Home
Unlabelled
mama wa nyumbani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi hizi geti ni za kutulinda kweliiii au urembo tu. Kwani majambawazi wakitaka hawajina mikasi mikuubwa ya kukata hizo kufuli na bawaba? Na ukiwapigia sim polisi utazani wao ndio walikuwa majambazi manake watashoo apu kama sio usubui yake ni baada ya si chini ya masaa 2
ReplyDeleteMama wa Nyumbani eeeeeeeeeeeeeh baba!!! lol
ReplyDeleteHuyu mama ni mtamu jamani co masihara!!! namtamani we acha tu. Michuzi eeh...kwani ana mdogo wake wa age ya 20s?
ReplyDeleteKaka Michuzi nimepata kutoka Redio mbao kuwa Aisha na Fikiri Madinda (Mai hasbendi wake) hawako pamoja anymore ni kweli au?
ReplyDeleteUmeolewa Aisha? sio vibaya kuuliza.
ReplyDeleteHe michuzi kama ngasuma inalipa no problema iwe mama wa nyumbani au wa mtaani ....bora mkono uingie kinywani...tumia kipaji mungu alichokupa
ReplyDeleteamenenepa sana sasa hivi ,Aisha jitahidi kupunguza nyama za mikono
ReplyDeleteimekua minene sana ingawa unacheza vizuri
asante
usijipunguze mwaya,wanakuonea wivu,mwanamke hipsi babu,msituletee uzungu.Big up sister,you are atrue woman.
ReplyDeleteAisha mamaa, usiwasikilize wabeba mabox....daima mwana mama mahips, na kumeremeta kama ulivyo. Nakutafuta kweli hapa Bongo, huko wapi wewe?
ReplyDeleteNimependa sana alivyo vaa kama mama wa kitanzania asilia akiwa nyumbani sio vile vipunga ushuzi anavyo vaa akiwa stejini safi sana dada keep it utunze familia yako na umri ukigota kupanda stjini ufanye shughuli nyingine
ReplyDelete