
ALIYEKUWA GAVANA WA BENKI KUU DAUDI BALALI (PICHANI) AMBAYE ALIFARIKI DUNIA SIKU MBILI ZILIZOPITA HUKO BOSTON, MAREKANI, ANATARAJIWA KUZIKWA SIKU YA IJUMAA HUKO HUKO BOSTON.
HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA MAREKANI NA NDANI YA BENKI KUU AMBAKO TAYARI MSIBA HUU MZITO UMETANGAZWA RASMI SASA HIVI, ZINASEMA HAYATI BALALI ALIFARIKI BAADA YA KUUGUA KWA MUDA MREFU.
MUDA NA MAHALI ATAPOZIKWA TUTAJULISHANA BAADAYE KIDOGO....
Kafa kweli? Wapo wafuasi wa Hitler waliamua kufa baada ya kuwa wanatafutwa na wakaanza maisha mapya South America na kwengineko kwa majina tofauti. Ukiwa na pesa nyingi kama za EPA na kadhalika unaweza tu kufa ukahamia Barbados.
ReplyDeleteWAONGO WAONGO WAONGO WAONGO WAKUBWA, MUNGU ULIYE MBINGUNI WEWE NDO UNAONA HAYA YOOOTE, TUNAAMNI UTAWAUMBUA HAWA WATU. KILA KIONGOZI WA TZ SASA AKIWA ANA SOO ANAKUFA JAMANI SISI SIO WAJINGA HIVYO, WATU KUWENI NA MIYOYO JAMANI
ReplyDeleteMichu nimesikia hii habari kwa masikitiko makubwa sana. Ila iwe ni amri ya mungu au hujuma huyu jamaa kifo chake bado kina utata, Nafikiri ingekuwa busara kuuleta mwili wa marehemu Tanzania kwa mazishi kwani japo alikuwa na tuhuma ila kwa utamaduni wetu watanzania mtu anapofariki anapewa heshima yake. Serikali ichukue dhima ya kuusafirisha mwili wa marehemu Nyumabani. Hii pia itavunja maswali ya kuwa huenda wamemua kumdeclare dead ili kuua soo. RIP Balali
ReplyDeleteMichuzi NO NO NO NO NO!, BIG NO! Haiwezekani Ballali tuliyekuwa tunamuombea apone haraka arudi nyumbani kutuletea pesa zetu na kutujulisha nyingine ziko wapi afe na kuzikwa huko. Nasema NO! Hapa nitakuwa kama Tomaso, lazima tuone maiti yake kabla ya kuzikwa, vinginevyo hili ni changa la macho! Kibaya zaidi unasema eti anazikwa Marekani??? Why???? Mbona wabongo wanaofia huko mnafanya harambee na kurudisha mwili wa marehamu home!Au aliacha wosia huo??? Tafadhali tunamtaka Ballali wetu akiwa hai au hata maiti tutamzika wenyewe.
ReplyDeleteMichuzi chonde usinibanie, mudi ya kazi imeshaondoka kabisa
where is the body?
ReplyDeleteNo no no hapana kaka Michuzi tunahitaji mwili wa Balali uletwe bongo ili uchunguzi ufanyike na tuwe na uhakika vinginevyo Balali hajafa mchezo mchafu tu hapa tunataka kufanyiwa watanzania sio kweli nasema sio kweli nasisitiza tena na tena. Kama kweli kwa nini azikwe Marekani najua kila mtu akifa anaweza kuwa na mapendekezo yake wapi azikwe lakini sio kwa huyu mtuhumiwa no 1 wa ufisadi.
ReplyDeleteNasubiri wadau wanasemaje
RIP, you have left with siri kubwa moyoni mwako, i wish you would have left it kwa wanasheria wako, in event of your death it should be made public.
ReplyDeleteRIP
RIP.
ReplyDeleteKwa kuwa umeweka wewe michuzi hii habari, basi naiamini sasa. Maana toka jana nilikuwa siamini hii habari hasa baada ya wahuni wengine mwezi uliopita kuvumisha kuwa Chenge kafa!
ReplyDeleteNadhani ilikuwa lazima afe ku-save syndicate au cartel. haya mambo ndo huwa siyatakagi mimi maishani.
BALALI HAJAFA, TUSITAKE KUCHEZEANA AKILI.
ReplyDeleteHAWA WATU WAME-FAKE KIFO ILI WATANZANIA TUSAHAU WIZI WAKE YEYE NA WENZIE. ATAKAEUONA MWILI WA MAREHEMU AUPIGE PICHA ATULETEE. ANOTHER THING, NI MTU WA NGAZI YA JUU KATIKA SERIKALI, KWANINI AZIKWE MAREKANI? AU SERIKALI HAINA PESA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU TANZANIA. THESE NIGGAS IN TZ GOVT GOT JOKES.
PLEASE BROTHER MICHUZI, GIVE US A BREAK THIS TIME.
Kwa maamuzi ya serikali yako JK utawamaliza wengi hasa wenye presha.RIP Dr.Daud Balali.
ReplyDeleteCHANGA LA MACHOOOOOOOOOOO
ReplyDeleteHakuna lolote,
ReplyDeleteHilo watoto wa mjini tunaita ni "CHEZO" limechezeka,
Hapo inatafutwa maiti ya mtu mwingine na kusingiziwa ni ya Balali kisha watu wanazika,
Kwa kua ni Muislamu hakuna mambo ya kuacha sura wazi
Then Jamaa anahamia kwengine na hakuna atakaemjua na ndio wa mwisho wa skendo wa EPA,
Na serikali itawajibika kwa hili suala,
Kwan imemuachia mpaka kafariki (kama kweli)
Inasikitisha kwa Taasisi nyeti kama ikulu kudai kua balali alikua hatafutwi kwani si muajiriwa wa serikali na hana kesi ya kujibu mpaka tuhuma dhidi yake zitakapothibitishwa,
Huu ni uhuni na utapeli wa kisiasa,
kwani ye ndie mtuhumiwa mkuu wa skendo la EPA, iweje asishitakiwe mpaka eti tuhuma zithibitike??
Plse michuzi, Nasisitiza tena, KAPUNI NO
pole kwa wote walioguswa na msiba huu mkubwa.wasiwasi wangu ni kitendo cha habari za msiba kutufikia siku mbili baadeye.kuzikwa boston hilo ni la pili angalieni isijekuwa changa la macho.buriani Balali kama kweli umetutoka
ReplyDeleteNgumu Kuamini
ReplyDeleteChanga la Macho
Iko namna
ama ka'fake' kifo
ama kaondolewa kinamna
Mungu nisamehe lakini hii haijanyooka hata kidogo...
Kama kweli.. Haya, apumzike kwa amani
Mimi ni Tomaso naomba watanzania mliokuwepo huko mka thibitishe jamani
ReplyDeleteMungu ailaze roho yake mahali pema peponi
ReplyDeleteSiamini aletwe kwetu Iringa.
ReplyDeleteNI KITU KISICHO CHA MSINGI KABISA BALALI KUZIKWA MAREKANI.KUNA SIRI KALI GANI ILIYOPO KATIKA KIFO CHA BALALI. INAMAANA TUAMINI AMETOLEWA KAFARA. WANAICHI WAZALENDO, TUNATAKA MWILI WA BALALI URUDISHWE, AJE KUZIKWA HAPA TANZANIA KATIKA NCHI ALIYO ITUMIKIA KAMA GAVANA.
ReplyDeleteduuh...kwa hiyo ilikuwa ni kweli alikuwa anaumwa? Lakini hapa twaweza kuwa tunachezewa cheusi chekundu. Hii yaweza kuwa njia ya kufanya tumsahau ale raha zake taratibu tukidhani kafa. Kwa nini asiletwe nyumbani wote tuwe na uhakika? Twahitaji uhakika bwana...sio story tu!
ReplyDeleteInachanganya sana - kafa May 16th na jana gazeti liliandika habari hapo chini!!! RIP
ReplyDelete---------------
Tanzania: U.S. Ready to Help Govt Find Ballali
The Citizen (Dar es Salaam)
20 May 2008
Posted to the web 20 May 2008
The United States yesterday declared that it was ready to help the Government establish the whereabouts of former Bank of Tanzania governor Daudi Ballali.
US embassy spokesperson Jeffery Salaiz told The Citizen: "We are ready to assist the Government to establish where Dr Ballali is we can do that anytime.
"The problem is that so far nobody from the Government has lodged special request with the US embassy asking us to help in tracing the former governor.
"If they haven't made an official request it will be very difficult for us to do anything about Dr Ballali," Mr Salaiz said.
The US move comes amid reports that Tanzanian detectives were dispatched to the US last Thursday to get important information Dr Ballali is believed to be harbouring about various scandals that have rocked BoT in recent years.
There have been contradicting reports on the whereabouts of Dr Ballali, who left the country for the US last September ostensibly to undergo a medical check-up.
The Government has so far remained mum on the whereabouts of Dr Ballali, who was in charge at BoT when Sh133 billion was siphoned out of the bank through the External Payments Arrears (EPA) account in the 2005/6 financial year.
Asked whether the US embassy knew exactly where Dr Ballali was, Mr Salaiz said: "We don't know the US processes visas for about 2 million people every day, and that is why it is difficult for us to tell exactly where he is. But we can get him if he is still there."
This is the second time for the US to speak on the whereabouts of Dr Ballali, who is believed to have information on who exactly was behind the EPA scandal.
In February, the US ambassador to Tanzania, Mr Mark Green, denied rumours that Dr Ballali was a US citizen.
Mr Green said the US government had not made any decision on deporting Dr Ballali to Tanzania because the Tanzanian government had not requested for his extradition.
Challenged to explain how the American government could revoke someone's visa without kicking them out, Mr Green said they could not "go knocking on every door looking for illegal immigrants".
