nani kasema wabongo tunapenda umagharibi katika kupamba? hapa ni ukumbi wa nssf waterfront

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Sasa ndio unakataa nini? kuanzia jina tu ni la kimagharibi.

    ReplyDelete
  2. SAFI SANA KWA KUFANYA HIVI TUTAONGEZA AJIRA NA KIPATO PAMOJA NA KUKUZA UTAMADUNI WETU...KWA KIASI TUTAPUNGUZA ..MADE IN CHINA..NA BIDHAA ZENYE UBORA HAFIFU KUTOKA ..INDIA..

    ReplyDelete
  3. huu ukumbi utakuwa umepambwa kwa ajili ya kitchen party maana mara nyingi kitchen party wanapamba kiasili.
    by mtanzania halisi

    ReplyDelete
  4. aaaah adi raha manake..asante ka michuzi kwa picha

    ReplyDelete
  5. bro michu!mi bado nalia na fulana,acha kunibania huo ni umaghalibi sheakh wangu!other wise mapambo yanavutia ila harufu ya ngozi za ng`ombe na mbuzi zinapatikna kwenye hayo mapambo,maana ndio asili inakamilika!

    ReplyDelete
  6. safi sana.... however, badala ya kuweka vitambaa vya satin kwenye meza wangeweka vitenge na mabatiki yenye mandhari ya kibantu. na meza za wageni pia wangeweka vipambo kama vipeyu/vibuyu nk badala ya flower verse.. ni ushauri tuu

    safi sana keep it up

    ReplyDelete
  7. samahani kwani huenda mimi ndiyo mwenye matatizo!! Hivi unaposema mapambo asilia kwenye hizi picha umemanisha nini? kwa sababu mimi naona vitu vingi (mapambo) havionyeshi uasili wetu. Nisaidieni mwenzenu natia huruma!!!

    ReplyDelete
  8. Bado umagharibi unanukia kwenye haya mapambo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...