Home
Unlabelled
wadau
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh Mzee Issa umenikumbusha rafiki yangu sana tena wa siku nyingi aitwaye Octavian Barnabas a.k.a OC.
ReplyDeleteMwambia rafikiye wa Malaysia anamsalimia sana na asikae kimya hivyo.
Big up kwa wadau wote.
Tatizo lako wewe misupu comment za baadhi ya watu hutaki kuzitoa.Sasa naomba utoe muongozo comment za unazotaka ziwe za aina gani?Karibu nataka kuamini kwamba kuna ufadha kwenye hii blog.
ReplyDeleteBy KK
Kweli bongo tambarare... naona wadau shavu dodo!
ReplyDeleteTuko pamoja bwana misupu. Aluta continua.
Ignorant, jeremani
cool...
ReplyDeletehuyu kaka mwenye shart yenye draft ni Octavian Barnabasi? kama ni yeye naomba tuwasiliane kwa mobile yangu hii +47 98 48 11 05
mimi classmate wako Azania Sec Sc in late 80's & early 90's
Cheers.
Huyo Shoto sio Mrema, tuwasiliane.
ReplyDeleteUsagara High
abd_kib@yahoo.com
Shukran.
wabongo jamani kwa kufuga vitambi tu hatujambo!lakini ndio poa sio kuonekana mpauko tu hatakama mafisadi wanakamua nchi.hayo mambo ya chips dume kwa dagaa!nakumbuka lilesongi la TUMBO DENI LA DUNIA, WE MWENYEWE FIKIRIA!hahahaa miaka michache kama 9 hivi iliyopita.na ule kama tumbo lingekuwa la kioo!!
ReplyDelete"kuwaheshimu sana wadau wote popote mlipo duniani".. kaka michuzi unatunyanyasha wapenzi wa Man United.
ReplyDeleteDuu! OC nimefurahi kukuona,ni miaka mingi sana, nisalimie Faith na mama Yake.- Mama D
ReplyDeleteEbwana long time, huyo jamaa mwenye draft jina limenitoka ila ulikuwa unakuja sana kwa Mzee wako Mikocheni I hope unanielewa. Baadae tulikutana Azania, Ah hii global kweli inatukutanisha.
ReplyDeleteMikocheni-1987
Mrema, unakula nini wewe! naona TTCL hakuongopi. Punguza bwana usije patwa na BP. Tuwasiliane bwana.
ReplyDeleteNyang'oro, USA
OC uko level kama mzee wa visenti, Dah! mshikaji wazee wa SCI Wanakutuhumu uliwachunia pale Azania front kwenye harusi utafikiri ile harusi ulikuwa umeinunua? Acha hizo dogo!!
ReplyDeleteWadau
Mh! Michuzi hicho kitambi au? nahisi shati lako limetuna kwa kwenda mbele.
ReplyDeleteMzee sasa inabidi uongeze safari za gym kwa kweli, na upunguze swala wa break-point. Maana nahisi punde ze fulanaz haitokutosha tumboni.
Mdau - Amsterdam
Nakuona OC!Victor Hapa, IFM!
ReplyDeleteMzee OC na Mrema vipi? Mnakumbushia mambo ya Usagara mabangi? basi tuweasiliane
ReplyDeleteMdau, Houston Tx.
misupu naona uko na jamaa wa TTCL .....
ReplyDeleteHONGERA MICHU KWA KUBADILISHA SHATI!
ReplyDeleteVena
Arusha
Michu umenikumbusha mbali sana, Head brother wangu Usagarani Uhuru Park Hostel Freedy Mrema naona katulia sana, jamaa alikuwa hana noma kabisa akikuta hufanya usafi eneo lako anakwambia " Mshikaji vipi naona leo ulisahau kufagia eneo lako au jamaa wameisha lichufua, maana naona kama bado chafu vile!" hapo wewe mwenyewe kwa aibu unachukua fagio na kwenda kusafisha. nilisikia umepata mtoto hivi karibuni hongera sana. Unamkumbuka Shao rafiki yako?
ReplyDeleteMdau, Asst. Hostel Brother baada ya ninyi kumaliza.
Mzee Oc naona umetulia hapo mambo mazuri namshukuru Mungu kwa maisha yako. Wacharaze kwa vile viboko vya Macho Ni mimi Mzee wa bila Manual USA
ReplyDeleteJamani, vitambi sio dili. Kun'radhi, yanipasa kusema hili kwa sababu wake zenu wenu ninyi wenye vitambi wanatusumbua sana.
ReplyDeleteKaka michu uniform ipo wapi? au kuna sababu ma'rumu yakuto valiwa? fulanaz, fulanaz,ulanaz
ReplyDeleteduh, we mrema nimekubali TTCL Dr Kilimbe aliacha mazingira mazuri ya kupata zawadi maana umechana si kitoto. Mimi Dr Alex Rwiza a.k.a KIBINGWA au Bileku. Tuwasiliane tafadhali. Pata namba kwa sista Leticia
ReplyDeleteOC kumbe wewe Alwatan kiasi hicho ... sikujua libeneke ya Block C utaiamishia mtaani
ReplyDeleteMH."DC" WA TEGETA NINAFURAHI SANA PALE UNAPOKUWA UNAWAJARI WADAU WA KIJIJI CHETU HIKI CHA MICHUZI NI JAMBO JEMA SANA MAANA BILA WAO KWA KWERI MAMBO HAYAWEZI KUWA MSWANO,NASI TUNAKUKARIBISHA SANA KWA FUNDI VIATU RAS MAENEO YA STATION KARIBU NA LONG ROOM PALE UTAKUTANA NA WADAU WAKO PIA,KAMA WALE WA KWA FUNDI MUSA WA EMPRESS
ReplyDelete