"A citizen of the United States of America is not required to apply for a permit to enter the country. Ballali is not an American citizen," he said.
Dr Ballali, who was BoT governor for about a decade before he was fired in January this year, was yesterday said to be resting at his home in the US state of Maryland.
According to one of his lawyers, Dr Ballali had never left US since he went there on medical grounds last September.
But the source could not give details on what is he suffering from apart from insisting that "he is still alive although his health has deteriorated since the end of last year".
According to the lawyer, who requested for anonymity, Dr Ballali's main concern was that his image and dignity had been damaged in the last few months, adding that he was willing to come back home to clear his name.
"I met this man just three weeks ago and he is recovering well but he is highly disappointed by the way the EPA scandal was handled by the Government," he added.
The Citizen also established that security agents dispatched to US last Thursday were not under orders to arrest Dr Ballali, but to extract information from him.
"This is just an ordinary procedure of finding useful information he was the governor of the central bank and he still has more details that can help the Government," a source, speaking on condition of strict anonymity, told The Citizen yesterday.
United States, Canada and Africa
Senior government officials are said to be worries that Dr Ballali is secretly planning to leak information on how various shady deals, including the EPA scam, were planned and executed.
He is believed to have compiled a detailed report on how everything was done during his tenure as the head of BoT.
Apart from the EPA scandal, the name of Dr Ballali has also been linked to the $400 million 'Twin Towers' project, $153 million Meremeta/Tangold project and Mwananchi Gold Company Ltd.
MHH ni hofu na machungu..isije kuwa kapingwa colnium 210 kama yule jasusi wa Kirusi
ReplyDeletedaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamn.maskini ushaidi umekwenda na maji hiv hivi mbona inatisha na inatatanisha.si alipona jamani na serikali ilisema kwamba haimuhitaji kwa sasa sema ikimuhitaji watamleta.mbona hawakutuambia kama bado anaumwa?
ReplyDeletejamani watanzania mda umefika wa kuamka big time.usingizi wetu huu hata pono ana afadhali.nitaendelea kusuburi habari kamili kutoka kila kona manake siwezi kusema mengi kwa sasa kwani alifariki siku mbili zilizo pita na leo ndio tunapata habari?.poleni familia, ndugu ,jamaa na marafiki kwa msiba huu mzito.
kaka michuzi naomba huyatoe maoni yangu hakuna baya nililoandika hapo.
mdau mzawa
Mzee misupu huyu mzee alisha kufa siku nyingi leo ndo wanatangaza walikuwa wanaogopa kutangaza kifo chake nn?
ReplyDeleteAlafu kafia Washington kwa nn wanamzikia huko huko wkt tunajua kwao MUFINDI-IRINGA,
Poleni sana kwa msiba.
Mdau msigwa...
Hapana this is a charade.Kwanini azikwe Marekani si aletwe Tanzania ili waliokuwa wanampenda wampe last respect?
ReplyDeleteThere is alot going here than what meets the eye.
If its for real my deepest condolences to the family.
Mona title inaread atazikwa Marekani halafu unasema tutajulishana mahali na wakati atakapozikwa?au marekani siyo mahali.
ReplyDeleteIs this for real? mbona hakuna magazetti yeyote yalio report? na rambi rambi hazijatumwa na yeyote nchini? Au ni .............
ReplyDeletemhhh kwahiyo zile hela hazirudi tena?wanashindwa nini kumrudisha huku azikiwe huku?
ReplyDeletesasa mimi naona Tanzania imekuwa kama Italy.
ReplyDeleteKuna mafian operations zinaendelea huku wanyonge wakiendelea kupata shida.
Angalau wenzetu huko Italy kuna ma mafia lakini maendeleo na kuna ka ubora ka maisha!
Mungu ailaze roho yake pema!
Ila haingii akilini kwa mimi mtanzania halisi kuwa kulikuwa na ukimya kuhusu existence yake mpaka siku ya kifo.Huu ni ujambazi tu !
Mimi mtu mzima na akili zangu naandika hii message nikiwa natokwa na machozi kwa uchungu nilio nao.
Ipo siku mungu atasikiliza vilio vyetu wengi.
michuzi please nakuomba usifute comment zangu kama kweli una upendo na moyo wa ukombozi mimi ni baba mwenye familia na sijawahi kutukana katika hii blog ila kila mara nikitoa machungu yangu unabana comment zangu.
aksante
Jamani watu wa Iringa tumepata pigo kubwa sana alikuwa ni mtu mwema sana aliyekuwa na utu tofauti na wahehe wengine ambao wako kwenye nafasi lakini hawana msaada,namuhurumia mama yake kikongwe cha watu hajui hata mwanae kama ana matatizo.Kweli dunia kuna mambo leo mmenikumbusha kifo cha Horace Kolimba
ReplyDeleteBwana Michuzi kunradhi, lakini mie naona haya mambo bado ni yaleyale ya John Darwin, the missing canoeman. Maana hata vijana wadogo "wabeba maboksi" wakifia nje huwa wanachangiana chochote kitu kurudisha mwili wa mwenzao nchini, kwa huyu mwenzetu imeshindikana? Hivi hakuna fiksi hapa kweli? Asijefufuka mtu ukatokea mtafaruku mwingine! Mie yangu macho tu ya kukodolea hii miblogu yenu!
ReplyDeletekaka Mithupu kuna sababu gani za balali kuzikwa Marekani??? Sitaki kuamini kuwa familia haina uwezo wa kurudisha maiti TZ.
ReplyDeleteTanzania Tanzani nakupenda kwa moyo wote. nchi yangu tanzania jina lako ni tamu sana.
ReplyDeleteHivi kweli ha mwili wa balali ndio kumrudisha wamekataa kweli siasa ngumu ukubali wakati mwingine kutolewa kafara ili wengine wapone. Haya tuone hizo hiyo EPA atadaiwa nani na shahidi no 1 kavuta? kweli siasa ni mchezo mchafu. CCM walichokataa kumrudisha na kukanusha hawajui alipo huo msiba wameambiwa na nani? HILO LINAITWA CHANGA LA MACHO. ILA KAENI CHONJO WATZ SIO WAJINGA SIKU ZOTE. WATAZINDUKA TU.
du! mafioso wameshanya vitu vyao. mtu wa watu wamemkolimba na amekufa na masiri kibao. RIP.
ReplyDeleteebwanaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee duuuuuuuuuuuuuuuuuu hiyo ndio habari issah?
ReplyDeletekafa kwa mengi,na msongo wa mawazo umechangia pia.
ReplyDeleteMs Bennett
Hamna kitu hapa chuzi, hii hapa sasa ni danganya toto tu. Hili ni dili limechezeshwa fasta ili kumaliza skendo ya EPA kimya kimya, kuna majina makubwa kwenye hiyo skendo, hayo majina yangejulikana serikali nzima ingesambaratika.Kama kweli kadedi then RIP, lakini ni vigumu sana kuamini kwamba jamaa kafleti hivi hivi, LAZMA KUNA MKONO WA MTU!!
ReplyDeleteKama kweli amefariki pole sana kwa wafiwa ila ninawasiwasi kua wanatudanganya kwanini wasimlete huku Tanzania tumzikie huko kwetu sio wanatupiga mchanga wa macho
ReplyDeleteFrankly talking, sina chembe ya huzuni kwa kufa Balali, LAKINI nna masikitiko makubwa kwa sababu mtoa ushahidi na mtuhumiwa namba 1 wa ufisadi wa EPA ndo ameshapotea huyo...!
ReplyDeleteAhh kama ingekuwa Mungu anafanya kama nitakavyo mimi, basi angemuacha kidogo mpaka akasimama kizimbani ili atutajie alokula nao ma bilioni yetu.
Mungu mlipe vile anavyostahili, kwa maana wewe ni m'mbora wa waadilifu!
innalilah ila Kwani ni musilamu?? Tafadhali naomba jina lake kamili..
ReplyDeletekinachonishangaza ni kwanini Azikwe huko...
kuna comment moja hapo chini kwenye post uliyotoka mapema INAFANYA NIONE UTATA HAPA
Kwanini mtu kama yeye azikwe Boston tungependa kuona cheti chake cha kifo pls au wawakilishi wetu waende wa ubalozini
ReplyDeletePoleni ndugu na marafiki wa marehemu. Kinachonishangaza na kusikitisha ni kuwa mwili wa marehemu kutopelekwa nyumbani. Naamini ni sababu za kisiasa na sio za kiuchumi
ReplyDeleteHivi amefariki Boston au Washington? Rest in Peace.
ReplyDeleteGOD IS GOD...KAMA KWELI JAMAA KADONDOKA...itakuwa kadondoshwa na Waheshimiwa ili kuficha skandali zima la waliotafuna hela ya EPA...ILA jasho la wanyonge halipotei na halitakauka bure. Hata kama WAMEMMALIZA wakidhani wamenusurika, siku zinakuwa watarudisha haki zote wamekula. Jiulizeni..inakuwaje hela inarudishwa halafu hakuna anayejua ni nani anairudisha Benki? Linawezekana hilo? ..WAJINGA NDIO WALIWAO...Wamemmaliza kabisa! nani atakuwa na ushahidi kuliko yeye na ni yeye aliyewakabidhi wenyewe hela ya EPA, sasa hayupo tena??..MNAHITAJI MTABIRI KUWAPA MAJIBU??..AMEONDOKA, NDIO WALILOKUWA WANALITAFUTA HILO ndio maana walichelesha kumleta nchini kuhojiwa maana angewataja wote labda! Na ni nani angemhoji kwanza?? Ili atoe taarifa gani ili-khali ukweli wote wanao toka kabla hajatowekea Marekani? "JASHO LA WAJINGA NDILO LILIWALO"..HABARI NDIO HIYO!!!
