wadau kibao wa kanda ya ziwa wamekuwa wakiniandikia email kuomba kujua wafanye nini ama waende wapi katika kusaka ujuzi wa teknohama hasa katika jiji la mwanza.

baada ya utafiti nikagundua kumbe university computing centre a.k.a UCC wana tawi jijini humo na tawi hilo lina wataalamu waliobobea katika fani na hawana noma katika kufundisha. nilipowauliza wataalam hao (pichani) wakasema kuwa hapo tawi lwa mwanza wana vifuatavyo:

- UCC upate Training,

- ICT short programme,

- AcademyCourse like CISCO,

- IT ESSENTIAL,

-Linux Administration

-networksystem,

- Internet provision




habari zaidi nenda www.ucc.co.tz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2008

    Biashara matangazo au kujitangaza kwa picha.Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Tumewaona haya.Jingineeee.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 12, 2008

    Jamani USO UMEUMBWA NA HAYA na UTU UZIMA JIWE jamani.........kaka mwenye shati la kijani nimekumaind na nimekuelewe kiutu uzima

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2008

    Mwana haliye vaa tisheti nimuda mwingi humepita kuonana kwani uliniacha pale udsm nikimalizia nami mambo ya computer.Nashukuru nimekuona wewe mzima poa kamueni IT kwani ulimwengu wa sasa ni wa IT.big up sana ucc mwanza na kote tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...