kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni mh. hamad rashid mohamed na waziri mkuu aliyejiuzulu mh. edward lowassa wote wameunga mkono uteuzi wa mh. mizengo pinda kuwa waziri mkuu. michango ya hoja hiyo inatolewa sasa na anayeongea ni mh. getrude mongella, anakaa na anainuka mh. anna abdallah na hatimaye katajwa zitto kabwe, kuchangia hoja hiyo. wote mongella na anna abdallah wanaunga mkono uteuzi, wakimpa maksi zote mh. mizengo pinda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Duh,noma kweli anyway.

    ReplyDelete
  2. hayo ndio mambo tunayotaka watu kama hawo wasiokuwa na majina makubwa ndio viongozi wazuri kama wakina hayati sokoine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...