wakati libeneke likiendelea huko bungeni dodoma, mie najikita zenji kutoa singo yangu kwenye tamasha la sauti za busara zinazioanza jioni hii ngome kongwe. hapo napokewa na kunguru wa zenj ila msihofu niko hewani na nafuatilia kwa ukaribu mjadala kule bungeni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. RUDI WEWE UNAENDA WAPI WAKATI SISI NDIO TUNAKUHITAJI KIPINDI CHA UMBEA MUHIMU WA SAKATA LA RICHMOND GEUZA NYUMA.

    ReplyDelete
  2. Naona "FULANA" mzee..

    Michuzi hoyeeeeee... Naona leo umewapiga bao jamboforums maana hawako hewani

    ReplyDelete
  3. Hebu rudi mwenzio kaahirisha safari muhimu binafsii ya marekani. Si umesikia

    ReplyDelete
  4. Hi Michu! Nikija bongo nakuletea T-shirt kama kumi hivi. Hiyo moja tumeichoka! Okaaayyy (ya kinugu)

    ReplyDelete
  5. Angalia tindikali tu ndugu yangu.

    ReplyDelete
  6. MICHUZI endelea na fashion zako hawa wanaosema wanakuletea t-shirt za wanaugu kutoka Marekani hawana deal. Kwa ni we unashindwa kuja huku au kwenda huko Paris kufanya shopping za nguo?
    Weee michuzi endelea kuwa unique unapendeza hivohivo na viflana vyako. Kwanza ukiuza flana yako bei yake itakuwa sawa na kununua magari 2 achana nao kabisa wanaoigiza au kudhani kuwa Wamarekani weusi ndio wanajua tshirt nzuri. Wanavaa mat shirt over size hata hayapendezi. Maandishi Rocawear G-Unit, Phat , hamna deal na mtshirt yenu ya kinugu vaeni wenyewe hukohuko Ughaibuni. Michuzi anayesa na t shirt zake anajua mwenyewe alikozitoa hata kama ni MIgoMIGo anatesa huyooooo! Tanua lete manyuuz make money Get rich let them die trying. Word Up Big Michouzy bin Michouzy . Mbongo kutoka unyamwezini atapenda kupata kopi ya singo yako.

    ReplyDelete
  7. brother michuzi from uk hapa nataka nikuletee tishert za primark nyingi kama za pound 30 hivi,usiulize kuhusu primark maana najua wambea watakuvunja moyo nguo ni utunzaji tu kaa chojo mwisho wa mwezi usizime simu.

    ReplyDelete
  8. Michuzi unapolekewa Zanzibiar na Kunguru! Yaani hata Kunguru wamesikia sifa zako!

    Safari njema, tuletee picha safi kutoka huko!

    ReplyDelete
  9. michu asante sana kwa taarifa zako, nawatakia wabunge all the best.

    ReplyDelete
  10. Sasa wewe Michu vipi tena?? Bungeni tayari kuna wachungaji, tunahitaji wadau wa nguvu kama wewe... sasa huko unakimbilia wapi tena... bongo uwaziri nje nje... hala hala bro katika mawasiliano basi angalau uwe makini usiingie kwenye internet cafe karibu na Keys hotel maana mdau wake, si unajua tena.... na wakati ukianika gagulo hadhari hakikisha yule mtu wa mwisho aliye kuwa kwenye hiyo komputa ya kushea huko zanzibar sio caspium.com mweeehhh!!! Umekubalika wangu sio utani... MICHUZI FOR MINISTER!!! MICHUZI FOR MINISTER!!!

    ReplyDelete
  11. ISSA HILO GITAA UTAENDA KULICHEZA AU LITAKUCHEZA...HIYO SIO KAMERA MAALIM..

    ReplyDelete
  12. mwaya michuzi, kapare miwa huko zenji

    ReplyDelete
  13. maalimu michuzi mimi nilifikiri kuzamia meli inabidi uwe mafichoni kumbe hata dek!!haya safari njema mjomba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...