Home
Unlabelled
bidhaa zitokanazo na mnazi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Cjaona bidhaa yangu kile kinywaji ukikipata inabidi ufungu suruali kwa chini.
ReplyDeleteNakubaliana na Mbasa 100%!Utawekaje bidhaa zitokanazo na mnazi bila kuweka bidhaa yenyewe orijino...pombe ya mnazi?Hayo mavinyago yana faida gani? Just kiddin jamani kweli inapendeza!
ReplyDeleteJamani hizo bidhaa zikifanyiwa Promosheni hakika zina soko na zitawainua kimapato ndugu zetu wa ishio mwambao wa Pwani pamoja na huko Unguja.Wa kufanya Marketing yuko wapi pale TTB?Watu wako Bize kutafuta Mshiko wa Dallaz!Vitu hivyo viwekwe karibu na Mahoteli ya Kitalii.Tusiwalazimishe Watalii wavifuate mafichoni ambako hawapajui!Watakao wezesha hilo lifanyike ni nyie Tanzania Tourist Board pamoja na HomeCraft.Visitozwe VAT,maana hamna haya nyie hata mavi ya ng'ombe yatatozwa ushuru wa forodha!Zikishakusanywa zote atalipwa DOWANS tusikose umeme,mwe!
ReplyDelete