Wewe Michuzi aka mtu wa bwawa la main unachotakiwa kufanya nikutupongeza sisi Gunners sio eti tumeona mwezi, wakati sisi tuna shabaha tena bonge la shabaha.
Uncle michuzi tumekuonyesha ulichotakiwa kufanya kwenye fainali dhidi ya hawa watu sio kurukaruka.
Naomba utoe pongezi bila kejeli sawa jitahidi hata kwa leo tuu ni haki yetu jamani na leo kweli hanywi maji mtu.
Wengers Daughter!
Wengers Daughter!
Tupo pamoja Wenger's Daughter. Baeleze hiyo mutu ya Bwawa la Maini....leo tunategemea watapita kwenye UCL.....waombe tuu wasipangwe na sisi...KUDADADEKI..
ReplyDeleteGUNNER NUMBER ONE
Kwanza kabisa napenda kuwapongeza washika bunduki wa imarati kwa mpira safi na uburudishao. Mimi ni kama kaka Michuzi ni mshabiki wa bwawa la maini, lakini soka wanalotandaza washika bunduki huwa linaniburudisha sana. Kama liverpool hawatachukua champions league basi nitafurahi tu vile vile kama Arsenal watalichukua ingawa inabidi waombe wasikutane na mashetani wekundu maana inaonekana Anderson ana uwezo wa kumnyamazisha fabulous fabrigas kama ilivoshuhudiwa kwenye mechi zao mbili ambazo washacheza (premier league na Fa cup). Sasa sisi wa bwawa la maini tunaenda kumalizia shughuli walioianza wanaimarati pale san siro tar 11. Bring it on!!!!
ReplyDeleteJamani mimi ni Manchester united for life lakini kwa mara ya kwanza nilifurahi Arsenal kwa kuwatandika Ac milan maana ni kwa haki kabisa!timu maana sasa hivi ni barcelona tu tunaowagopa ,this time kombe linarudi england bila wasi wasi!timu 4 kati ya 8 ni england si mchezo! Jumamosi Portsmouth tuwamalize tuchukuwe treble
ReplyDeleteWill