wadau kunradhi, niliondoka hewani kwa masuala ya kinanihii kidogo wakati mjadala unaendele. ni kwamba mheshimiwa spika ameahirisha bunge kwa leo hadi kesho saa 3 asubuhu wakati mjadala utapoendelea. wabunge kama 50 na ushee wameomba kuchangia na hadi sasa ni 20 tu waliopata nafasi ya kufanya hivyo. na kuzingatia kila mmoja anapewa dakika 15 kuongea hii ngoma itafika mpaka jumatatu, kwa mujibu wa mh. spika. kwa hiyo hadi tunarudi mitamboni ngoma ni 3-0 na majibu toka kwa jk bado yanasubiriwa...

kwa wakati huu naomba tuendeleze libeneke kama kawa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. JK avunja Baraza la Mawaziri....

    ReplyDelete
  2. MWALIMU NYERERE ALIVYOSEMA KWAMBA.."KUNA MHESHIMIWA ANAFEDHA KULIKO UMRI WAKE HIVI ALIKUWA NI NANI NA KAZIPATA VIPI ?.."

    ReplyDelete
  3. are you sure kuwa ni 20 waliochangia?wataje mi nimepata 9 tu!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...