jamaa na dogi wake wakicheki kama kuna noma
waandishi wakiwa wamezungukwa na jamaa wakisuburi mgeni
majamaa walikuwa hawaamini mtu
jack bauer naye alikuwepo akivinjari kwa mbali na ndinga lake
mizinga 21 inaapigwa kwa heshima ya george w. bush

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 19 mpaka sasa

  1. DUU HUYO MBWA INABIDI ALE DOZI YA MARALIA I'M SURE ATARUDI NAYO

    ReplyDelete
  2. "...HATA NYUMBANI KWAKO HAKUNA MGENI ASIYE NA KARAHA"

    ReplyDelete
  3. wewe unazania alienda hivyo hivyo?

    hivi ni mwaka gani ule alikuja michael jackson akageuzia uwanjani...nakumbuka hiyo japo sikumbuki ilikua lini

    ReplyDelete
  4. nani kakwambia duniani hakuna MUNGU,huyo bush security yake katika ziara ya africa imegharimu the equivalent of the annual GROSS DOMESTIC PRODUCT ya bongo.hao security posse yake,wanafuata amri moja kwa moja toka langley,ambapo coordination commandpost ya ulinzi wake ipo,huko langley staff mia tano with all leave cancelled,kwa kutumia satellaite tatu ambazo kwa sasa ziko in international skies over tanzania wanamonitor movements zake na ku x ray everyone,hiyo airforce one ina uwezo wa kujam communication zote tanzania,ina state of the art medical facilities,usishangae kuona lift au electronic gates zinajifungua zenyewe.usishangae kuona wanyama wanakuwa restless kwa sababu ya mionzi ya monitoring inayotokea kutoka kwenye hizo satellaite,when push comes to shove,wakihisi kuna hatari,commandpost langley at the push of a button,mchana wanaugeuza usiku na kumuondoa mtu wao kwenye hatari

    ReplyDelete
  5. My tax going home ooooooohye thanks Bush

    ReplyDelete
  6. eehee we anany wa hapo juu noma , naona umesoma ile novel ya dan brown alietunga da vinci code jina nimelisahau ana novel moja ndio ina mambo hayo kama ya hiyo langley na nini !! acha logi zako and to be honest we dont give a monkeys !Yaani wewe bwana unajiamini sana wewe hizo data umezitoa wapi ? usije ukasema tuu unafanya kazi langley mlinda geti ? na Mchana wa jua la bongo ambalo ni free kutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wao watawezaje kuugeuza usiku ???
    Anyway mie hapa nilikuwa namuandikia kaka michuzi nimwambie tuu hongera sana mana na kazi yote hii nzito unayoifanya ya kututengezezea blog yetu 24/7 bado una muda wa kuangalia 24 !!!

    ReplyDelete
  7. Wewe wa tarehe Sunday, February 17, 2008 12:35:00 AM EAT, Mtoa Maoni: Anonymous, usijifanye mjuzi!

    Kuna tofauti ya ulimzi na usalama wa vyomb vaya SS (secret service) na CIA yenye makao makuu Langley!

    ReplyDelete
  8. HILO JIBWA NI LA MICHAEL VICK MCHEZAJI WA MPIRA FALCON-ATL

    ReplyDelete
  9. anon wa 12.35 umesahau kwamba hizo gari alizoshuka nazo zinaweza kusurvive a nuclear blast,na akina mama wajawazito si vizuri kuusogelea huo msafara kutokana na mionzi ya monitors zilizoko kwenye satellait,unaweza kuzaa albino.katika airforce one kuna PLASMA yake in case of emergency,na base ya diego garcia iko on standby.yaani tanzania sasa hivi iko what we call in militay terms TOTAL WATCH

    ReplyDelete
  10. basi wabongo kwa kushangaa...waone walivyojipanga kwenye fensi,wanashangaa ndege,uwiii aibu!!!

    ReplyDelete
  11. Anon Sunday, February 17, 2008 12:35:00 NYIE WABONGO WAONGO SANA YAANI NDIO ZILE STORY ZA VIJIWENI KABISA WEWE ULISHAFANYA KAZI HUKO LINI AU ULIZIONA WAPI LIVE HIVI VITU VYA KUHADITHIWA BWANA HAWAWEZI KU DISCLOSE KILA KITU WATU WAJUE SASA USALAMA UTAKUWA WAPI ALTHOUGH KUNA VITU VINGINE VINAONYESHWAGA KWENYE DOCEMUNTARY ILA WEWE UMEZIDI KAMBA HILO RUNGU TUME KWEPA OHHHHHHH

    ReplyDelete
  12. Du!!! we Anony wa feb 17,2008,12:35
    nimekukubali we mwanangu muongo kishenzi huo uongo unatakiwa ukawadanganye watu wa kijijini ndio utawakamata ila sio hapa

    ReplyDelete
  13. Mh, michuzi, huyo Jack wa Ukweli au kuna Jack Bauer mwingine wa Mbezi?

    Sam

    ReplyDelete
  14. Michuzi,

    Huyo mbwa/dogi ana jina na cheo. Ukute ni Sajenti Edward, au Major John au Kanali Michael. Ungepata na jina lake. Tena hii ziara inaingia kwenye CV yake. "Sniffed out the J.K. Nyerere airport in Africa"

    ReplyDelete
  15. Kwakweli mi nimeipenda ya Jack bauer kama kweli vile
    tehe tehe teheeeeee

    ReplyDelete
  16. jack bauer...? hapo umenikosha sana jamaa anatisha unaweza usilale ukianza kuicheki, mchuzi huwa unaangalia saa ngapi? na kama umemaliza seasons zote nadhani imekuchukua mwaka na nusu

    ReplyDelete
  17. haaa haa haa nimeipenda hiyo ya jack bauer khe kumbe kaka michuzi upo up-to-date eh? hadi series hizo unaangalia ujo juu sana, haya kaa mkao wa kula: 24 season 8 ipo njiani.......

    ReplyDelete
  18. wee anony wa monday 1:28 usimdanganye michuzi 24 haijafikia season 8, ndio kwanza sasa hivi inatengenezwa season 7 ya mwisho kuangalia sie season 6, inaonyesha wewe tupo wote hapa bongo tunategemea wadosi watengeneze feki tununue kwa alfu 3.
    wadosi namba sita kwa sababu ni ndefu sana wameigawanya nyengine wameipa season 7

    ReplyDelete
  19. Aisee hapo kwa Jack Bauer Brother Mich. umenimaliza kichizi yaani kama kweli maana namzimia mshkaji kichizi na hiyo series yake. 24 sasa inakaribia kutoka season 7 ambayo nilisikia inaweza kuche;lewa kidogo maana Jack Bauer alifungwa nafikiri siku 14 jela kwa kosa la kulewa kupita kiasi na kuendesha gari. Inaelekea jamaa cha pombe nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...