Asalam aleikum Bwana Michuzi,
Naomba unipeperushie hii kwenye blogu yetu ya umoja kwa wadau wote
Ninamtafuta rafiki yangu aitwaye Edina Mushumbusi ambaye kwa mara ya mwisho ( mid 90’s) nilisikia alikuwa akisoma Kibiti Secondary (Pwani). Je kuna mdau yeyote anayemfahamu au anayeweza kunipa mawasiliano yake?
Naomba unipeperushie hii kwenye blogu yetu ya umoja kwa wadau wote
Ninamtafuta rafiki yangu aitwaye Edina Mushumbusi ambaye kwa mara ya mwisho ( mid 90’s) nilisikia alikuwa akisoma Kibiti Secondary (Pwani). Je kuna mdau yeyote anayemfahamu au anayeweza kunipa mawasiliano yake?
Email yangu ni simbanjaa@gmail.com
Mdau Ngadu


Edina Mushumbusi aliolewa na jamaa fulani alikuwa mhandisi katika kampuni fulani ya Afrika ya Kusini; nadhani walishahamia Namibia.
ReplyDeleteThanks Anonymous kwa update yako. Lakini kama una contact zake naomba unipatie walau niwasilaine naye. Thanks though ... Ngadu
ReplyDelete