ReplyDelete----------
By Mangi-08
Changa la macho "Facial Surgery"
ReplyDeleteSasa naanza kuhisi kuwa hata Ditopile pia hajafa. Hawa wanakimbia kwenda kujichimbia mahala fulani ili kuikimbia justice.
ReplyDeleteLazima mwili uletwe Bongo na tuhakikishe kwa DNA kama ni kweli ndo yeye na kweli amekufa.
Hela zetu je?
ReplyDeletemmhh huu uzushi,kwa nn azikwe nchini kwa watu wakati wanaweza wakautuma huo mwili kuzikwa bongo...msikute mnatuchezea picha!!!!na huko bongo,kwani hana ndugu ambao wangekuwa wanaomboleza??mbona hatuoni picha zao...chuma anajiachia geneva huko mnatuambia marehemu
ReplyDeletesisi wazanzibari hatua mini kama balali kafa kwanini kama kafa serekali ishindwe kumzika katika nchi yake wakati alikua na sifa mbaya katika serekali yake ya tanzania au hana kwao huo kama alikuwa kiongozi watanzania basi arejershe kwao tumlani kwa makosa alio yafanya kwa kudhulumu na kulizalilisha taifa pamoja na mkapa iko siku utakwenda kwa mungu kama alivyo kwenda Amina chifupa lakini Amina kafanya mema bungenituna msifu amina kwa ujasiri wake
ReplyDeleteHii haijakaa vizuri,kwanini marehemu asizikwe ktk nchi aliyozaliwa?
ReplyDeleteKARIBUNI WADAU
ReplyDeleteTafadhli tunaombwa kujulishwa haraka sana ili tuandae usafiri.
ReplyDeleteJe kuna mtanzania yeyote anayeishi Boston mwenye hizi habar?
Tafadhali tujulishane. Ila kwa kweli kuna ligi zingine ukishindwa unashindwa kwa uchungu sana halafu unaweza kulia. Hapa JK ametucheza sana yaani machozi yananitoka kwa jinsi serikali hii ilivyotuchezea kitoto.
Mungu wa milele atujalie uvumilivu kipindi hiki cha maziko hadi mazishi, na atupe mwanga wa kufuatilia na kutumia vema nyaraka za matumizi ya fedha alizoacha kwa manufaa ya taifa. Amen
ReplyDeleteSeve
Muumba mwenyewe aliyetoa na sasa amechukua. Tunamuombea Mwenyezi Umuweke mahala pema peponi. Swali la msingi hapa ni moja tu kama mheshimiwa huyu alichota vijisenti, je wasimamizi (ile kamati maalum) ilihakikisha vimerudi?
ReplyDeleteTatizo viongozi wengi wa nchi za zinazoendelea huweka vijisenti vyao kwenye mabenki ya nje. Inapotokea wahusika kupoteza maisha vijisenti hivyo vinabaki kuwa ni MALI ya mabanki haya na vinazidi kuneemesha nchi za wenzetu. Sisi tunabaki kuwa omba-omba. Sina maana ya kumtuhumu marehemu. Naomba Mwenyezi Mungu amsamehe kama alikuwa mkosaji na ampe nafasi katika makazi mema.
Sijui wadau mna maoni gani.
Du! kweli tunaliwa macho macho! mmeogopa akirudiBbalali atamtaja hata Rais eeh? Naamini sasa udikteta wa viongozi wa CCM ni mbaya kuliko wa Mugabe, nani anabisha? Hivi hawa viongozi wanafikiri watatudanganya mpaka lini? haki ya mtu haiendi bure kuna siku tu wote tutawasweka The Hegue! ngoja tu! Wajamani !hizi hoja za ufisadi zinatosha kutowapa kura hawa jamaa uchaguzi ujao!(hata hivyo nani huwa nawachagua, huwa wanaiba tu kwa fedha za ufisadi)
ReplyDeleteTuamke!
Mkereketwa ughaibuni
(michuzi usinibanie, manake we ni mtu wa CCM, najua kitakuuma)
"we need justice now"
ReplyDeletekweli selikari kumwacha kiongaozi wake ngazi ya juu kuzikwa kwenye nchi nyingine?!!...think.....!!!!
tunapumbazwa wakifikili sisi fapumbafu.....plz MY FELLOW TANZANIAN....hii kesi hata kama governor kataka kuzikwa huko ni kutokana na DISAPPROAVAL ambayo kaiexpirience wakati yuko serikalini na sasa wanamkana na uhai wake kuwekwa INDENGER hadi MAUTI au EXILE!!!!!!!...ni mwamko wa kizazi kipya VIONGOZI HAWA BADO WANA AKILI YA KINONKO YA WASHUA WETU WASIO NA MWELEKEO, kafa au tumefunikwa?.......kama KAFA mwali wake uludishwe HOME KWA HESHIMA ZA KIONGOZI WA JUU.
Nianze kwa kutoa pole kwa familia ndugu jamaa na marafiki kwa kilio hiki, ni utamaduni wetu watz kupeana faraja katika misiba. Nami nitaungana na wachangiaji kuwa hii ni kama mchezo fulani hivi!! Maana kamati ya kina Mwanyika inatoa taarifa juni na leo zimebaki siku km 10, halafu mtu kafariki dunia ambaye ni shahidi mzuri sana wa kesi hii ya EPA. Swala jingine hapo si utamaduni wetu watz kwa imani zetu hata kama ni mwizi basi angerudishwa kwao Mufindi na ndugu zake wasio na uwezo wa kufika Marekani wakashuhudia maziko ya ndugu yao, anyway mie sielewi hayo maamuzi yametokea wapi na yameanza lini kwa mtu kama huyu mwenye pesa na serikali ipo halafu anazikwa huko. Ndugu Balali huko uliko RIP.
ReplyDeleteJamani WATANGANYIKA kuweni na japo chembe ya huruma....Ukweli Baba Mdogo (a. k. a Father Small) amekufa......hakuna anayeweza thibitisha zaidi ya sisi dugu wakaribu.
ReplyDeleteNgugu wa Fisadi
me wajameni namuachia Mungu, atakuja kuhukumu mwenyewee..
ReplyDeleteYou can fool some people sometimes but you cannot fool all the people all the time..Time will tell....na nyie MAFISADI... MUNGU YUPO KUMBUKENI HICHO, ATAWAUMBUA TU HATA MHANGAIKE NAMNA GANI. MTAPO FUNGA MLANGO MMOJA MWINGINE UTAKUWA WAZI Hayo ni maneno ya Falsafa na kwa hakika yana-hold weight
ReplyDeletewewe Tarehe May 21, 2008 6:38 PM, Mtoa Maoni: Anonymous UNAONGEA KITU GANI NA MTU ANAZIKWA MAREKANI
ReplyDeleteamekufa hajafa!sisi tunataka pesa zetu'serikari itumie gharama zozote kuleta mwili Tanzania,Msidanganye watanzania.
ReplyDeleteNjemba hii haijafa.
ReplyDeleteKutoka Habari leo:
Tetesi za kifo cha Ballali zilianza kuvuma tangu Jumapili iliyopita kupitia katika mtandao wa Jamiiforums. “Ballali hatunaye tena,” ulikuwa ujumbe uliotawala katika tovuti hiyo tangu Jumapili huku wasomaji wengine wa mtandao huku wakihoji ukweli juu ya taarifa hizo.
Hata hivyo ilikuwa vigumu kuthibitisha habari hizo kutokana na usiri uliogubika kifo hicho. Hata Ikulu Dar es Salaam leo haikuwa tayari kusema ni lini imepokea taarifa hizo za kifo cha Ballali. Hadi jana hakuna ndugu ambaye alitoa taarifa za kifo hicho.
Nyumbani kwa Ballali mtaa wa Mahandu kitalu namba 347 Masaki, Dar es Salaam hakukuwa na dalili zozote za msiba. Gazeti hili lilifika nyumbani hapo na kumkuta kijana aliyejitambulisha kwa jina la Hassan, akieleza kuwa hajui chochote juu ya kifo cha bosi wake.
“Mimi kwa kweli sijui lolote, ni vyema mwende kule alikokuwa anafanyia kazi wanaweza kuwa na taarifa rasmi,” alisema Hassan na kuongeza kuwa yupo peke yake na mlinzi na hakukuwa na mtu mwingine ndani
Nani aliyeruhusu machine iondolewe:
Kutoka IPPMEDIA:
Vyanzo hivyo vimedai kuwa Dk. Balali alifariki baada ya mashine iliyokuwa ikimsaidia kupumua kuondolewa.
Utata ni mwingi mno huyu jamaa hajafa.
Michu tafadhali usinitie kapuni ndugu yangu. Hii issue ni nzito sana
HIVI JAMANI KWANINI TUNACHEZEWA AKILI KAMA WATOTO?AFE WAPI?WHERE IS HIS BODY?WHY AZIKWE BOSTON?KWANI HANA FAMILIA NA NDUGU ZAKE BONGO?PLUS WEZI WENZIE?HUYU ALIKUA MKUBWA SERIKALINI THERE IS NO WAY AZIKWE HUKU BOSTON.HII SERIKALI YETU SIO MCHEZO!INATUTISHA!HAKI YA WATANZANIA IKO WAPI??????????
ReplyDeleteJAMANI NAJUA WOTE TUNA JAZBA JUU YA JAMBO HILI, LAKINI KABLA HATUJURUSHA MANENO YA KASHA TUSUBIRI UHAKIKA WA JAMBO HILI. CHA MUHIMU TUKUMBUKE KWAMBA AMEACHA FAMILIA AMBAYO INA MAJONZI MAZITO TUWE NA UTU. KAMA MAKOSA KAFANYA NA WENZAKE LAKINI KIFO KIMEMKUTA KAACHA MJANE NA WATOTO TUWAPE HESHIMA YAO NA SIO KUTUKANA FAMILIA HII.
