

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu mama yetu kwa kweli anapiga kazi mpaka inatia raha.
ReplyDeleteMama Salma Kikwete MUNGU akubariki, akulinde,akupe nguvu huendelee na kazi yako nzuri uliyoianza ya kutumikia taifa letu na maendeleo yake.
ReplyDeleteMama yetu huyu anapiga kazi naungana na mdau wa kwanza. Mama Salma Mungu akubariki na akuzidishie utayari wako naomba uzidi kusaidia maeneo ambayo kupata hudumu ni ngumu kidogo. Mungu akubariki sana
ReplyDeleteMama acha kudharau walimu wazalendo
ReplyDeleteWewe anon hapo chini sasa huyu mama atadharau walimu ili nini amekuwa mwalimu pale mbuyuni miaka nenda rudi sidhani kama ataweza kufanya hivyo halafu tushukuru anafanya kazi sana kwa kweli yaani nadhani schedule tight sana
ReplyDeleteSasa kama ukiingia kwenye blogu huna kitu cha kusema bora kupita kimya kimya, sasa kadharau walimu wazalendo, hapo kwenye picha yuko na walimu wageni au wazungu? Mwe mkiamkaga na mataputapu bora msiingie kwenye blogu!
ReplyDeleteMama hongera sana nina hakika huko Nyamisati tangu uhuru hawajawahi kuona sura ya first lady hata mmoja wewe ni wa kwanza bila shaka. Maana huko kwenye delta ya Rufiji mhuu sie tunaopajua tunakupa hongera kwa kusogeza elimu kwa watoto wa eneo hilo na itawasaidia watoto wengine wote wanaoishi kwenye delta ya Rufiji iliyo karibu na hapo.
Huyu mama alitamka kuwa hiyo shule itafundishwa na walimu toka nje kwani hapa kwetu hatuna walimu?
ReplyDeleteHuyo anony aliyesema kauli ya huyu mama kwamba ataleta walimu kutoka nje yuko sahihi amuangaliagi TV?
ReplyDeleteHuyu mama alitamka hivyo wakati anatembelea huo ujenzi na hiyo ziara ilirushwa hewani na local TV station
Nyinyi mnaopinga kwamba huyo mama hakutamka hayo maneno inaonekana mko nje ya nchi
ReplyDeleteAfadhali aamke na mataputapu lakini anachoongea ni point wewe ambayo hujaamka na matapu tapu ona unavyoongea pumba
ReplyDeleteMama Salma anashauriwa awe anaandika vitu halafu awe anahutubia kwa kusoma maana anaweza akawa anamuangusha mheshimiwa Rais kwa kuteleza ulimi hapa na pale kama alivyoonyesha kutowajali waziwazi walimu siku alipotembela ujenzi huu alisema hivi namnukuu
ReplyDelete"Na mimi nimekuwa nikitembea nchi mbalimbali huko tunaweza kupata walimu kuja kufundisha hii shule na wala sio walimu wa hapa"
Unaona
Kauli hii inadhihirisha wazi jinsi asivyothamini walimu wazalendo
Mama Salma usimpe kazi Mheshimiwa ya kukutetea kila siku kama alivyokutetea pale alipotamka kuhusu suala la Ocean Road Hospital na vifaa vyake
Andika hotuba au muombe husband wako akuandikie au kuedit kama huna wasaidizi wa kufanya kazi hiyo. Hii nafikiri itakuepusha na matamshi yenye mlengo wa kushoto
Ushauri kwa commentors wengine
ReplyDeleteUsikurupuke kumshambulia na kumtukana commentor mwengine kama huna data, hatutaki ugomvi kwenye hii blog yetu.
Mama Salma kweli alitamka maneno lakini tunamsamehe tunajua aliteleza hivyo tunaomba aufikirie ushauri huo hapo juu kama utamfaa