFA YA KUHUTUBIA WATU AMBAO HATA VIATU HAWANA..? AU KAMA WEWE UNA GARI NA NYUMBA NINI KINAKUPA UFAHARI WAKATI JIRANI YAKO HATA MAJI YA KUNYWA HANA NA NDUGU ZAKO WA DAMU KIJIJINI HAWANA KITU? MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO? MAISHA YA MAJUU NI MAJUU TU..NINYI NDUGU ZANGU MLIOKO MAJUU KAENI TU HUKO..!! ANGALAU MNAWEZZA KUTUMA HELA NYUMBANI. HAWA WABONGO WA HAPA DAR HAWAWAWJALI NDUGU ZAO KABISAA..UBINAFSI TU NA MASIFA YASIYO NA MAANA...!!

    ReplyDelete
  35. INASHANZA KUONA BAADHI YA WATU WANA TABIA YA KU-GENERALIZE MAISHA. KILA MATU ANAJUA MAISHA SIKU HIZI NI MAGUMU POPOTE PALE, ILA YANATOUTIANA UHAFADHALI WA AINA HII AU ILE NA JINSI MTU UNAVYOJIPANGA NA NIDHAMU AKO YA MAISHA. KUNA WATU WANASEMA WATU WA UGHAIBUNI WANAENDESHA MAGARI YA MIKOPO, SAWA JE NI WANGGAPI BONGO WANAENDESHA MAGARI YASIYO YA MIKOPO??? WAFANYAKAZI WENGI BONGO WANAPEWA MIKOPO NA WAAJIRI WAO YA KUNUNUA MAGARI MPAKA FENICHA. WANAOWEZA KUNUNUA MAGARI BILA MIKOPO NI WA KUHESABU SANA. PIA WAFANYABIASHARA WAKUBWA NDIO WATU WALIO NA MADENI SANA NA MABENKI TENA WANA OVERDRAFT KUBWA KUBWA SANA.ISSUE NINAYOTAKA KUSEMA HAPA NI KUWA NAPINGANA NA WATU WANAOSEMA MAISHA YA BONGO NI RAHISI'TAMBARARE'. WENGINE WANASEMA ISSUE YA BILLS, ETI WALIO UGHAIBUNI WANALIPA BILLS TU.. KWANI BONGO WATU HAWALIPI BILLS? HIZO NYUMBA ZA KUPANGA ZA WAJOMBA ZAO? UMEME? AU WANAWAIBIA TANESCO? MAFUTA YA MAGARI? TOFAUTI ILIYPO NI JINSI BILLS ZINAVYOLIPWA TANZANIA UNALIPA KABLA NA UGHAIBUNI UNALIPA BAADA YA KUTUMIA NDIO BILL INAKUJA. TATIZO NI USWAHILI WETU KUWA UKISHATUMIA HUDUMA UNAONA KULIPA KAMA UNANYONYWA, NI USHAMBA! MAISHA NI POPOTE PALE LA MSINGI USIKAE NCHI YA MWENZAKO BILA MALENGO PIA KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI. TUNAJUA WENGI WALIO NJE WANAOFANYA KAZI WANASAIDIA NYUMBANI KULEA WAZAZI TENA KULIKO WALIO NYUMBANI. MAISHA NI KWA MTU MMOJAMMOJA SIO KUGENERALIZE MAMBO. TANZANIA INAJULIKANA DUNIANI KOTE KUWA NI MOJA KATI YA NCHI MASKINI SANA DUNIANI NA MAMBO MENGI NI DUNI SANA. HIVYO NI JUKUMU LETU SOTE KUJITAHIDI KUREKEBISHA HALI HII HASA VINGOZI WALIO MADARAKANI KWA WAO NDIO WATUNGA SHERIA NA WANAWEZA KEMEA MAMBO YA KIPUUZI.

    ReplyDelete
  36. Maisha popote jamani turudi bongo kufanya nini? Kwani lazima uishi bongo ndio ufanikiwe au kwa vile bongo competition ndogo. Mbona wahindi , wanigeria hawakumbushani kwao..Nyie kila siku na viswali....

    MAISHA NI POPOTE SIO LAZIMA PALE ULIPOZALIWA....wanigeria wakiomba viza wananunua round trip ticket lakini wakifika tu wanatupa ile ticket...hawaendi tena ndio wamehamia. Lakini hamna anayewasumbua na vimaswali kila siku wala nini...

