
1) Air tickets → Baby 720
→ Accompanying parent 860
2) Medication → 10,200
11,780
Cash available. → Nkya 1,550,000
400,000
100,000
30,000
50,000
2,130,000
KIITEC→ (Pledge ) 3,500,000
5,630,000
Kama ahadi zote zitatekelezwa, basi tuna upungufu wa Shs 6,370,000
1.Imanuel Nkya(Parent) Cell - + 255 713 616126
+ 255 786 616126
2.David Sawe (President Office-PublicServise Management
Tel.022 2134615,Cell - + 255 754 782175
3.Athman Hamis ( Daily News & Habarileo) Cell - + 255 784 531188
+ 255 713 331188.
4. Muhidin Issa Michuzi (Daily News & Habarileo) Cell +255 754 271 266


Nauliza swali Serikali yetu ipo wapi hapa? Sisi wananchi unalipa kodi kwenye huyu mtoto hawezi hana haki ya kulipiwa na serikali? na kama hana ni kwanini? Ningependa tu kujua mwananchi mwenzenu.
ReplyDeletekwa kweli inaleta matumaini,na mimi nitamjulisha kaka michuzi juhudi zangu by end of the week,hata kikiwa kidogo imenigusa sana hali ya mtoto.Nilijaribu ku contact baba mzazi lakini simu zote haziingii,hiyo ya tigo imeita mwanzoni kapokea ikakatika baadae haikukubali kabisa.lakini vile michuzi kaweka contact yake tuta deal na yeye.
ReplyDeleteMichuzi Ahsante kwa kufanya vitu kama hivi. Serekali na watu binafsi watafanikisha hili jambo kwa kutoa chochote walichonacho umoja n nguvu utengano ni dhaifu. Toeni information za bank account na wawakilishi wa kukusanya hizo pesa zinazohitajika. Wabongo walio ughaibuni wataonyesha upendo wao na wabongo walion ndani ya Bongo wataoyesha upendo wao na moyo wa kusaidia. Blog yako inasomwa na wengi. Nani akusanye pesa kwa Marekani? Au toeni infromation za benki ya nyumbani CRDB au benki yoyote.Inawezekana kutuma kwa Western Union pia. Bila shaka Wengi wasomao Blog yako wataweka mchango wao na kufanikisha matibabu ya huyu mtoto. Haya jamani harambee, tumeni mlichonacho kwa western union au kwa benki account maaalum ya mtoto huyu. bwana Michuzi waambie wazazi wafungue account maalum ya mtoto huyu. Ahsante sana ni mimi Mtanzania mwenzenu kutoka USA.
ReplyDelete