mdau njili mwakoba alieko kigoma mwisho wa reli anazidi kutupa karaha za usafiri wakati wa mvua huko aliko

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. SASA HIYO NI MAIN ROAD YA KUUNGANISHA MIKOA!!JAMANI UJINGA UMETUZIDI SANA!

    ReplyDelete
  2. Halafu unasikia mtu anasema "siku hizi bongo mambo safi kabisa"! Nadhani 70% ya wabongo hii ndio hali halisi ya maisha yao. Kazi bado ipo.

    ReplyDelete
  3. Bongo tambarare.Kelele za nini???

    ReplyDelete
  4. Yaani Issa thanks much. Hapo ni home kwetu. Ngoja tujipange upya tuje kusaidia juhudi za kupakomboa! Home sweet home jamani!

    ReplyDelete
  5. Kumbe wa kigoma mdomo wote ule kumbe kwao hata barabara hamna
    Hivi mbona magari yanpishana upande tofauti na dar

    ReplyDelete
  6. ish, jamani mlikuwa hamjui kigoma wana 'keep right?!'

    ReplyDelete
  7. You must be kidding! hii ni Tanzania pia?

    Oh God we have a long way to go.

    ReplyDelete
  8. Ndio maana wakamchagua Zitto Kabwe, yaani huko ndio kisiginoni cha Tanzania

    ReplyDelete
  9. Jamani nyie mnaojua Dar na A-town hii ndio hali ya Bongo kwa sehemu kubwa. Yaani bora hawa wa Kigoma hata mabasi yanafika. Kuna vijiji huko mfano Umalila (Mbeya) na Lupembe Lwa Senga (Iringa) ni balaa tupu

    ReplyDelete
  10. CCM hao !!

    ReplyDelete
  11. Kigumu Chama Cha Mapinduzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...