    The way sisi watanzania tunavyo view life ni tofauti sana na wenzetu wa africa hata hao jirani zetu labda wanatucheka tu. Life and sucess tunavyoona siye ni tofauti sana. Ukiwa na gari wewe tajiri na unajulikana kuwa maisha yako tambarare. Ukijenga uchagani basi wewe tajiri hata kama hiyo nyumba hutaishi milele.

    Tatizo hatujui migration ni muhimu kwa viumbe hai. wote tuliopo huku tungekua tupo bongo naona kungekua kumebanana sana tu kwa hiyo tukiamua kuolewa au kuoa huku huku isiwe taaaaabu.

    Lakini kila siku "mbona hamrudi nyumbani muanze maisha" as if huku tumestop kuishi...mkiona picha..."mmejisahau sana ni kuparty tu nyie" ...jamani watu ndio wanaishi hivyo maisha yao yanakwenda...

    Kila siku kutuwaza tu kama vile mnatuonea huruma au mnatupenda saaaaana "lini utarudi nyumbani" ukisema baada ya mwaka narudi and then hapo hapo "ukirudi utaweza kuishi hapa Bongo bora ukae huko huko" ....Yaani very confusing ama ni kuchunguzana tu huku.

    ReplyDelete
  37. bongo kunazeesha bwana. Hebu muangalie huyu mama kweli uambiwe ana miaka 61 utaamini amefanana na mtu mwenye miaka 100 USA?

    Cheki http://www.ippmedia.com/ news za tarehe 20th Nov.

    ReplyDelete
  38. Michuzi ujue huwa natumia preshaz taim yangu kutuma comments ambazo huwa huzipablish!
    Bak tu biznez
    kama huko ulaya na Marekani unaishi kwa benefiti basi ni kweli maisha ya Bongo yatakushinda
    Eti ufuate choo maili moja, BUMBAFU zako!
    eti rushwa kumuona daktari, yaani unapesa ya kwenda ulaya, huna pesa ya kutibiwa AGA KHAN, huwezi jenga nyumba/panga nyumba self contained, maeneo yote ambayo maji ya DAWASCO ni mzozo watu wamejichimbia visima, na kuna makampuni mengi tuu ya kuchimba visima.
    Huwezi kukusanya data za research bila ya kuwa na kwesheneaz za maana.

    ReplyDelete
  39. WEWE UNAYESEMA AMBAO HAWANA NONDO WARUDI WAFANYE BIASHARA, NANI AMEKUAMBIA BIASHARA YA KISASA INATAKA MBUMBUMBU? YALE MAMBO YA KUTAFUTA KAZI BAADA YA SHULE SIO LAZIMA SIKU HIZI, NDIO MAANA WATU TUKO MAMTONI, TUKIRUDI ELIMU NA IDEAS JUU, HUONI WAHIUNDI WALIORUDI KUTOKA SILICON VALLEY WANAVYOFANYIZA INDIA? NA WABONGO HAWAWEZI KUISHA UGHAIBUNI, TUKIRUDI WADOGO ZETU WANAONDOKA KUJA KUPATA NONDO ZA KISASA, KWA HIYO ALWAYS KUTAKUWA NA WATU NJE, NA WEWE UTAENDELEA , OOHH RUDINI!

    ReplyDelete
  40. wabongo wanaoishi majuu michosho sana wanadharauliana kutokana na sehemu walipotoka.Jamaa aliyetoka masaki anamdharau aliyetoka mbagala kuwa hajui kuchambisha vizee vizuri.Na jamaa aliyetoka mbagala anamdharau aliyetoka masaki kuwa hajui ku-flip maboksi vizuri.Dah wabongo tumezidi.

    ReplyDelete
  41. Jamani mimi mfano nitarudi vipi bongo? nilivyokuwa bongo nilidharaulika, hakukuwa na kazi na nilipopata kazi malipo hayakut
    osha hata wiki moja kuishi
    baada ya kufanya kazi mwenzi mzima, huku tajiri niliyekuwa namfanyia kazi akiwa anatanua mimi niliendelea kumtajirisha huku nikibaki na njaa, chumba chakupanga maji ya shida choo cha kuchuchumaa nje halafu kila mtu alikuwa anasema hayo ndio maisha na mimi nikakubali.

    Mahali nilikuja kushtuka kuwa hayo sio maisha ni siku nilipodondoka mamtoni, nilishangaa nikiosha vyoo mwenzi mzima jamaa wananilipa pesa ya kuishi mwezi mzima, nikashangaa chumba nilichopanga kipo selfcontained choo bafu kila kitu ndani, umeme 24/7, kula mlo
    mara tatu kwa siku.

