Nimeguswa sana na study iliyo fanywa na IMF kuhusu madafu yetu (shilingi)- study hiyo ina conclude kwamba madafu ya Tanzania kwa sasa yananguvu kuliko ulimwengu unavyo dhani: Hebu soma hapa chini (mimi mdau- wa Juba- South Sudan) Adili- (tafadhali usitoe email address yangu)
IMF study says Tanzanian currency, economy undervalued ....
APA-Dar es Salaam (Tanzania)
A new International Monetary Fund study has concluded that Tanzania's exchange rate is currently modestly undervalued, APA learnt here Monday.
But the study predicts a slight strengthening of the currency vis-a-vis the hard currencies in the medium term, at levels consistent with a projected high GDP growth rate and expected recovery in the country's terms of trade.
The report bases its optimistic view of the country's currency on the grounds that capital inflows into Tanzania could be higher than currently expected, with investors keen to take advantage of Tanzania's natural resources and strong macroeconomic policies.
Tanzania's exchange rate has appreciated modestly in recent years, after a significant depreciation between 2000 and 2006.
In the period when the currency was weak, it was mainly a reflection of Tanzania's higher inflation relative to its trading partners.
But with inflation having hit single-digit levels, the currency started moving towards the real and effective level.
During April-July, Tanzania experienced significant portfolio inflows, mainly in the form of receipts from privatisation transactions — estimated at about US$250 million.
The country absorbs aid at the level of 8.5 percent of GDP compared with 4.5 percent of GDP for Foreign Direct Investments (FDI) inflows.
Overall, the IMF continues to be upbeat about Tanzania's economy, predicting that growth was expected to reach 7.5 percent this year, rising to 8 percent a year over the medium term.
JGN/nm/APA
2008-06-09


Wewe mdau wa Juba hii habari uliisoma kivipi?
ReplyDeleteUtakua mwehu ukichekelea hii report maana sioni kama imeakisi maisha halisi tunayoishi sisi bali imelenga katika kuhamasisha waporaji waje kujichotea mali asili zetu kutokana na sera mbovu za viongozi wetu wawakilishi wetu.Ningekua ni mimi ndio kiongozi wa nchi ningefuta mikataba yote ya madini ya vito,na kuimarisha mapato tunayostahili kupata kwenye gesi asilia,na kisha kujikita kwenye tourism industry ambayo ama kwa hakika kama tungekua serious kujifunza wenzetu Tunisia walifanya vipi hadi kufikia kuingiza hadi 20% ya foreign currency kwenye uchumi wao. Wakati sisi kilimo cha pamba kinachechemea wenzetu hawa wana export bidhaa za nguo zaidi ya 90%. Rais naye alituahidi mengi kwenye madini lakini mambo ni yale yale,watu tunaweza kujiuliza maisha bora ni kitu gani lakini kwa uelewa wangu maisha bora huletwa na serikali pale inapoweza kutusaidia kwa makusudi kupunguza gharama za maisha kupitia mapato ya kodi.Bei za mafuta hata ikiongezeka ili kupunguza mfumuko wa bei unaoletwa na kupanda kwa gharama za nishati hii serikali ingefidia bei hii na kuishusha hadi angalau 900 kwa lita moja,lakini hiyo pesa itatoka wapi ikiwa makampuni makubwa yanasamehewa kodi,wawekezaji wanapunguziwa kodi aau kusamehewa wakati wafanyakazi PAYE zipo juu,ukiagiza gari nje kodi yake waweza kuliacha gari lako lipigwe mnada.
ReplyDeleteLakini ndio TZ yetu hii tutafanyaje acha tu hao IMF watuume visogo huku joto ya jiwe tunaipata sisi tulao vumbi daily
gEoRGE
Soma kuhusu uchumi wa Tanzania kupitia hii link http://www.tptanzania.co.tz/economy_body.html
ReplyDeleteSOMA STORY HII TOKA GAZETI LA THE GUARDIAN
ReplyDeleteTanzania loses 400bn/- in mining over last decade - new research
2008-03-05 09:15:00
By Felister Peter
Findings of a new study on gold mining operations in the country launched yesterday have revealed that the government lost an estimated USD400m (more than 400bn/-) over the last ten years in low royalties, unpaid corporation tax and tax evasion.
The study, entitled: ``A Golden Opportunity - How Tanzania is failing to benefit from gold mining,`` was jointly undertaken by an independent association called Reference Group formed by researchers, legislators, religious leaders, and civil society organisations.
The research was carried out over the last three months, and members of the Reference Group went through all gold mining sites, before compiling the report.
The study reveals that over the last five years, Tanzania exported gold worth more than USD2.5bn (approximately 2.5tn/-), but received only USD21.7m (21bn/-) a year in royalties and taxes while the expectation was to get USD100m (over 100bn/-) annually.
Speaking during the launch of the report that documents the findings, some members of the Group said Tanzanians were not benefiting from gold resources because tax laws were favouring multinational mining companies.
They advised the government to review mining policies and amend laws governing mining activities in the country to ensure that the sector benefits the majority and boosts the national economy.
A member of the presidential commission formed to probe mining contracts, Zitto Kabwe said more efforts were needed to ensure that mining sector supports the development of other sectors.
``The government is lacking a development strategy which results into Tanzanians continuing to be poorer despite their country being among the largest gold producer in Africa,`` said Kabwe.
A Dar es Salaam lawyer cum researcher, Tundu Lissu, said the country`s economy was liberalised under the auspices of international multinationals whereby investment and tax laws were revised so that they favour foreign companies.
Another member of the Reference Group, from the National Muslim Council of Tanzania, Salum Fereji, said authorities in the country were not doing enough to stop thieves from plundering the country`s natural resources and wealth, leaving the majority to languish in abject poverty.
Tarime legislator, Chacha Wangwe, called for transparency and democracy in mining operations in the country, insisting on activists and all Tanzanians to play an active role in pushing for change.
``It`s now time for both of us to disclose anything wrong within the mining sector because we are the sources of change,`` said Wangwe.
Bishop Peter Mtura from the Christian Council of Tanzania (CCT) said that most of the villagers and the environment in some areas where mining sites were located had been adversely affected by chemicals, as dirty water was left to enter rivers and streams.
* SOURCE: Guardian
Siri iko hapa: investors keen to take advantage of Tanzania's natural resources.
ReplyDeleteHaya ndiyo mambo ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa, kuvishwa kilemba cha ukoka nk. Ni kama vile kila tukifanya jambo la kijinga tunasifiwa jinsi tulivyo na akili.
He hii sasa imekaa pabaya hata hela ya Congo wenye vita miaka yote inathamani kuliko madafu yetu?
ReplyDeleteTz kweli badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma kimaendeleo. Na hiyo ripoti ni kilemba cha ukoka.