ReplyDeleteTUMUOGOPE MUNGU JAMANI!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteINASIKITISHA SIKU TUTAKAPOKUTANA NA BALALI JAMAICA,MAANA DUNIA NI NDOGO KAMA KIJIJI!!!!!!!!!!!
shit!sisi sio watoto.
ReplyDeleteUwiiiiiiiiiiii!! Uwiiiiiiiiii jamani Balali kafa!!MAMA YANGU WEEEEEEE..Mungu ailaze roho ya marehemu mahala panapostahili...kesho naenda kwenye msiba niprove kweli kama dead body ni yake..halafu nitawaletea picha okay wana blog..
ReplyDeleteWatu wanamhukumu balali bila ushahidi wowote! Maskini ya mungu pesa wale wengine lawama ziende kwa Balali, kweli ukubwa jalala. Mungu irehemu roho ya balali kwani watanzania hawatajua ukweli bali window dressing.
ReplyDeleteWADAU TUKUMBUKE KWAMBA MAREHEMU ALIKUWA MUISLAMU NA KWA SHERIA ZA KIISLAM; MUISLAM ANAPOFARIKI ANATAKIWA AZIKWE HAPO HAPO ALIPOFIA NA SI KUSAFIRISHWA NA KWA KAWAIDA MAITI YA MUISLAMU HAILALI; LABDA TU KAMA MTU KAFARIKI KATIKA MASAA YA UTATA AMBAPO HAWEZI KUZIKWA...
ReplyDeleteSASA SIJUI MNACHONGA NINI?
HEBU FIKIRIEN KWANZA KABLA HAMJAANDIKA NA MUANGALIE MAZINGIRA MWENZENU ALIYOFIA....
DUNIA NI MAPITO HATA KAMA UNAPESA KIASI GANI UTAZIACHA NA HATA KAMA ULIHUJUMU UTAZIACHA TU....
SO ACHENI KICHONGA ANDAENI NJIA ZENU ZA AKHERA....
Hebu msitudanganye. Balali siajabu anapumua na kusubiria plastic surgery kubadili sura ili msimtambue. Kama mama yake yuko mzima huko kwao kwa nini asizikwe huko Iringa? Mie ishi yangu UK hadi najukuu lakini nikifa bado nataka nikazikwe bongo. Msitudanganye mchana mchana.
ReplyDeleteWengi wana fake vifo. John Darwin (Canoeman) wa UK ali-fake death, mkewe akaishia kutanua wee na kusafiri ulimwengu mzima, huku Canoeman mwenyewe anatanua South America. Siri yao ilibumbuluka last year baada ya jamaa kubambwa South America.
My dear fellows,hamuwezi jua balaa mwenyezi mungu alilotuepushia kwa kumpumzisha huyu jamaa. Maana labda angemwaga deal zote hadharani na kuwaumbua vigogo wa ngazi za juu wanaotuhumiwa na hizi kashfa. Siyo kwamba sitaki kujua ukweli BUT too much details labda zingeleta vurugu nchini. I believe in Allah kutunusuru Watanzania tusije tukafikia hali kama wenzetu wengi wa nchi za Afrika. Tumesikia mambo ya kikatili yanayotokea huko Afrika Kusini, Zimbabwe na nchi nyingi za africa. Let us believe kuwa amekwisha tutoka na waliobaki wasitumie hii kama excuse ya get away na ufisadi au kumsingizia mambo wakati hapatakuwa na mtetezi. BADO TUNASUBIRI HABARI KAMILI NA WAHUSIKA NA HIZI DEAL. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA TUENDELEZEE AMANI NA UVUMILIVU.
ReplyDelete"Bye Bye"
ReplyDeleteThis is for my peoples who just lost somebody
Your best friend, your baby, your man, or your lady
Put your hand way up high
We will never say bye (no, no, no)
Mamas, daddies, sisters, brothers, friends and cousins
This is for my peoples who lost their grandmothers
Lift your head to the sky 'cause we will never say bye
As a child there were them times
I didn't get it but you kept me in line
I didn't know why you didn't show up sometimes
It's something more than saying "I miss you"
But when we talked too
All them grown folk things
Separation brings
You never let me know it
You never let it show because
You loved me and obviously
There's so much more left to say
If you were with me today face to face
[Chorus:]
I never knew I could hurt like this
And everyday life goes on like
"I wish I could talk to you for awhile"
"I wish I could find a way try not to cry"
As time goes by
And soon as you reach a better place
Still I'll give the whole world to see your face
And I'm right here next to you
It feels like you gone too soon
The hardest thing to do is say bye bye
(Bye Bye [3x])
Bye bye
And you never got the chance to see how good I've done
And you never got to see me back at number one
I wish that you were here to celebrate together
I wish that we could spend the holidays together
I remember when you used to tuck me in at night
With the Teddy Bear you gave to me that I held so tight
I thought you were so strong
That you can make it through whatever
It's so hard to accept the fact you're gone forever
[Chorus]
(bye bye bye bye bye bye [3x])
Bye bye
This is for my peoples who just lost somebody
Your best friend, your baby, your man, or your lady
Put your hand way up high
We will never say bye (no, no, no)
Mamas, daddies, sisters, brothers, friends and cousins
This is for my peoples who lost their grandfather
Lift your head to the sky 'cause we will never say bye
[Chorus]
Nadhani hii ni filamu.Kuna kitu kinaendelea hapa serikali inakificha.Serikali hii hii ilisema haimtafuti Balali, leo wanatuambia kafia Boston na atazikwa Boston.Kwanini asizikwe kwao?Au ndio kuzushia huko kisha ahamie Sao Paolo Brazil aitwe Carlos.Pili hata kama kweli amekufa kuna siri nyingi mtu huyu ameondoka nazo na serikali inapoteza ushahidi wa EPA kama drugs ktk kifo cha Chifupa.
ReplyDeleteI know exactly what my fellow tanzanians think and feel on mindboggling issues like these.I think first everyone should start with condolences then whether ni juju la mkono wa mtu au natural death atajua mungu.
ReplyDeleteBalali amejitakia yoooote mwenyewe.Kama watu wanakuandama wanahisi umewaingiza mjini kwa usanii just drive down to the media office the same day with your lawyers and full description of the incident of what happened,who,why,when.Dont wait mpaka upande ndege kwenda marekani kusalimia mama watoto na kidosho,then unazidiwa halafu unaenda hospitali,then sijui unaacha kinote kwa mtu wa karibu na familia.He is as stupid as people who put him there in the first place.
Anyway My heart and prayer goes out to your family and i know you are resting in peace.
Best regards,
Pumbuj4
atakuwa ameuliwa huyu, maskini hana hatia huyu,hamjui tu.
ReplyDeleteHuu ni either UZUSHI au mchezo mchafu, na % percent serikali ya JK inahusika kumuondoa huyu kinara wa scandal nzima ya EPA. haya ndio yaliyomkuta Kolimba na sasa ukawa wakati wa Balali ili wengine waendelee kufaidika ila bado siamini kama kweli TZ ilishindwa kumtafuta akiwa hai ili aje kujibu tuhuma zake mapema. Damn nimeondoka Boston muda si mrefu, haya Walioko Boston mwende kwenye mazishi ili hata muone hiyo sura yake if possible, hili ni changa la macho Watz we are taken for a ride here, we better wake up kwenye huu usingizi wa pono. Again, serikali ya JK inajua A - Z sio siri.
ReplyDeleteWanaodai mwislamu akifa huzikwa alipofia pia wanatudanganya. Marehemu Prof Kighoma Ali Malima alifia Uingereza, lakini alisafirishwa na kuzikwa Tanzania. Na wengine wengi. Hiyo habari ya Balali kuna mengi yanafichwa, pengine kweli yu hai serikali inapanga mipango ya kwenda kumficha mbali. Sijawahi kusikia ati mtu kafa lakini ndugu zake hawana habari na nyumbani kwake hakuna msiba!
ReplyDeleteNipo hapa Boston muda wa miaka mitano sijasikia kama kuna mtanzania mwenzangu ana habari za Balali kulazwa hospitali za hapa....hata huu msiba sijausikia. Naomba mwenye taarifa za mahali msiba ulipo atufahamishe tukatoe pole na kumsindikiza mwenzetu.
ReplyDeleteMdau,
Boston, MA
Jamani,
ReplyDeleteBalali hajafa ni mzima kabisa, hii ni njama hawa watu wametunga ili asije kulipua bomu linalowahusu wakubwa.
Balali yupo Colorado ni Mzima. CCM mbona mnazika mtu angali hai? Ni
Mtanzania
kwanza kwa kutanguliza rest in peace bilali na pole kwa familia yake. ikumbukwe huyu marehemu ameishi marekani (Dc metropolitan area) for than 30yrs na kabla ya kumuoa huyu mkewe wa sasa alikua ameoa mfilipino na alizaa naye watoto na huyu mfilipino yuko hapahapa marekani na wanawe na huyu mkewe wa sasa nae ni mkazi wahapa marekani pia ameishi more than 30yrs too so ukiachilia habari yake ya uislam ya kwamba ukifa mahali popote uzikwe huko huko huyu marehemu marekani ndo kwake and on top of that he is american citizen and familia ndo imekaa kikao ikaamua kuzikia huku marekani na wenyewe hawakuta too much midomo ndo maana wanafanya msiba very privately so pliz people cha muhimu ni kumuombea marehemu apokelewe na kuifariji familia kwani yaliyo pita ni sindwele tugange yajayo
ReplyDeleteMimi nilifikiri April 1st imepita kumbe kuna nyingine katikati ya mwezi wa tano...anyway haya mambo yahaaminiki kabisa. Sasa zile hela za BOT nani atazirudisha? Inabidi familia yake iwajibike badala ya kuendelea kutesa na pesa za ushuru na jasho la Wadanganyika wenzangu!
