Home
Unlabelled
ringi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Zipo nyingi labda DJ alikuwa hana kuna ile Singo ya Mariale alikuwepo,Chuwa alikuwepo...cc wachagga tupo juu... Na kwa taarifa yako Reggae zote ni za kichaga...
ReplyDeleteHa ha ha ha!!!!
ReplyDeleteBro Michu unajua chanzo cha ringi,Hawa wenzetu ni watu wa fedha sana,hivyo wana yale mawazo ya kwamba kila hela ni yao,kwa hiyo ukisipofanya hivyo inakuwa matokeo kama yale ya wenzetu kipindi ile Twanga pepeta mikono juuuu ukishusha simu zote hakuna mfukoni,nao wachaga ukicheza bila ringi utakuta mifuko yako yote mitupu ,si unajuwa tena arawaa!!!
We Michuzi hao jamaa wana singo nyingi sana kupitia kwa mastaa wao kama JUDY BOUTCHER, LUCKY DUBE, SOPHIA GEORGE NA wengineo wengi ati zikiwemo zile zilizowahi kupendwa za RTD especially ile SIGTUNE ya kukaribisha wasikilizaji katika kipindi cha UGUA POLE CHA RTD.
ReplyDeleteDr confusion haika monoko i mean asante mwanawane nimecheka sana umenikumbusha kisa cha massawe alokufa akafika lango la dhahabu la kuingia mbinguni, akamkuta malaika mikaeli na kitabu cha kuingilia mbinguni,akatafuta jina la massawe hakuliona akamwambia massawe jina lako halipo kwenye tarehe ya leo ngoja nikamuulize sir god tupate uhakika, looo malaika kurudi ili ampe jibu masawe kua arudi bado siku yake amefika pale kimakosa,alikuta massawe ameshatimua vumbi na gate la dhahabu halipo tena,
ReplyDeletewachagaaaaaaaaaaaaaaaaaa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
ReplyDeleteiringi ni muziki bila jasho...arawa akitoka kutafuta pesa yake ameshavuja jasho tayari sasa kwanini na mziki acheze kwa fujo? Huwa wanafanya kitu roho inapenda.....
ReplyDeletehiyo harusi ilikuwa cheap sana
ReplyDeleteHala hala kaka Michu,
ReplyDeleteMambo ya kuvaa suti harusi za watu uache bwana .
Unaweza kumfofyuzi bi harusi Bwashe akatoa sime bure!
Na mambo ya vibao vipya kila siku nani anataka.
....Kinate Kinanguruma !.....
Oye oye Kinate kinangurumaaaaaaa
Tembelea
www.chagga.com
kwa habari zaidi !
SASA HIYO SHUGHULI NI YAKO MICHUZI AU NI YA HAO WACHAGA UNAOCHEZA NAO? MAANA UNAONEKANA KAMA NDIO MOAJI WAKATI HAO WENZANGU WACHOVU TU KAMA MAMA, JAPO WAMETINGA TUTAI TWA UONGO NA UKWELI. fEZA NDIO INAZUNGUMZA, HAMNA CHA UCHAGGA WALA NINI. MWENYEWE UNAJIONEA HAPO UNAVYOONEKANA BOSS!
ReplyDeleteKuna mchagga alikuwa anatayarishwa kufanyiwa upasuaji wa tumbo.Manesi wakampa nusu kaputi ili alale na baada ya sekunde chache akalala tayari kwa upasuaji.Kwenye harakati za kutayarisha mikasi na bandeji basi kwa bahati mbaya mkasi ukaanguka na kutoa mlio.Mchagga akaamka na kusema "msee kama ni pesa ni sa kwangu" Wakamjibu ni mkasi akarudi kulala.
ReplyDeleteHivi ni kweli??Nimesikia ukitaka kujua kama kaburi ni la mchagga au hapana.Dondosha sarafu kama ni la mchagga utaona kaburi linatingishika.
ReplyDelete