    Nilijumuishwa katika ujenzi wa nchi za watu, kwa sababu jamaa walinipa kazi na kunikata kodi ya mapato ili nichangie maendeleo, nafasi ambayo nchi yangu bongo hawakunipa, kuitumikia nchi tunaweza lakini kama hupewi nafasi utafanyaje?

    Ushauri wangu wa bure kama wewe kwenu masikini fanya juu chini uje majuu, huku unahitajika na utatumiwa vizuri kuliko bongo, mtaji wako ni mtaji wa masikini kama alivyosema B.Mkapa ni nguvu zako. Bongo hutapewa nafasi ya kuutumia mtaji na kulipa mahitaji yako, hapa ukiosha vyoo utaisha maisha yanayofanana na watoto wa oysterbay au masaki yaani utaendesha gari, utavaa vizuri, utapata watoto wazuri wa geti,utatuma hela kusaidia nyumbani na hamna mtu atakudharau kwa sababu unakula jasho lako.

    Lakini kama kwenu bongo matajiri au sijui baba katibu wa wizara gani au sijui nani wako waziri wa nini sijui basi njoo juu usome halafu rudi kwenu uendeleze matanuzi, kwa sababu hata kuosha vyoo utakuwa unajisikia vibaya ulizoea kuoshewa na wafanyakazi,rudi tu uendelee kutesa tuache walalahoi tutese huku kwa sababu wakubwa wa huku wanathamini ujuzi wetu wa kuosha vizee na kubeba boxi, bongo tukibeba boksi hailipi.

    Conclusion: Kama umesoma then chaguo unalo either kubaki na unahitajika au kuingia bongo na unahitajika ni jinsi tu ya kupangilia, kama hujasoma na kwenu masikini basi the best solution ni kubaki na unamsawazishia middle class wa bongo na kumshinda kitu ambacho bongo usingekiona, bongo hata nyama ya kuku yenyewe anasa

    ReplyDelete
  42. NDO YALE YALE, ETI KAMA UMETOKA FAMILIA NZURI ILIOSOMA NA WEWE UTAKUA POA!! ULIMBUKENI USIOISHA, HADI LINI WEWE UTATEGEMEA WATU. JAMAA ALIESEMA KAMA ULITOKA KWENU KUGUMU NDO UTAKATAA KURUDI. KUNA WATU WAMEONGEA POINT NZURI WENGINE INABIDI MSOME MNACHOANDIKA KABLA YA KUPOST.

    ReplyDelete
  43. We anonym wa 10:07 unataka kubisha mambo yakiwa poa kwenye familia ya mtu na yeye hatakuwa poa? Labda baba yake awe ni mtu wa kutumia fwedha kwenye nyumba ndogo na kuzimalizia kwenye baa.

    Familia nyingi ambazo ni poa basi na wanao huishia kuwa poa. Hii inamaanisha wanahakikisha watoto hupelekwa shule ya maana, wakirudi bongo na qualifications zao wanawapigia kifua kupata kazi na kuendeleza matanuzi. Hamna mtu anayetegemea watu ila they dont start from a scratch, wanakuta network imeshajengwa. Sasa mtu kama huyu namshauri akimaliza tu arudi bongo chap chap wala asipoteze muda.

    Sasa narudia wale wenzangu na mimi ambo tunatoka sijui mbagala keko n.k ambapo hatuna hili wala lile tukitaka maisha ni kubanana hukuhuku unless mtu umeweza kusave za kutosha na kwenda kuanzisha miradi. Lakini kama wewe mtaji wako ni nguvu zako usirudi bongo ng'oo watakumaliza kukubebesha zege na chakula wakupe cha siku moja tu na ukijenga kibanda sijui uuze nini mgambo wa halmashauri watakubomolea na virungu watakupiga, na ukivunjika mguu hakuna atakaye uliza utaenda muhimbili na badala yakukutibu mguu watakupasua kichwa, anaebisha anyooshe mkono nimuone.

    ReplyDelete
  44. Ila michuzi wakati mwingine una uzi sana, ndio nini kuzuia comment yangu, wala sijatukana mtu.
    Umeniuzi sana sasa ninakutukana, kichwa chako kisichokuwa na nywele.

    ReplyDelete
  45. wengi wetu ndo tushafika.bongo ni history,labda kutembea tu kila miaka 10.tumetaabika sana bongo huo ndio ukweli.dullahyoo USA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...