ReplyDeletemmmh hilo ni changa la macho,hivi kama amekufa kweli kwanini wasimlete bongo akazikwa kama wengine?!!!! inamaana serikali achana na ndg zake labda hawawezi lakini hata serikali haina uwezo wa kuuleta mwili wa marehemu!!!! mbona walio kuwa viongozi hapa nchini wakafia nchi za wenzetu serikali inafanya juhudi wanaletwa na kuzikwa hapa bongo inakuwaje kwa Balali ishindwe?
ReplyDeleteJamanii hapa kuna mchezo unachezwa!!inamaana marehemu aliacha usia azikwe huko au??hata hivyo inamaana ndg zake hawataki kumzika ndg yao???? mimi nina mfano.. nilikuwa na kaka yangu aliishi muda mrefu sana marekani na alisema akifa azikwe huko huko marekani na kwa bahati mbaya alikufa huko huko mwezi wa nne 2008 lakini ndg tulichanga hakuna aliyekuwa anataka azikwe huko kwani sio kwao,na watz huko pia walichanga tukaleta maiti tumezika kijijiniiiiii sasa inakuwaje kwa mtu aliyekuwa mkubwa serikalini ishindikane kuletwa maiti yake????inaana ndg wameridhika na hilo??? hawataki kumuona ndg yao kwa mara ya mwishoooo????? au ni serikali inashinikiza azikwe hukooooo? au huyu jamaa hajafa wala nini tunachezewa akili anafanyiwa plastic surgery badala ya kuitwa Balali anakuwa Brown????jamaniiii itaendelea mpaka liniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii? Tuamkeee watanzaniaaa
ReplyDeleteMichuzi I m sorry but i gotta say this "His NOT F@#ken dead". When are Tanzanian gotta wake up? n Why did he get to be buried in US n not TZ? Doesnt he have a family that need to c him before he gets buried? This is F@#KED up michuzi..........
ReplyDeleteJAMANI HII NI KUONYESHA JINSI GANI WATU WANAWEZA KULA KIULAINI.
ReplyDeleteSERIKALI YETU IKO WAPI ? HUYO JAMAA YUPO NA ANAWASANIFU WABONGO, LAKINI NO SWEAT TUTAKUTANA VIWANJA VYA HAWAII au PORTO RICA. SERIKALI HATAKUSEMA KITU NA KIONGOZI KAMA BALALI KUZIKWA KWAKE BOSTON DUH MSIJALI WABONGO WENZANGU TUTAMUWEKA KWENYE UNSOLVED MYSTERY VIJANA WATAMTAFUTA.
Mzalendo WE,MELB,AUSSIE.
KIFO CHA KUPANGWA, KISHA MIAKA IJAYO TUTAAMBIWA KAONEKANA KWENYE VISIWA VYA .....! HATA HIVYO KWANINI AFE WAKATI JUZI IKULU ILISEMA WAKATI UKIFIKA WATAMLETA JAMBO LINALOTHIBITISHA KUWA ALIKUWA NA AFYA NJEMATU. KIFO KIMEPANGWA KUMFICHA MAREHEMU ALIYE HAI. tulikubali ditto kwa sababu tuliona maiti yake sasa maiti hewa ya balali tunaitaka.
ReplyDeleteWE WARIDI WACHA LONGO LONGO OO MAREHEMU ALIKUWA MWISLAM KWANINI ANAZIKWA SIJUI KESHOKUTWA KAMA ALIKUWA MWISLAMU SI ANGEZIKWA SIKU ALIYOKUFA WE VIPI WEWE USITUYAYUSHE.
ReplyDeleteBiblia inasema
ReplyDelete"Roho, nafsi itendayo dhambi, itakufa" (Ezek. 18:4)
mi siamini kabisa kama huyu jamaa kafa. huo ni uzushi tu na hata tuking'ang'nia aletwe huku wa weza wakatuletea plastic body. Dah! kama ni kweli mungu auweke mahali pama papeni mwili wake. Amen... na amsamehe makosa yake yote.
ReplyDeleteEboo!! nyie Majuha nini ? sasa mnashangaa kufa Balali wakati hata mitume wa mungu walikufa.. kwani hamuelewi chanzo cha yeye kuja huku Amerika ni kwamba alikuwa mahututi... mungu amlaze pema peponi...
ReplyDeletejamani mie sioni ni kwanini mnamshupalia balali namna hiyo..hata kama ni wewe ungepewa wadhifa kama wa balali,ungechota mahela pia.ndio maana asilimia kubwa ya watanzania mko nje kutafuta pesa...na yeye alipewa wadhifa akautumia...ni watanzania wangapi wamechota mahela ya serekali?mmemuona balali pekeyake..kufa salama baba...mungu anajua pa kukuweka..tutakutana asilimia 100 ya watanzania hapo mungu atakapokupangia..asilimia kubwa ya watanzania tutaenda motoni...kama balali
ReplyDeleteMICHUZI, HABARI YA KAZI.
ReplyDeleteYAMESEMWA MENGI HAPA, KILA MTU AMEONGEA LAKE. LAKINI MI NIMESIKITISHWA NA WALA SITAKI KUAMINI HAYA MAMBO WATU WANAYOTAKA WATU WENGINE WAYAAMINI.
ETI KIFO CHA BALALI NI KUZIMA ISHU YA EPA? KAMA KWELI KUNA WATU WAMEFANYA HIVO WAKIAMINI KIFO CHAKE NDIO MWISHO WA EPA NAWAONEA HURUMA? NA WALA SITAKI WATANZANIA WENZANGU WAAMINISHWE HIVO.
NASEMA HIVI KWA SABABU ZANGU(INGAWA WENGINE HUENDA WASIKUBALIANE NAMI).
KWANZA
MIMI SIAMINI KAMA BALALI NDIO ALIKUA FUNDI MKUU(CHIEF ARCHITECT) WA MPANGO MZIMA WA MADUDU HAYA, LAZIMA KUNA WATU.(MIMI NAAMINI BALALI ALIKUA (MRATIBU)COORDINATOR TU.
KWA MAANA HII WATANZANIA HAWANA HAJA YA KUHANGAIKAKUKAUSHA MATE KUTAKA MAITI YA BALALI LEO. WATANZANIA TUNATAKIWA KUSONGA MBELE, KWA KUTAFUTA HAWA WAHUNZI WA MPANGO HUU MZIMA? NA HII WALA HAIHITAJI SHAHADA.
PILI,
BALALI ALIKUA SIO MUANDIKA HATI ZA MAOMBI YA MALIPO YA FEDHA HIZI (ZA EPA) KUNA WATU WALIANDIKA TENA KWA MADODOSO YALIYOSHEENI UJIVUNI WA TAALUMA ZAO.WATU HAO NDO ADUI WA TANZANIA KULIKO HATA MAITI HII TUNAYOIGOMBEA.
TATU,
SIAMINI NA WALA SITAKI KUKUBALI KWAMBA FEDHA (ZETU) HIZI ZOTE ZIPO KWA BALALI. KUNA WATU WANAZO TENA NYINGI. KAMA INGEKUA NI KAMPUNI KUTOLEA MFANO BASI DALALI AAH KUMRADHI BALALI YEYE ALIPATA GAWIO LA GHARAMAZA KIUTAWALA TU (MANAGEMENT COST).NA MARA NYINGI GAWIO HILI HALIZIDI ASILIMIA KUMI.
MWISHO,
WASIWASI WANGU NI KWAMBA INAONYESHA KUNA MBINU ZINAFANYIKA ZA KIUFUNDI ZA KUTAKA KUWAPOTEZA WATANZANIA NJIA YA MAPAMBANO KWA KUTAKA KUWAAMINISHA WATANZANIA KUW ABALALI NDIO ALIKUA KILA KITU. LAKINI WATANZANIA WAJIULIZE KWANI HUYU BALALI ALIKUA WAPI NA NANI NA ALIKUA NAMAADILI GANI KABLA HAJAKUTANA NA GENGE HILI LA MAFUNDI WAZIMA WA MPANGO HUU WLAIOUPA JINA LA EPA? JE BALALAI SI KWAMBA AMEJIKUTA AMEWEKWA KATI KIASI KWMABA KUTOKANA NA IMANI YAKE KUWA HABA AKAWEZA KUVUTIKA?
NITOE MFANO JINSI NINAVOOONA SUALA LA BALALI KUINGIA KATIKA JANGA HILI. NI SAWA NA BABA KATIKA FAMILIA ALIYEJIKUTA AMEINGIA KATIKA MTEGO WA HOUSEGIRL ANAYEMFANYIA VISA ATEMBEE NAE, NA BABA YULE PAMOJA NA KUJITAHIDI KUIZUIA TABIA ILE CHAFU ANAJIKUTA UZALENDO UMEMSHINDA NA BAADAE KUINGIA KWENYE MTEGO.
KAKA MICHUZI NAOMBA KUWASILISHA TAFADHALI TAFADHALI MADA HII NILOIBUA NI MUHIMU NA NINGEPEND AWTANZANIA WENZANGU WAIJADILI. TAFADHALI NAOMBA NAFASI.
REST IN HELL BALALI!
