Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2008

    Hapo Soo!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 17, 2008

    Huyo hana tofauti na Bw. Vicent aliemwaga sijui Upupu au ndumba bungeni kuwadhuru wenzie.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 17, 2008

    wanawake wengine balaa kaka kumuacha ndiyo itaongeza matatizo zaidi kwahiyo tunaangalia uwezekano mwingine kinachotakiwa akikisha alama za vidole vyako hazibakii kwenye hiyo drayer.mwache ajimalize mwenyewe kwani hapo wewe lawama huna tena wanasema kajiua huyo,naongopa michuzi?

    Mbega hapa

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 17, 2008

    anonymous wa 2 au michuzi naomba mnipe umbea. bwana vincent alimwaga upupu!!??!?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 18, 2008

    siyo vincent bwanani "vijisenti"

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 18, 2008

    hahah vijisenti au vicenti sio vincent.. HAHAHA..alikuwa karumanzira kwa siku 1

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...