Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria ufunguzi rasmi wa Ghala la kuhifadhia mazao katika kijiji cha Magadini Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wakati wa mwanzo ziara yake ya siku tano Mkoani humo leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Wote wako ziarani eeeh! au bwana mkubwa yee amerudi? kaazi kwelikweli.............

    ReplyDelete
  2. MBONA HUO UTEPE NI WA BENDERA YA CCM KWANI HAUNA RANGI YA BULUU! HILO NI GHALA LA CCM? AU TANZANIA TUMEACHA KUTUMIA ISHARA ZA SERIKALI KATIKA SHULI ZA KITAIFA? JUZI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO ZILIJAA JEZI ZA CCM NA MAPAMBO YA CCM HII INAASHIRIA NINI KATIKA UTAIFA WETU.

    ReplyDelete
  3. Wewe unayesema wote wako ziarani unamaanisha nini? Subiri ufike ngazi hizo uone unafikiri kazi yao ni ya ukarani ya kukaa ofisini? Hizo ni moja ya kazi zao. Wakienda mnapiga kelele wasipoenda mnapiga kelele ooh eneo hili halijatembelewa na kiongozi yoyote mkuu tangu uhuru, watanzania bwana vinywa wazi!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...