1. Namtafuta Liberata Burusu au Bulusu.
Tulikuwa naye Ruvu JKT Mwaka 1985 Operation Okoa.
Naomba yeyote mwenye contact zake anisaidie.
big_bangx@ yahoo.com
Tulikuwa naye Ruvu JKT Mwaka 1985 Operation Okoa.
Naomba yeyote mwenye contact zake anisaidie.
big_bangx@ yahoo.com
2. Habari Kaka Michuzi!
Nawatafuta wadau wote tuliosoma pamoja pale Kisutu Primary School tokea mwaka 1987 tukiwa darasa la kwanza na Mwl Lukindo na kukamilisha ngwe 1993, wengi watakuwa wanamkumbuka Mwl Karemwa na wengineo. Basi wadau kama mpo basi tukumbukane kwa kutumia email kirongaya@yahoo.com.
Nitafurahi sana kusikia toka kwenu.
Mdau Kirongaya!(UK)
3. NAWATAFUTA JAMAA NILIOSOMA NAO KAZIMA SECONDARY NA BAADAE TEACHERSCOLLEGE TABORA MIAKA KUANZIA 1968 MPAKA 1972 - WANAONIFAHAMUNITUMIENI EMAIL: ali_al_dughaishy@operamail.com
Ali Al Dughaishy
GSM : 95205530
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...