HELIKOPTA ya Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (pichani ilipokuwa imepaki uwanja wa arusha kabla ya ajali) iliyokuwa ikifanya doria wakati wa Mkutano wa Leon H. Sullivan uliofanyika mjini hapa wiki iliyopita, imeanguka na kuua abiria wake wote sita. Kwa habari kamili bofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2008

    tatizo kubwa ni ubahili sjui wa mafuta au nini,ni nadra sana kuona marubani wakifanya mazoezi kama zamani au kamailivyo nchi jirani ya kenya,JK kama ulivyo amiri jeshi mkuu,wape jamaa uwezo wa kufanya mazoezi mara kwa mara la sivyo, iktokea balaa ujue ndege zitaanguka wakati zinaruka.
    pole wafiwa na watanzania wooote

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2008

    ukipiga ramli hapo lazima mchawi aonekane

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 10, 2008

    acha ushirikina wewe anon 2 MUOMBE MUNGU BABA WAKO.kila mtu na mauti yatamkuta

    mz. sekila

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...