ngome kongwe hapatoshi kwa jinsi watu wanavyojazana kushuhudia sauti za busara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Mimi nilizania ni show ya u2 huko majuu, kweli Zenji wameendelea, sasa hao wazungu wote hao waliwapata wapi?

    ReplyDelete
  2. Jamani wapi hapo,Keputauni au Unguja???kweli mseto wa marangi!!!

    ReplyDelete
  3. zanzibar raha sana kaa hamuamini muulizeni michu

    ReplyDelete
  4. Kuna vyoo vya kutosha hao wageni, hapo Zenji?

    ReplyDelete
  5. tuplionyu ingekua hakuna vyoo vyakutosha basi hili tamasha lisingekua kila mwaka nakufana. na kila mwaka ndio watu wanaongezeka

    ReplyDelete
  6. Brother Michu, hakikisha Mikutano kama hii inatoa Ujumbe wa kujikinga na UKIMWI pia, zenj ni ndogo sana kama haikuchukuliwa tahadhari ya hali ya juu, tamasha hili linaza lisiwepo miaka 10 ijayo kwa kukosa "audience". Please play your social responsibility!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...