waziri mkuu mpya mh. pinda akipongezwa na waziri mkuu aliyepita kabla yake mh. lowassa mara bada ya kuapishwa leo ikulu ndogo ya chamwino, dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Mh Pinda HOngera sana. Mimi ninaYo MAWILI tu.

    Watanzania ni wasanii sana na usipokuwa makini watakunasa tu na kukuchafulia.

    Naomba, tena naomba sana kazi yako ya kwanza iwe ni kuuliza nani kalipia ndege iliyokwenda kuwachuka wazazi? KAMA NI WEWE MWENYEWE POA.

    LA KAMA SI WEWE mwenyewe toka mfukoni mwako basi hakikisha unamuwajibisha mara moja. ndio rushwa hizo wasijewakakuzoea vibaya. Inaweza ikawa ni hela ya BOT au BUZWAGI au RICHIMONDULI.

    HAlahala baba, haya si majungu fanya uchunguzi na hata kama ni ofisi yako wakuonyeshe hilo fungu linaloruhusu vinginevyo utajashindwa kusimamia matumizi ya ofisi yako. Na ukifutilia utaambiwa gharama za kutisha kwenye kukodi hiyo ndege.

    Ahh KAKA ANZA VIZURI WASIKUHARIBIE HAO.

    LA PILI
    mshauri mZEE apunguze safari. Hao wanaompangia au kumshauri wanalojambo lao si kwa kumpenda bali kwa maslahi yao. Unajua watendaji serikalini ni wajanja sana. wanajua falsafa ya "KEEP HIM BUSY"
    .Basi yeye atakuwa hana muda na ofisi kwa vile wanamfanya BUSY kuzunguka KUTWA KUCHA kumbe ndo na wao wanapata muda na mianya wakufanya mambo yao.

    Wanajua akikaa ofisini atajua MACHAFU na atapata muda wa kufuatilia hivyo the only way ni KEEP HIM BUSY. Nawe tahadhari si kila siku safari utakuwa UNATUMIWA ukidhani UNATUMIKIA wananchi.

    HONGERA SANA. KAKA ANZA VIZURI WATAKUCHAFULIA HAO.

    ReplyDelete
  2. Huyu baba watamfungulia mashitaka ua ndio imetoka hivyo. Kujiuzulu basi ndio mwisho wa hadithi?

    Mi naona wamfungulie mashitak au arudishe hela yote ya mshahara kwa vile hakufanya kazi aliyopewa na watu

    Manake hapo baraza limevyunjwa basi ndio kila kitu kitaisha but how about our money?

    Na nani atajifunza ina maaana kila anayekosea ni kujiuzulu tu and then story imeisha?

    ReplyDelete
  3. Hello God


    Hello God, are you out there?
    Can you hear me, are you listenin' any more?
    Hello God, if we're still on speakin' terms
    Can you help me like before?
    I have questioned your existence,
    My resistance leaves me cold
    Can you help me go the distance?
    Hello God, hello, hello

    This old world has gone to pieces
    Can we fix it, is there time?
    Hate and violence just increases
    We're so selfish, cruel and blind
    We fight and kill each other
    In your name, defending you
    Do you love some more than others?
    We're so lost and confused

    Hello God, are you out there?
    Can you hear us, are you listenin' any more?
    Hello God, if we're still on speakin' terms
    Can you help us like before?
    Oh, the free will you have given
    We have made a mockery of
    This is no way to be livin',
    We're in great need of your love
    Hello God

    Hello God, can you grant us
    Love enough to make amends
    (Hello God) Is there still a chance
    That we could start again
    Hello God, we've learned our lesson
    Dear God, don't let us go
    More than ever
    Hello God, hello, hello
    Hello God, we really need you
    We can't make it without you
    (Hello God) We beseech you
    In the name of all that's true
    Hello God, please forgive us
    For we know not what we do

    Hello God, give us one more chance to prove ourselves to you
    Hello, God; hello, God



    http://www.youtube.com/watch?v=W49H4UYClCM

    ReplyDelete
  4. Premier wetu ana sura ya haja sana... nzito... Sijui Kikwete kamteua ili awe anatisha cabinet..

    ReplyDelete
  5. UYO JAMAA LEFT NDIO ANAYESABABISHA TULIPE UMEME SH 100000 KWA MWEZI

    ReplyDelete
  6. Tuna handsome President na Ugly Prime Minister.

    Sasa Mh. Pinda atamfungulia mashtaka kweli Lowassa? Au wamekumbatiana kinafiki?

    ReplyDelete
  7. Jamani nashindwa kuelewa huku kuachia ngazi nusunusu.Hivi kama wamejiuzulu Uwaziri sababu ya ufisadi, nani anawataka Bungeni?hatutaki wakatunge sheria zetu na hata kwenye chama wnatutia aibu wajiuzulu vilevile na wafunguliwe mashitaka ya uhujumu wa uchumi.nawapa pole wananchi wa majimbo ambao hawakatai kuendelea kuwakulishwa na fisadi hao wakubwa

    ReplyDelete
  8. tumeona anakunong'oneza hapo kuwa umsamehe hiyo shauri yako sisi tunataka hatua zilezile kama wengine wanavyofanyiwa zichukuliwe.

    Lowasa aliliamika kuwa issue ni uwaziri mkuu sasa inabidi aoneshwe si hicho tukwamba hafai bali pia ni kurudisha jasho la wananchi aliloiba

    Kwamba ameonewa ni malalamiko yasiyo na msingi hata mwizi akikamatwa redhanded atasema nilikuja kuomba maji ya kunywa na si mwizi hivyo awezi kuacha kutapatapa

    Haki ya kusikilizwa kaijua leo hii?kasahau alivyomfukuza kazi saiti yule injinia wa temeke?alijieleza wapi?Je wale wakuu wa wilaya aliowadhalilisha mbele ya wake zao wakwe,watoto na nyumba ndogo zao? kwa hili he was not siriasi. mambo ya mfa maji haya.

    Kuna mtoto wa shule kule kanda ya ziwa Lowasa alipoenda ziara aliwahi kueleza nadharia ya mshika mawili moja humshinda, aliuliza vipi mtu aweza kuwa na madaraka kedekede kwa wakati mmoja?jamaa alishindwa kujibu.kiundani mtoto alimaanisha umiliki wa biashara na siasa wapi na wapi? ndio hayo sasa ya rich monduli na nafasi aliyoacha.Ilitakiwa aachie muda ule aliposhindwa kumjibu yule mtoto. Anayefahamu huyo mtoto yupo wapi so far tafadhali tufahamisheni manaake swali lake linamfanya baadae aje kuwa mwandishi wa habari wa kutisha

    ReplyDelete
  9. Hii ndio siasa, wanaonekana wana furaha lakini moyoni ni vingine kabisa. Unafiki mtupu, ninawashangaa wataalamu wanaoacha fani zao wakakimbilia siasa ambazo hazina fomula ni ujanja ujanja tu!!!

    ReplyDelete
  10. HIYO NI SURA YA KAZI BILA UBISHI.SIKU ZOTE WENYE SURA SOFT AU HANDSOME NDIO VIBAKA WAKUBWA.

    ReplyDelete
  11. mmh jamani kafanana na Tibaigana huyo au ni ndugu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...