Michu,
najua upo busy kwenye mambo ya Pres Bush, ukipata muda naomba unigongeshee hii.
Nimepotea bongo muda kidogo, nawatafuta washikaji niliosoma nao enzi ATC (Air Tambaza) Miaka ya 80's..Kama ABEL MAYIRA, RASHID MCHATA, GIDEON FUE, ARISTERIK BITEGEKO, na wengine wote wa darasa hilo,
tuwasiliane
Asante Prof Michuz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kwa taarifa nilizo nazo wote hao tumeshawazika. Pole sana ndugu.

    ReplyDelete
  2. ndugu yangu kama unamuulizia Rashid Idd Mchata aliyekuwa RTD,bahati mbaya alitangulia kwa Muumba wetu,unless ni Rashid mwingine.

    ReplyDelete
  3. Ninyi jamaa hapo juu acheni uchawi.. As far as I know, Mchizan Astery yuko ngangari mji kasoro bahari, Mdau Rashidi naye yuko fizikali, mara ya mwisho nimemsikia alikuwa kibosile wa mshikaji wangu mmoja hapo Bongo somewhere, fit. Mwanaharakati Gideon Fue AKA Masumbuko, mara ya mwisho nimemsikia Tambaza 19 kweusi lakini sina taarifa zake..Nitamtafuta. Wadau acheni uzushi kuua watu siku si zao.
    Mdau Akili bin Haki.

    ReplyDelete
  4. Kama ni Rashid Kassim Mchata,he is working with Unit Trust Of Tanzania.0754800544

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...