Home
Unlabelled
tanga kunani kule?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyo jamaa wa kwanza mwenye blue mikono mifupi anafanana na magonera yuko finland je ni yeye au, alikuwa musoma na alikuwa arusha,samahani wadau namtafuta sana,
ReplyDeletemdau USA,masai@jid.sio,us
VITUO VINGI VYA POLISI VILIVYOJENGWA WAKATI WA MHE. MREMA VILITELEKEZWA KWA AGIZO LA KISIASA, HII IKO KATIKA MIJI YOTE IKIWA NI PAMOJA NA DAR. BAADHI YA VITUO HIVYO HAVIPO TENA KANI VILIBOMOLEWA. HIZI NDIZO SIASA ZA TANZANIA HIVI SASA, SIASA ZA CHUKI BILA KUJALI MASLAHI YA WANANCHI.
ReplyDeleteNAOMBA HUYO ARIYETUMA PICHA ZA VITUO VYA PORISI AJISARIMISHE HARAKA SANA KWA RIJESHI RETU RA PORISI. NI MARUFUKU KUPIGA PICHA MAENEO YOTE YA JESHI RETU.
ReplyDeleteMafisadi wamefanya vitelekezwe, vionekane havina umuhimu ili wajiuzie, kwa mtindo wa kuuza nyumba za serikali.
ReplyDeleteHuu mfano wa kutelekezwa hivi vituo na tukio la Kibiti wanafunzi walivyo choma mabweni ni baadhi tu ya mifano kuonyesha jinsi serikali na viongozi wake hawapendi kazi zao. Tuseme tu JUMLA ya wafanyakazi wa umma hawana moyo wa kuendeleza nchi yetu. Kwani wao wangesoma enzi zao bila kupewa chakula na serikali eti kwa madai serikali haina pesa wangefanyaje? Au enzi zao kungekuwa hakuna vituo vya usalama kwa uraia wangeisha vipi? Watoto wetu wanasoma katika mazingira magumu magumu sana. Shule hazina chakula, vitabu, walimu hawana moyo wa kufundisha, eti serikali haina pesa. Zamani nchi yetu ilikuwa masikin sana lakini chakula shuleni kilikuwa hakikosekani, japo ugali wa maharage lakini wanafunzi hawakulala njaa. Sasa iweje leo nchi ni tajiri na ina mabilioni ya shillingi serikali ishindwe kutma vyakula mashuleni? Eti serikali haina pesa? Pesa zinaenda wapi? Tufanyeje turudishe mioyo na hawa watu wamuogope Mungu? Tengenezeni mazingira ya wafanyakazi na wanaanchi wafurahi kuishi katika nchi yao jamani, tena kwa usalama na upenda, na AMANI. Punguze ufisadi, hauwezi kuisha kabisa, lakini puguzeni wajameni...
ReplyDeleteBASI HIVI VITUO BOMBA SAANA TU YAANI. UKIWA NA PAKETI YA SIGARA HUKAI NUSU SAA UKO URAIANI VINUMU HIVI VITUO JAMANI
ReplyDelete