Home
Unlabelled
adha ya mvua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mhhhhh tzzzzzzzzz kweli hali mbaya sasa maana mvua ndio imekuwa kitu cha hatari sana lakini tunafurahi kufahamu zaidi kila kitu tunashukuru sana bwana Michuzi.
ReplyDeletenaona visa, MASTERCARD, DISCOVER PLATINUM,AMERICAN EXPRESS,WALMAT GIFT CARD,HEALTH INSURANCE CARD,GOLD GYM MEMBERSHIP CARD na DRIVER`S LICENCE.
ReplyDeleteMdau, Mtoni Mashine ya maji.
Tujifunze kutotembea na document zoooote hata zile ambazo hazitumiki siku hiyo!!! Naona picha ya mdada fulani hapo pembeni bila shaka atakuwa ni My wife wake...safi sana fundi umeme wa magari!!
ReplyDeleteni umeme YA magari au umeme WA magari?
ReplyDeleteHao ndio wale wale wasanii wa Posta,
ReplyDeleteOfisi ni mtu aliposimama,
we mtu mmoja madocument kibaaaaaoooooo,
Huyo jamaa hapo alipo anaweza hata kukuchongea pasport, au hata viza kabisa ukipenda, unampa dk 2 tu
NAONA BILLZ KWA MBAAAAALI
ReplyDeleteManeno tafuta ofisi sasa, Msalimie sana Benja. Ni mimi mdau wako Jos Kamali Samora
ReplyDeleteMichuzi (sinia) andika Umeme wa Magari sio Umeme ya Magari.
ReplyDelete(mswahilina@gmail.com)
DA LANGO LA BILLICANAS LILE....SIPATI PICHA ENZI ZANGU..KILA J/MOSI NATIA TIMU...DA HII PICHA IMENIKUMBUSHA MBALI SANAAAAAAAAAAA
ReplyDelete