ReplyDeleteWANABLOG NA MLIOTOA MAONI,NI HIVI KWANZA DAUDI BALALI HAKUWA MUISLAM,AMEKUFA MKRISTO..(KAMA KWELI AMEFARIKI)HICHO KIFO CHAKE KIMEKAA KAMA CHANGA LA MACHO TU:::
ReplyDeleteSIONI HAJA YA SERIKALI KUTUMIA GHARAMA ZAIDI YA HASARA AMBAYO WATANZANIA TUMEINGIA KUPITIA EPA KUUSAFIRISHA MWILI WAKE,ALIKUWA NA SENTI NYINGI TU HUYO HIZO HIZO ZITUMIKE KAMA INABIDI KUJA KUZIKWA IRINGA,AMA LA AZIKWE HUKO HUKO.WATANZANIA SI MPO BOSTON NA MNA DIGITAL CAMERAS,NENDENI KWENYE MAZISHI,JITAHIDI MUHAWI KWA LAST RESPECT ILI MPIGE PICHA MWILI WAKE NA MTUWEKEE SISI WA MBALI KWENYE MITANDAO HASA HUU WA BWANA MICHUZI TUJIONEE.
ILA NDIO HIVO PIA UNAWEZA KUWEKWA MWILI WA MWINGINE UMEFANYIWA PLASTIC SURGERY SURA YA BALALI COPYRIGHT NANI ATAJUA::::LAKINI NAOMBA TUAMINI AMEKUFA ...KAMA HAJAFA SASA IPO SIKU ATAKUFA TUUUUUU,MAANA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI,
CHA KUJIULIZA NI KUWA HII HABARI YA EPA INAISHIA WAPI SASA NDIO AMEKUFA NAYO????
NAHISI PIA KAMA KUFA ITAKUWA NI YALE YALE MAMBO YA COLNUM210 KAMA YALIYOMKUTA ARAFAT NA ARIEL SHARON...UNANYAMAZISHWA WENGINE WAENDELEE NA MAISHA KWA USAFI.KUMBUKENI MSHAHARA WA ZAMBI NI MAUTI...NA MAUTI HAYO SI KUFA MWILI BALI ROHO.
WATANZANIA TUTAISHIA KUTOA MAONI TU KWENYE BLOGS AU TUNAWEZA KUFANYA KITU,MAMBO MENGIII TUNAISHIA KUSEMEA PEMBENI TUUUU.REPORT YA MWAKYEMBE NA SAKATA LA RICHMOND BADO TUNALIPA GHARAMA KUBWA ZA UMEME ,OUT OF IT TUMEAMBULIA WAZIRI MKUU MPYA BASI,..NA KARIBU TUNASAHAU HAYO.
KILA LA KHERI,WAFIWA POLENI.WATANZANIA TUFUNGUE MACHO...ITS NOT ONLY BALALI*****
TUWAWAHI WAHUSIKA WENGINE WA UFISADI NA WAO KABLA HAWAJAFA
mna hasiiiira,
ReplyDeletehajafa kafa, ni kazi yake yeye.
hata akiletwa hela ikirudi utaidika na nini! fanyeni kazi acheni kulalamikia vitu vya kuumizana mioyo tu, mnahukumu pasipo hukumu na hata penye hukumu hamtoi hukumu inayostahili, mwenye kutoa hukumu ni MUUMBA pekee.
uone mwili, azikwe iringa, azikwe dar, azikwe DC sijui DNA ICHUKULIWE ILI IWE NINI SASA
mi nachukia!
mtaona nawasema lakini ndio ukweli tuyaache maana hakuna maana
Mh! Heri yake yeye roho yake yaenda kutulia mahali tusipopajua (Kamaliza safari) anaachana na maneno ya dunia. Mimi na wewe je! Safari yetu ya Mwisho ni lini?? Mungu amlaze mahali pema peponi
ReplyDeleteMICHUZI, HATA MTOTO MDOGO HUWEZI KUMDANGANYA KIJINGA NAMNA HII.. LOOL.. WATANZANIA WENZANGU, HILI NI CHANGA LA KUFA MTU.. NA MBONA MAGAZETI YA SERIKALI YASIANDIKE HIZI HABARI NA WAHUSIKA WASITUHAKIKISHIE KTK TV ZA TAIFA? WEWE MISUPU WEWEEE, SIE TUSHAPIGA MISWAKI YA MACHO NA MASIKIO LONG TIIMEE..
ReplyDeleteDUUH.. SI MCHEZO.. KUDADADADADEKI..
HUYO KAFANYA SEX TRANSPLANT NINI ILI KUPOTEA? AU NDIO YALEYALE YA LALOLA.. UUWII..
JAMANI MBONA MNADANGANYANA? BALALI MZIMA JANA TU TULIKUWA NAYE MIAMI, ALIKUWA BEACH NA TOTOZ..HA HA HA HAAAAAAAA AMA KWELI MNALIWA MNAONA!! POLENI WALA VUMBI..SIE HUKU ANATUPIGA MAOFA TU KWA HELA ZENU
ReplyDeleteNilijua kutatafutwa tu ujanja wa kuliua so hili la EPA kabla ya terehe ya mwisho ya uchunguzi kufika maana ilitangazwa siku chache zimebaki uchunguzi ukamilike kube kilichokuwa kimebaki ni kifo cha Balali tu
ReplyDeleteHapa bwana hakuna cha mtu kufa wala kufiwa,
ReplyDeleteSema tu na sisi tumekua wapole sana na nchi yetu tukiwaachia watafunaji wakijitwalia watakavyo.
Tutajadili humu na comments zaweza kufika hata alfu kwa hii issue na mwisho wa siku tutarudi vitandanai kulala lolote lisifanyike.
Mi naamini kuna wakubwa serikalini ambao ni wasomaji wakubwa wa hii blog, wakisoma wanaishiaga kucheka tu wakijua tutasema na mwisho tutalala, hatutaweza kuwafanya lolote.
Hivi mnafikiri watu wote tuliotoa comments tukiamua kwa msismamo mooja ku-organize na kufuatilia hili jambo mpaka kieleweke itashindikana???!!!!
Naamini katika wapenzi wa blog hii hususan waliotoa comments zao kwenye hii issue wana uchungu mkubwa na nchii hii.
Yawezekana Michuzi asikubaliane nasi kwani ye ni muajiriwa wa serikali (chama!!??) lakin kama akitia ngumu tunaenda hata jamiiforums.
Kikubwa ni uvumilivu tu wa yatakayotokea lakin ninaamini tunaweza kabisa kupitia blog hii kuanzisha movement dhidi ya ufisadi na tukafanikiwa kabisa hata baada ya muda mrefu,
WADAU MNASEMAJE????!!!
Chonde chonde michuzi na hilo kapu lako hapo pembeni
duu hii kali sana, yaani Gavana wa benki wa UNITED REPUBLIC OF TANZANIA anazikwa nje ya nchi kisa??? Kwanini asirudishwa nyumbani tukampa mazishi ya maana au sura yangu imeungua kiasi ya kwamba hawataki tumuage....Kifo Kifo lakini hichi mhhhhh kina walakini kila kitu KIMEPINDA kwenye ishu hii.
ReplyDeleteTunaomba Serikali irudishe mwili wake TANZANIA !! Kwa nini Azikiwe Marekani, ukizingatia na utata uliokuwepo hapa ?? msituletee hizo kabisaaa , it is very possible mmeenda hospitali huko Marekani na kuomba mwili wa marehemu mmoja black labda mfungwa asiye na ndugu "John Doe" na kudai ni Balali wakati yeye kahamia Colombia nshi isiyo na serikali !! tunayaona haya kwenye filamu kila siku na its very possible !! Yaani huyu jamaa akizikwa Marekani mimi ni CCM damu, basi ni narudisha kadi yangu ya chama na JK hupati kura yangu uchaguzi ujao!! Ni kwamba huu ni udhalimu wa mchan kweupe so Serikali hap inatakiwa kuingilia kati huyu jamaa mwili urusishwe angalauy wananchi tupate CLOSURE !!!! THIS IS BEYOND BELIEF !!! Jamani tunakwenda wapi ???
ReplyDeleteUFISADI SIO LAZIMA WA EPA, NA NDUGUZE HATA NYIE MNAOBISHA KUWA BWA BALALI SIO MAREHEMU NI MAFISADI MMEJUAJE KAFICHWA KAMA HAMJASHIRIKI HILO???
ReplyDeleteHUO NDIO UFISADI WA UHAI WA MTU
RIP MZEE WA WATU LOH! MENGI YAMEKUKUTA. KAPUMZIKE
MMMMMMMMH HAYA TENA MAMBO HADHARANI MSHINDWE NYIE TU. LAWAMA KIBAO . KIBOKO YA HII NI KUJITOA MUHANGA TUNAANZIA KWA BEN (TAKBIRI ALLAU ......) NDIYO ILIYO BAKI HALAFU NI KUFANYA MPANGO KUINGIA BUNGENI TU ALAFU UNALIACHIA PALE. MBONA IRAQ WANAWEZA SI TUSHINDWE TUNA NINI.......?
ReplyDeletewlah michuzi ukiibana hii na hack blog yako.
ReplyDeletejamani mimi ninahitaji wasaidizi nina mpango wa kuanzisha chama cha snipers for wanyonge...
haitachukua muda tutakuwa tumewamaliza mafisadi wengi within a year.
if you are interested weka email yako i will keep on checking.
mpaka kieleweke
Tarehe May 22, 2008 7:59 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteWHAT ARE YOU TALKING ABOUT, DONT QUOTE THE BIBLE ON YOUR SILLY OPINIONS
BALALI IS DEAD..TUHESHIMU MAITI JAMANI,MBONA WATU MNA ROHO YA KOROSHO...WHO ARE YOU TO JUDGE THAT HE IS A THIEF??YEYE HAKUWA MWIZI ILA BODI YAKE NDIO ILIYOJAA WEZI NA NDIO MAANA AMEACHA LIST YA WHO WAS INVOLVED,BECAUSE TIS CLEAR HE WASNT INVOLVED. THIS MAN WAS MY UNCLEEE... BLOODY HELL.. RESPECT ATLEAST THAT!
