Home
Unlabelled
gari la marehemu khalid
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni habari ya kusikitisha sana..lakini ni ahadi yetu wote.
ReplyDeletePembeni ya gari limeandikwa Khalid na Moses Matovu, vipi huyo mwenzake hakuwa nae au?
Bwana Mungu amrehemu ndugu yetu!
Agie
RIP Khalid...very humble guy...u will be remembered...1
ReplyDeleteRIP Khalid, sote tu njia moja issue ni muda tu, Tangulia dogo. Michuzi tuwekee na picha ya gari aliyopata nayo ajali mheshimiwa wa Mchinga Mudhihir mpaka ikapelekea kukatwa mkonowe, hatujawahi kuiona hiyo gari ipo katika hali gani!
ReplyDeletepoleni ndugu na marafiki wa ostazi khalid. mimi naona ni vizuri tukatenga sehemu maalum ya kufanya michezo ya aina hiyo, kama huku ulaya kukiwa na michezo ya namna hiyo kunakuwa na tangazo maalum kuwa baranara hiyo itafungwa, na siyo watu wanapita wengine wanafanya mashindano ya magari, RIP khalid.
ReplyDelete