mdau wa www.tanzaniasports.com israel saria akiwa na meya wa london mstahiki ken livingston karibuni ambapo alipata intavyuu fupi naye. pamoja na kuishi ughaibuni saria amekuwa mstari wa mbele kupigania maendeleo ya michezo bongo ambapo tovuti yake imekuwa ikifuatilia kwa karibu maendeleo na habari za michezo nyumbani. mahujiano yake na meya bofya hapa
mdau wa www.tanzaniasports.com israel saria akiwa na meya wa london mstahiki ken livingston karibuni ambapo alipata intavyuu fupi naye. pamoja na kuishi ughaibuni saria amekuwa mstari wa mbele kupigania maendeleo ya michezo bongo ambapo tovuti yake imekuwa ikifuatilia kwa karibu maendeleo na habari za michezo nyumbani. mahujiano yake na meya bofya hapa

Wosapu Saria, yua webusait biin advataizid hia izi gudi bati ze problemu izi ze langweji yu aa yuzini, oo yu menti iti izi fo samu tanzanianz and zozi inze yukei bati tu teli yu tu so mene tanzanianzi inglishi izi e meja problemu soo konsida dhisi, kanti yu sii Michuziz blogu, noti iveni e web kipsi flaurishini dei bai dei, eneweizi Ai donoo yua tageti bwana labda BBC! azawaizi Thambs apu!
ReplyDeleteHivi huyu jamaa ni bondia au? Mbona amekaa kama katoka raundi kumi na Tyson? naona anamtisha Meya wa London tu daah!!
ReplyDelete