LEILA SHAKUM - WASHINGTON,D.C
NDUGU WATOA MAONI WOTE MLIOTANGULIA,TAFADHALI RUDI KWENYE INI ZENU KWENYE UTAMADUNI WETU,HIVI KWELI MNADIRIKI KUSEMA SERIKALI YA MHESHIMIWA RAIS INAWEZA KUTOA TAARIFA YA UONGO KAMA MNAVYO DHANI KIRAHISIRAHISI HIVYO? PIA MUWE NA UBIMU KIDOGO KUMBUKENI WENGINE WANAFAMILIA WAMEFIWA SASA WAKISOMA MANENO MACHAFU KAMA HAYA WATAJISIKIAJE? HEBU TUWE WASTAARABU KWA KUHESHIMU KIFO CHA BALALI,MLISHAMBIWA KUA YEYE MLEO ALIKUA MTUHUMIWA TU ALIKUA NA DHAMANA HIYO LKN HAINA MAANA KWAMBA YEYE NDIO ALIYEFANYA HUO UFISADI.JARIBUNI KILA MMOJA WENU KUJIWEKA YEYE KTK POSITION YA HUYO NA KTK POSITION YA NDUGU ZAKE. SASA NYIE NDIO MAFISADI WA UBINADAMU HAMNA KABISAAAAAAAAAAAA!TULIENI FAMILIA INAENDELEA NA TARATIBU ZAKE HAMTAKIWI KUINGILIA.
ReplyDeleteIts called "Usanii"
ReplyDeletethanx.
HUU NI MCHEZO UMECHEZWA BALALI HAJAFA. MIE BINAFSI NAMJUA KWA KARIBU MKEWE (ANNA MUGANDA) NA WANAOMJUA WATANISAPOTI HAPA HUYU DADA SHE TALKS TOO MUCH, NA ALIKUWA ANATAMBA WAZIWAZI KUWA WAO SASA NI POSH, NA HAKUNA MTU ATAKAYEWAFANYA CHOCHOTE KWANI JK NI BEST MATE WAO.
ReplyDeleteKUNA MDAU AMESEMA BASI WAPIGE PICHA MAITI YA BALALI HATA HIVYO SIO PROOF, ANAWEZA AKAPOSE KWENYE JENEZA VIZURI. BWANA EEE MWILI ULETWE HAPO BONGO, MLOKUWA HUKO MSIKUBALI AZIKWE HAPA BOSTON.
A PRAYER TO THE DESERVING DR.D.T.S Ballali
ReplyDeleteAbsolve, we beseech Thee, O Lord,
the soul of Thy servant Daudi Ballali,
from every bond of sin,
that being raised in the glory of the resurrection,
he may be refreshed among the Saints and Elect.
Through Christ our Lord.
Amen.
vyombo vya habri ndio wakulaumiwa..Jamaa kasema..
ReplyDelete"If you shout on a thief and he starts running,and at the end gets beaten to death, we won�t blame those who killed him, but the ones who shouted that he was a thief"
http://www.thecitizen.co.tz/newe.php?id=5445
Mungu amuweke pahala peponi, AMEN!
+++++++++++++++++++++++++++++++++
TAFAKURI YA WALE WANAOBEZA!
Yeye kamaliza kazi yake hapa duniani, Je weye yako ikija umejiandaaje!??
pole kwa wafiwa!
ReplyDeletekwa wasioamini kama mimi na wewe,
kujua ukweli ni rahisi mno!
JARIBIO LENYeWE!
Tafuta sumu ya panya kunywa au jinyonge na kamba ya katani.
MATOKEO
Utapata lift ya bure hadi kuzimu na kuonana na kitabu cha hukumu.Soma list ya majina,angalia jina la Dr.D.Barali
ANGALIZO
iwe siri yako,usirudi kutuambia.
MATUKIO MBALIMBALI KUHUSU BOT
ReplyDelete(TEMBELEA:www.freemedia.co.tz)
Juni 23, 2007
BoT yachunguzwa kwa kashfa
Juni 27, 2007
Kashfa ya BoT yazidi kukua
Juni 29, 2007
BoT yaibuka upya bungeni
Julai 10, 2007
Serikali inamlinda Ballali - Wapinzani
Julai 13, 2007
Ballali:Nimezushiwa
Julai 14, 2007
Ballali ashtua watu - Akataa kujiuzulu
Julai 26, 2007
Ballali ana kwa ana na Kamati ya Bunge
Julai 27, 2007
Ballali apoza wabunge - Hesabu za BoT zapitishwa
Disemba 25, 2007
BOT:Ballali hajajiuzulu
Januari 10, 2008
JK amng'oa Ballali
Januari 11, 2008
Dunia yashtushwa Kashfa ya EPA
Januari 12, 2008
Ballali ana siri nzito
Januari 14, 2008
Rais Kikwete mrudishe Ballali nchini - Wapinzani
Januari 16, 2008
Mramba awa bubu kuhusu sakata la EPA
Januari 17, 2008
Marekani yamtimua Ballali
Januari 18, 2008
Gavana apasua jipu - waanza uchunguzi wa EPA
Januari 20, 2008
Ballali aja
Januari 23, 2008
Kamati ya kuchunguza wizi BoT yaanza kazi
Januari 24, 2008
Dk. Slaa ashtukia Kamati ya Kashfa ya EPA
Januari 27, 2008
Ballali aitikisa serikali - ataka kurejea nchini
Januari 28, 2008
‘Ufisadi BoT umefanyika ndani ya miaka 5’
Januari 30, 2008
Hoja ya ufisadi moto
Februari 3, 2008
Njama za kuharibu ushahidi BoT zaanza
Februari 4, 2008
Meghji: Ballali hakuwa mtumishi wa serikali
Februari 5, 2008
Hoja ya EPA yazidi kuwa moto Bungeni
Februari 18, 2008
Bush azungumzia mafisadi
Machi 10, 2008
Kamati ya Kashfa ya EPA yaficha siri
Machi 13, 2008
EPA kunasa wengi
Machi 15, 2008
BoT yaistukia EPA
Mei 9, 2008
Ikulu: Tukimtaka Ballali tutampata
Mei 21, 2008
Ballali afariki Marekani
Mei 22, 2008
Ballali alikiona kifo
michuzi ee aksante kwa kuposti comment yangu.
ReplyDeletenilikuwa na jazba atiii!
nimefurahi kuona upo neutral!
bc kanibania kwa hiyo najiandaa kuposti message yangu kwa lazima mpaka kieleweke!
mi nishaamua kutumia ujuzi nilio nao mpaka ufisadi uishe simpigi mtu wala nini ila nitawaanika tuu unless watoe soft copy za kila kitu wanachoficha na system zenyewe zilivyo defenseless.
jamani wadau kaeni mkao wa kula.
mpaka kieleweke
Ni waongo Balali hajafa!!!Nimemuona kitongoji cha Langley Park ,Maryland hapo New hampshire avenue na University boulvard!!
ReplyDeleteNYIE SIO MLIKUWA MNALETA UCHURO WA KIFO SIKU ZA HIVI KARIBUNI? SASA MNABISHA? SI MLIKUWA MNATAFUTA MTU AFE MPAKA MKAMSINGIZIA NGOSHA WA WATU KUWA KAFA WAKATI YU MZIMA WA AFYA! SASA LEO MNYALU WA WATU AMEKUFA MNABISHA, MLITAKAJE SASA ASIFE? AISHI MILELE? KAMA SIKU YAKE IMEFIKA NA MUNGU ANAMTAKA KIUMBE WAKE KWA KUWA TU NYIE HAMTAKI BASI ASIMCHUKUE? HEBU FANYENI SUBRA NA UTU KWA FAMILIA YA MAREHEMU. MTU AKISHA KUFA BASI MUOMBEENI KWA MUNGU AMPOKEE HUKO AENDAKO NA UKIZINGATIA SIKU NYINGI TANGU MWAKA JANA ALIKUWA MGONJWA TAABANI MBONA HAMKUBISHA LA UGONJWA?
ReplyDeleteUtafikiri hizo pesa za EPA zilikuwa zenu kumbe zilikuwa za Wazungu za kulipa madeni ya nje! Na wala hata zisingeingia kwenye bajeti wala huduma za jamii!
MUNGU AKUPOKEE NA AKUPE MAKAZI UNAYOSTAHILI BWANA DAUDI BALALI!
Wewe anoun unaesema kuwa pesa zi zetu una wazimu????hayo madeni ya nje serikali imeyaingia vipi???Pumbavu kabisa wewe.Inaonekana wewe si mlipa kodi Tanzania.
ReplyDeleteMimi sioni huruma kwa familia maana walikula raha kwa jasho la wengine.Wewe ukiona baba yako anapesa yingi huwezi kuuliza anazitoa wapi???
Ipo siku yote haya yatakwisha.Mchezo wa viongozi wa serikali kutunua kwa pesa za watanzania utakwisha tu.Mungu wewe ni hakimu na unajua kazi yako.Tunaweka kilio chetu mikononi mwako.
jamani ee achenikulalamika mimi nimetoa idea yangu ya kupunguza ufisadi kama na ninyi mna idea zenu ziwekeni kapa ili tujipange jeshi likiwa na idea nyingi tofauti litafanya kazi kwa ufanisi na muda mfupi au mnasemaje wadau!
ReplyDeletenimeomba email zenu mliokuwa interested hamjajitokeza na assume hakuna aliye interested ila kama upo interested na unasita nidondoshee mstari mpakakieleweke@gmail.com
sihitaji watu wengi hii ni kazi ya watu 5 tu.
for what he did you would have thought that he would not die.
