wapenzi wa vibao vya enzi hizo bofyeni hapo chini mburudike http://www.jambonetwork.com/jn/zilipendwa/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Thanks, starehe unayotupa siyo ya kawaida.

    ReplyDelete
  2. Shukrani kwa link hiyo.
    Inaliwaza na kumbukumbu kibao.

    ReplyDelete
  3. Miziki hii hutukumbusha mambo mengi.
    Asante Jambonet, Asante Michuzi.

    ReplyDelete
  4. Sijapata kuburudika kama hivi na vibao ulivyotupa vimenikumbusha safari yangu yote tokea shule ya msingi,secondari,chuoni,kazini, hadi nyumbani niwapo jikoni nikipika nilikuwa ni lazima niweke kipindi cha salamu au chaguo la mziki uupendao na lala salama.Nimeweza kuwakumbuka marafiki zangu wote waliokuwa wanaupenda mwimbo fulani.Abisina imenikumbusha mbali sana enzi hizo niko secondari.Asante sana kaka dumu ktk kutukumbusha miziki ya zamani.

    ReplyDelete
  5. Kaka Michuzi,
    Kusema kweli ni furaha iliyoje kupata vitu kama hivi. Inaburudisha kweli na kutukumbusha mbali. Hongera sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...