sina uhakika lakini mie pamoja na ulei wangu nadhani hizi fomu za kuombea leseni ya udereva zina mushkeli mahali. ukizingatia unyeti wa suala lenyewe mi nadhani kuna haja ya watu kuwa siriasi kidogo. wadau mnasemaje...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Sijaona kila kitu kilichopo ktk hio form lakini so far mimi sijaona kitu kibaya saaana kwenye hiyo form! Michu hebu enenda moja kwa moja kwene point ili ueleeeke vyema.

    ReplyDelete
  2. Kifungu D sio kosa lukwendesha motokari bila leseni na bima barabarani.Inabidi watu wawe serious.(Sio) ndio kosa kubwa hiyo lukwendesha ni typing error .
    Kifungu hichi kingesomeka ni kosa kuendesha motokari barabarani bila leseni na bima .

    ReplyDelete
  3. Kosa ni, lukwendesha,
    Kosa la lingine ni rinui, kiswahili safi ni kuongeza muda.

    ReplyDelete
  4. Kaka kumbe tunapishana barabarani miaka nenda rudi mwenzetu unaendesha motokaa bila leseni???!!

    ReplyDelete
  5. Makarani wetu hao....wewe ambaye hujaona ndio wewe umeitengeneza nini?

    Lukwendesha, Rinui ndio nini?

    Kumbe sio kosa kuendesha bila insurance sasa zipo za nini??? Hata liabity insurance sio kosa kumbe!!!! Mwaaa kujimwaga tu njiani sasa

    ReplyDelete
  6. Leseni na SIo Liseni kifungu D.
    -BooSt3D.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...