Home
Unlabelled
tandau aielezea umuhimu wa olimpiki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
NIMEFURAHI KUKUONA MR TANDAU KUMBE BADO UNAENDELEZA MICHEZO HONGERA SAAAAAAAAAAAAANA...MIMI MWANAMICHEZO WAKO WA BAISKEL WAKATI NIKO TANGA. HIVI SASA NIKO DENMARK.KILA LA KHERIIIIIIII!!!
ReplyDeleteFROM TEACHER
Yaani wanaelezea umuhimu wa Olympic saa hizi!!!!!! wakati wenzao wameshacamp toka miaka miwili iliyopita. jamani kama tunataka kupeleka watu basi tuwe serious....kama sasa hivi wanaotakiwa kwenda hukko hata mkambi ya mazoezi ilikua haijaanza basi tuache tu kwenda tusubiri miaka mingine. Sio vizuri kila siku kusindikiza tu....Ila nimegundua ushindi wa nchi nyingine hauji bure...ni mazoezi na detarmination...ninakoishi nipo karibu na swimming camp ya watu wa olympic na wameipiga hiyo kambi kama sitakosea miaka miwili sasa. Wanaishi hapo na wana indoor swim pool na outdoor...kwa hiyo mvua au snow sio sababu ya kuacha kufanya mazoezi. Hawa watu wako very serious na busy all the time....
ReplyDeleteNina maana kam hatujaandaa wa kwetu wa kwend ahuku basi tuache kwa sasa tusubiri zijazo na tujiandae mapema...kuliko kupeleka watu hata wasionekane kwenye TV hata siku moa ...au hata kuzungumziwa..