nani kaeme mie sina suti???

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hiyo suti ni 2 tone jamani

    ReplyDelete
  2. Issa Michuzi, Zambia(kaunda)Suti imetulia hiyo fundi cherehani gani huyo kakushonea vizuri kali sana Piga Mashati ya Mandela sasa ya Singapore Suti za kizungu hatutaki tena mjusi unakabwa vizuri kama una maadui. Issa michuzi imetulia hiyo.

    ReplyDelete
  3. mamaaaaa....WOOOOOw michuzi hiyo ni MANDELA SUTI. (sio kaunda suti)

    ReplyDelete
  4. Michu hiyo ilikuwa mwaka gani??

    ReplyDelete
  5. WEWEEEEEEEEEEEE MICHU
    hiyo suti au vazi la asili !!!!
    mwe!! mie nilidhani ni vazi la huko kwenu unakotoka sijui wapi vile?
    loh !!! hii kali
    unajua kuchekesha watu wewe
    keep it up

    mdau canada

    ReplyDelete
  6. MAMA SALMA KIKWETE AKIVAA MAVAZI YA KIAFRIKA KWANZA ANAPENDEZA,PILI SISI WATANZANIA TUNA FURAHI KUMUONA AKITOKA NA VAZI LA ASILI NA LA HESHMA PIA.KWAHIYO MICHUZI MIMI NAFIKIRI WANAUME WA KIAFRIKA KAMA MAWAZIRI,WAANDISHI WA HABARI NA MAOFISINI BADALA YA KUJIKABA NA SUTI ZA KIZUNGU HIYO KAUNDA ULIYO VAA NDIO LINGEKUA VAZI RASMI KWA WANAUME,ILA MPIGE PICHA BUSH ANAKUJA TANZANIA ANAKABIDHIWA VAZI HILO ILI AENDANE NA VAZI LA TAIFA SI KICHEKESHO.

    ReplyDelete
  7. Michuzi mimi nakumbuka picha hii!! Ilikuwa ni miaka ya tisini kule Zanzibar, kama sikosei hapo ni uwanja wa Amani! Ila sikumbuki kama ilikuwa ni mechi ya soccer au shughuli ya kitaifa.
    KIDUME, USA

    ReplyDelete
  8. Suti za kazi hizo...mifuko kibao!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...