Home
Unlabelled
helikopta iliyoanguka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inasemekana kwamba Helkopta hii imeanguka eneo la Oljoro
ReplyDeleteKUSANYENI IMFO HARAKA SANA HUO MKUTANO ULIKUWA MKUBWA NA WA AINA YAKE PAMOJA NA VIGOGO WENGI, NA AJALI IMETOKEA WAKATI WATU WANAONDOKA MKUTANONI,INAWEZA IKAWA NI AJALI TU NA AJALI HAINA KINGA.
ReplyDeleteWee bennet unauwakika maana wengine OLJORO wazazi ndio wamewekeza sasa tujue.michuzi chapu chapu please anyway ngoja nitwange homeee.lakini wewe bennet usijekuta unafanya utani wako ohhh
ReplyDeletemasikini na mali yake
Ina maana watu wamekufa na helikopta haikuharibika? au nimeiangalia vibaya au imeanguka vipi?
ReplyDeleteInasikitisha sana I hope hawakuwa wadandiaji wa vitu vya bure maana hiyo itakuwa noma itabidi uchunguzi uwe wa kutosha
ReplyDelete