Home
Unlabelled
dk shein akiwa denmark
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hao ndio wawekezaji sio Wadosi!
ReplyDeleteBody language of VP inanipa wasiwasi.Kama vile mtahiniwa aliyechemsha paper na anaona pepa imeandikwa kiarabu.hahahahahahaha
ReplyDeleteKweli Tnzania na Afrika kwa ujumla tunakoelekea hakujulikani, maana kila mtu anataka atugeuze kichwa cha wendawazimu. Mara China, mara India,mara Denmark, mara Marekani, mara Uingereza, mara Ujerumani. Ya kwangu ni macho ila kwa kila kitu kinachokubaliwa na viongozi wetu, sidhani kama kina manufaa kwetu. Hat siku moja watanzania wanatakiwa kujua kuwa mzungu au mhindi au mtu yeyote hawezi kukusaidia hivi hivi, kutakuwa na kitu anatafuta hata kwama ni kwa miaka kumi ijayo.Tatizo la viongozi wetu wa Afrika ni kufikiria mambo ya mwaka mmoja mbel, wenzao wanafikiri hata miaka hamsini mbele.
ReplyDeleteT:Unasikia Mzee,sisi matatizo yetu makubwa kule Bongo ni kuhusu hivi Visenti.Mkitusaidia Vijisenti Kidogo aaaaaaaahhhhh mbona shida zetu nyingi zitaishaaaaaa!Siunajua mwaka huu vijana wetu wamejitahidi sana lakini Mvua tena ikatibua kila kitu.Aaaaaaagh mwaka huu ilikuwa tuvune Mpunga na Mahindi kibao unafikiri mchezo nini!
ReplyDeleteV:Simple,Vijisenti vingapi vile mlikuwa mnahitaji kwa mwaka huu mheshimiwa?Maana sisi kwenye suala la visenti kwetu siyo tatizo,si unajua Denmark bwana pesa njenje.Isitoshe Tanzania is a very beautifull country,good policies,plenty of peace,ndugu kila mtu ndugu you see!
T:eeeeh Mze hatutaki tukupe hesabu ya kubahatisha.Itabidi wakati wa mapumziko ya chai mimim na wenzangu tukae chini tupige hesabu kwelikweli ili tukupe exact amount.Si unajua lile li nchi likubwa sana!Kuna Matumbo ya kulisha kama milioni 47 kwa hesabu za haraka haraka.Lakini watu kama KUMI HIVI ndiyo watakao tusumbua sana.Si unajua kila kitu kule kwetu ni Politics tu Mze!Aaaah wenzetu huku mna raha eeeeeii!Hivi mihela yote hii mnaitoaga wapi?Mwanangu aje asomee haya maarifa.Mwaka huu Mafuriko,basi ujue Mwakani tutakumbwa na Ukame tu maana hili Jua linatuchezea kwelikweli Mze!
V:tehe tehe tehe tehe,Tanzania iko muzuri sana!This time tutawapatia kabisa Mtambo wenyewe wa Kuchapishia Manoti,you see!You will never go broke my friend.You be Rich like Us in Denmark,like it my friend?
T:Lakini sisi tulitaka zilezile mlizozichapisha wenyewe.Mkileta Mtambo kwetu 'Utaibiwa na Mafisadi!'. tehe tehe tehe.