bosi wa sofia records mussa kissoky akityuni bezi langu huku zavara mponjika akipiga jalamba
papaa isaack kibodya akitia sauti ya kwanza katika studio za sofia records leo wakati mie yeye na zavara mponjika tulipoingia studio kutengeneza singo yetu. kumbe ni kazi kweli kweli kutengeneza muziki na hadi sasa tumekamilisha robo tu. singo yetu hatujaipa jina bado ila nahisi huenda tukaiita 'mdau wa wadau'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mie pozi lako tu michuzi.....

    ReplyDelete
  2. Chief Ramson nae???

    E bwana kuna mshikaji flani mlikua nae KU-Crew, alikua anaitwa Baggzy Mallone, yuko wapi yule mshikaji?Alirudi south?

    Kuna songi moja hivi la (kama unajua we) UTAONA, Verses zilikamuliwa kinyamwezi na chorlous jamaa akatambaa kibongo

    ReplyDelete
  3. We Michuzi unatuibia sasa! Tangu lini umekuwa mwanamuziki!!! MH!

    ReplyDelete
  4. Wabongo bwana kwa uzushi tumezidi! duh!!!! kila mtu mwanamziki. mmh haya bwana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...