Home
Unlabelled
libeneke linaendelea kama kawaida
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ze fulanazzzz again....
ReplyDeletemichu plz...tell us..what is behind that fulanazzz
sijawahi kucomment, ila uzalendo umenishinda leo, au ndo ukivaa hio inatuvuta wadau kila wakati kuvizit ze blog yako....
ishindwe kabisa!! nakemea!!
Mmmmm!!!! Aisee kajamaa haka kanasafari mno! Hee ni Kajk kapili nini!? Halafu tangu kawe ka mkuu wa tege ndio safari haziishi. Mzee sema kama unajiandaa kukachukua kauraisi 2015
ReplyDeleteIna maana huko London ulipiga picha mbili tuu?
ReplyDeleteHebu tumwagie mapicha ya London humu..nshachoka kusubiri
Poa mzee, welcome back home! mbona hutaki kutuambia namna ya kushiriki bahati nasibu yako?
ReplyDeleteYaani mtu maarufu kama wewe hata wakezo akiwemo yule bi mdogo mkeo mganda hakuja kukupokea Airport? Unawasili kama mtoto yatima wa Msimbazi Centre.
ReplyDeleteNingekuwa mimi ningetimua wake wote wakatafute mabwana wengine wa kuwaoa kama wanafikiri kupata mume ni kazi rahisi.Shenzi taipu.
Kuna maana gani kuoa, wakati mwanamke haji kujitwika kichwani hayo masanduku hadi uishie dume zima kusukuma vitoroli kama msumkuma mkokoteni wa Buguruni kwa Kimbengere?
Mie siku zote hizi nilikuwa na hofu kidogo kwa umaarifu wa hiyo fulana.Leo naona nimepata jibu hiyo fulana yampa Michuzi power na kila akiifua huianika juani kuicharge upya , wasoma bibilia wamkumbuka Samson na nywele zake, na jua ndio hata hapo lipo kwani Samson jina latokea kiarabu alshams au kihebrew shimshon ie like the sun
ReplyDeleteQED
pole na safari na karibu tena nyumbani. Oga upumzike, kula vyakula vya kitanzania, cheka na watoto na mama kisha anza kazi tunayoipenda ya kupata habari za nyumbani hasa yaliyojiri jana maana si madogo ati
ReplyDeletebro michuzi habari!
ReplyDeletemi nshaomba sanaaa,kuhusu hii fulana unirisishe ila inaonekana unanibania,sasa nikupe akiba ya maneno,naomba uzipige copy kama Jambo forums na sisi wadau tuzipate sheakh!!
Sasa wewe Michuzi unataka wale waliokugawia Fulana mpya wakueleweje? kama sio utovu wa nidhamu na upungufu wa shukrani ni nini??? Ama kweli mfadhili mbuzi... binadamu ataku...
ReplyDeletewelcome back hani misupu.te teh teh
ReplyDeleteTHE FULANAZZZZZ, TEHETEHETEHETEHEEE
ReplyDeleteHi! Kaka Michuzi!
ReplyDeleteTunakuomba safari hingine usirudie kosa ka KUTOWEKA FULANAZII mtandaoni wakati unapokuwa ughaibuni!hii fulanazi lazima hiwe ya mwanzo!maana ndio bendera ya blog ya jamii!
Tena umenikera sana!nilipokuona umeweka picha ya viwalo vya suti za pande tatu na kuhisahau FULANAZIIII!!!!
Fulanazii!!ii lazima ipewe kipau mbele halafu ndio picha zingine
Haa Haaaaa !!! Fulanazzzz time.
ReplyDeleteSasa wewe Michuzi, picha za UK ziko wapi ?? Tumekukaribisha Birmingham UK lakini wapi. Naelewa umekuwa bizee sana. I had a new Fulanazzz ready for you my friend. Anyway, nice to see you got back to Dar in one piece.
Much love.
UK Michuzi Addict.
( I like your fulanazzz )
kwanini?Fulanaziiii!!! ya blog ya jamii ilibaniwa?haikuwekwa mwanzo?
ReplyDeletekitendo hiki cha kiufĂsadi dhidi ya
FULANAZIII!!!!hatukipendi kabisa!kabisa!,fulanaziii!hiwe ya mwanzo
halafu habari zingine
Haaa kaka acha kubana mbona utuambii Yanga ndio mabingwa na game mbili mkononi yakhe nazo ni breakin'nuuuuuzzzzz atiiii acheni wivu msimbazi jamani kichapo chaja
ReplyDeleteLondoner
Kumradhi kaka Michu mbona kale ka post ka jana kenye wifiiiiz umekatoa?Amekupiga mkwara nini?
ReplyDeleteMisupu vije mechi ya leo? Mimi nilidhani ungesubiri uone Bwawa la Maini linavyolowa maji.
ReplyDeleteKila la heri bana, angalia usije ukakosea tena utabiri maana ndo kombe hilo pekee mlilobaki mnafukuzia mpaka dakika hii. Mkilikosa basi ujue kwamba mwaka umeenda mtupu!