kwa mujibu wa mratibu dj luke uhondo huu wa vijana wa zamani utafanyika columbus, ohio. kwa maelezo zaidi nenda www.oldskoolnjoo.com na mambo yatakuwa mswano.
leo nimekutana na dj bonny luv naye kasema anajiandaa vilivyo na hataki mchezo. anakuja columbus na zote za enzi za mbowe, new africa (ghorofa ya saba), motel afrique na bila kusahau za ymca pamoja na new vision ambako dj luke alikuwa akitesa...kazi kwenu vijana wa zamani, msije sema mmestukizwa. mnataarifiwa mapemaaaaaa....
dah! nakumbuka hilo songi la maiko jekson njoo...sitaaaaaki....kama hutaki nenda...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2008

    haha haaa.... Hata mie huo mwimbo wa Michael Jackson wanikumbusha enzi hizo, ama kweli disco zilikuwa enzi hizo. Kulikuwa hakulaliki.

    mama

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...