ReplyDeletethose who care are those without sense.
people live in grinding poverty and someone does this.
What really baffles me is the way most Tanzanians agree to be fooled and made to believe that the BoT scandal was entirely the work of late Dr Ballali. That so long as the main presumed culprit was silent, or his whereabouts not known, or now he's dead, the government is safe. And almost every Dick and Jane out there is caught up by this poorly manipulated fiasco.
ReplyDeleteMoving to fire him was also meant to confirm this line of thinking, that the government also feels that all these things WERE JUST ONE PERSON'S actions!! With good friends he dished out Sh133bn for their business interests, in the ABSENCE OF GOVERNMENT AWARENESS AND APPROVAL!! This is a BIG LIE that the late Ballali had to endure and live with, until his death. Poor Tanzanian minds!!
KWANZA NAWAPA POLE WAFIWA, NI KWELI BALLALI AMEFARIKI NA ATAZIKWA DC, US. MTAKE MSITAKE
ReplyDeleteKWA UFUPI TU BALLALI HAKUWA MTANZANIA ALIKUWA M-AMERICA, AMEKUWA KIWANJA KWA ZAIDI YA MIAKA 20. ALIFANYA KAZI IMF KAMA AMERCAN
UKWELI BALLALI ALITUMIWA TU NA VIGOGO WENGI WAZITO WALIOHUSIKA NA SAKATA HILI LA EPA.
Nakubaliana na wewe. Wakati umefika kwa waTZ kuanza kuwatafuta mafisadi sisi wenywe binafsi maana serikali inatudanganya tu.
ReplyDeleteChama cha ma-snipers kweli kinahitajika. Inabidi tuwamalize kabla ya kutumaliza. Kumbuka: Kill before you are killed!
kwa style hii itabidi ianzishwe tume huru ya snipers tena ibarikiwe na bunge kwa yeyote fisadi au mwenye kashfa apewe ya kichwa au watanzania wote tutoke barabarani kuelekea ikulu mpaka kieleweke
ReplyDeletewe anonymous wa Tarehe May 23, 2008 11:05 AM nimekumaind kinoma umeongea point nzuri kuwa jamaa kazikwa kwao marekani na pili jamaa katumiwa tu na vigogo.tatu mi naongezea kuwa Ballali yes alikuwa shahidi nambari wani lakini haina maana hakuna mashahidi wengine ambao walikuwa almost katika level moja ya details za EPA mifano ni Gray Mgonja na Prof Ndulu(ambaye alikuwa msaidizi wa Ballali) .
ReplyDeleteJamani hebu tuacheni kudiscuss mtu wa watu kashakufa cha msingi ni kufikiria mambo gani yanaweza kufanyika ili kuwaanika mafisadi hivi nyie mnafikiri hao wawili niliowataja hapo juu hawajui kitu?
Hivi kuna mtu anaweza kunitumia email tukadiscuss mambofulani kuhusu the computer network interface ya tanzania?
tuwasiliane mpakakieleweke@gmail.com
MUNGU AMLAZE FISADI MAHALI POPOTE PEPONI,KAMA UNASEMA BALALI ALIKUA MMAREKANI NA SI MTANZANIA ILIKUAJE SERIKALI IKAMPA HAZINA NZIMA MMAREKANI? TENA ATAKUA NI BEN HUYO KWANI URAIA WAKE HAKUCHUNGUZWA KABLA HAJAPEWA IDARA NYETI KAMA ILE, HUU NDIO UPUMBAVU TUNAO UZUNGUMZIA..HATA KAMA NINGEKUA NI MIMI NDIO NINA URAIA WA MAREKANI THEN MNINIPA DHAMANA YA KUPIGA SIGN KWENYE HELA ZENU NINGEZIIBA ZOOOTE THEN NARUDI NCHINI KWANGU KAMA ALIVYOFANYA BALALI..KAMA MZALENDO NAOMBA TURUDISHE LAWAMA KWA ALIYEMUWEKA PALE MPAKA AKAPATA NAFASI YA KUTUIBIA KODI YETU WANYONGE TENA YA KIMA CHA CHINI KWA KWELI INAUMA NA INAUMIZA SANA..TUAMKENI WAZAWA MPAKA KIELEWEKE
ReplyDeleteKuna ma-annon hapo juu wameonyesha uchungu wao juu ya hzi tuhuma za ufisadi na jinsi zinavyozimwa,
ReplyDeletenachopenda kusema ni kwamba, hata mimi pia nasikitika sana juu ya hzo na nipo tayari kuungana nao "mpaka kieleweke",
Tuanzishe task force ya kushughulika na hawa jamaa hata kwa kuviziana mitaani na mabarabarani ili waishe nchi iwe safi.
Nasema tena, niko tayari kufa kwa ajili ya nchi yangu hivyo mwenye kutaka kujiunga nami mimi niko tayari,
Nina mbinu kadhaa za kipelelezi na za kijasusi nilizojifunza china na cuba hivyo kuwashughulikia hawa mafisadi haitakua kazi kubwa kwangu.
How convinient for him to die within the 6months and order his body not to be returned
ReplyDeleteEnyi nyote mnaomtuhumu Balali peke yake na hii skendo mnakosea, tena sana
ReplyDeleteBalalia anahusika na EPA kama shahidi tu kwa kua alikua msimamizi mkuu tu wa BOT, na sio Mwizi/Mtuhumiwa/Mfujaji mkuu wa EPA
Ni kama vile Madaktari walivyokosea upasuaji hospitalini Muhimbili akatakiwa Waziri wa afya ajiuzulu wakati masikin ya mungu waziri mwenyewe sidhani kama alikua anamjua hata huyo daktari au mgonjwa kabla ya tukio. Wala hata huyo daktari alivyoajiriwa sidhani kama huyo waziri ndio aliempitisha Intavyuu au kumuajiri.
Hivyo basi katika hili suala Balali sio mhusika mkuu kabisa, mhusikia ni mwingine tofauti na bado anadunda tu na kutusanifu,
Ni nani basi huyu mhusika???
Jibu; Soma ufafanuzi hapa chini.
Ifahamike kwamba Serikali inaweka pesa zake BOT kama ilivyo Mimi, Wewe, Taasisi, Makampuni au Mashirika yanavyoweka pesa zao NBC, CRDB, STANDARD CHARTERED, NMB etc.
Kama ilivyo Mimi, Wewe, Taasisi, Makampuni au Mashirika yanavyofanya malipo kwa kuandika cheque na kuwapa watu wakatoe pesa kwenye akaunti zetu benki ndivyo Serikali inavyoandika cheki/memo/document/standing order kuwapa wadai wao wakachukue fedha BOT.
Tujiulize kwamba kama nimeandikisha benki (Tufanye CRDB)kua watoe pesa wakiona cheki imekwenda na saini yangu au ya mke wangu, je nitapaswa kumlaumu nani iwapo mke wangu akiidhinisha malipo yasiyo sawa?? Bila shaka ni mke wangu ndio wa kulaumiwa kwa kuidhinisha malipo hayo na sio CRDB
Je kwa mfano huu, nitamlaumu Dk. Charles Kimei kwa kua CRDB imelipa kutoka akunti yangu watu ambao si wahusika????!!!
BOT ni walipaji tu wa madeni ya serikali, lakin muidhinishaji mkuu wa malipo hayo ni Mwenye akaunti ambae ni Serikali kupitia Wizara ya fedha.
Balali alishaomba kujiuzulu kitambo kutokana na Ugonjwa lakin wakamkatalia, sasa alivyoondoka ndio kibao kikamgeukia yeye.
Kwa ufafanuzi huo hapo juu basi ni wazi kua Skendo la EPA linaanzia Wizara ya Fedha na Mhusika mkuu wa wizara hiyo ni Bw. Gray Mgonja,
huyu bwana amehusika katika kasha nyingine kubwa tu lakin bado anadunda na kupeta tu.
Huu ndio ukweli na mwenye akili auelewe.
N.B
Michuzi hilo kapu tafadhali!!!!!!!
LAWAMA YOTE NI KWA SERIKALI,HUYU BALALI ALIKUWA NI MTU MUHIMU SANA KUPATA RIPOTI YAKE KUHUSU MCHANGANUO WA VIJISENTI VILIVYO YEYUKA BOT AKIWA NI MSIMAMIZI,HATA KAMA YEYE HAKULA LAKINI MAELEZO YAKE YANGEKUWA NI MUHIMU SANA KWETU SASA NI KWA NINI SERIKARI IKAKAA KIMYA TUU MPAKA MPAKA MSIBA UNATOKEA ,NDUGU ZANGU HUU NI USANII ZAHILI MIMI SIELEWI MTU ALIYE SIMAMIA BOT NA PESA ZIKATOWEKA HALAFU SERIKARI INASEMA HATUMUITAJI JE SASA WALIKUWA WANA MUHITAJI NANI?
ReplyDeleteMimi nina swali moja tu: inassemekana kuwa Balali alikuwa Raia wa Marekani. Aliwezaje kupata kazi ya kiserekali ya posting ya juu kama hiyo akiwa siyo raia wa Tanzania? Ina maana, mtu yeyeote ambaye siye Mtanzania anaweza kupata kazi ya aina yeyote serekalini? basi kwanini mnakataa watu kupata dual citizenship? au kuna watu na watu - "privileged" few ndioyo wanaweza pata hizo kazi?
ReplyDeleteMungu wangu amekufa kweli siamini alafu nashangaa kifo cha huyo Balali kimekuwa chakuficha ficha ni kwanini? hata mwili hatuuoni jamani kama mfalme wa Tanzania nini? haya hela zetu je? kwisha habari yake.....
ReplyDeletesweet,
Arusha.