timu ya taifa ya mauritius hadi sasa inaongoza goli 1-0 dhidi ya taifa staaz kwenye wanja jipya la neshno katika mpambano wa kuwania tiketi ya kucheza kombe la dunia katika mchezo wa mguu wa kwanza. hivi sasa ni kipindi cha pili na uwanja bado umenuna
Home
Unlabelled
neshno kumenuna
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Maximo sucks!! Mkwasa sasa chukua timu!!
ReplyDeleteMhhhhhh Taifa stairs mnahali ngumu sana tena sana kwa mpira huo mnaocheza away kweli mtashinda????swali lipo hapo nyumbani mnatoa droo na hiyo droo ni ya hali ngumu sana sasa je away nani mtamfunga kuweni wajanja jamani inabidi mcheze mpira wa kumuogopesha mtu sio mnacheza mpira wa kusema wa kusema wa droo na hapo inaonekana mlikuwa mnataka droo tu sasa huo sio mpira wekeni mpira mguuni na shindeni kwa mpira huo naona sidhani kama mtafika mbali na hizo droo zenu sasa kama hao mmetoka nao droo vipi cameroon mnaweza kuwafunga swali lipo hapo na nyinyi wenyewe jiulizeni mara mbili kwa mtazamo wangu nyumbani droo sio nzuri kabisa na pia hizo droo baadae mtakuja kujuta nazo.....
ReplyDelete