
TANZANIANS IN DIASPORA SUMMIT NOV/DEC 2009 – FEEDBACK
Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), umepokea maoni ya Wanataaluma na Wadau mbalimbali kuhusiana na uwezekano wa kufanya Mkutano uliotajwa hapo juu. Tumepokea emails ziadi ya hamsini (50) na simu zaidi ya ishirini (20) kutoka ndani na nje ya nchi na pia kukutana na wadau zaidi ya kumi (10).
Wadau wengi zaidi ya asilimia 90% wameafiki wazo hili lakini pia wapo wachache waliobeza na kudhihaki wazo hili kupitia blog yetu hii ya jamii. Bado mawazo ya aina yote na mlengo wowote yanakaribishwa kupitia president@tpn.co.tz. Unaweza pia kuomba nakala ya majumuisho ya maoni ya wadau mbalimbali na ukatumiwa katika email yako baada ya wewe pia kutoa maoni yako.
Ili kuweza kufanya tathmini ya kutosha, TPN imeratibu mkutano wa Wanataaluma na Wadau utakaofanyika siku ya Ijuma Tarehe 27-06-2008 British Council kuanzia Saa 11 Jioni kujadili kwa kina wazo hili.
Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), umepokea maoni ya Wanataaluma na Wadau mbalimbali kuhusiana na uwezekano wa kufanya Mkutano uliotajwa hapo juu. Tumepokea emails ziadi ya hamsini (50) na simu zaidi ya ishirini (20) kutoka ndani na nje ya nchi na pia kukutana na wadau zaidi ya kumi (10).
Wadau wengi zaidi ya asilimia 90% wameafiki wazo hili lakini pia wapo wachache waliobeza na kudhihaki wazo hili kupitia blog yetu hii ya jamii. Bado mawazo ya aina yote na mlengo wowote yanakaribishwa kupitia president@tpn.co.tz. Unaweza pia kuomba nakala ya majumuisho ya maoni ya wadau mbalimbali na ukatumiwa katika email yako baada ya wewe pia kutoa maoni yako.
Ili kuweza kufanya tathmini ya kutosha, TPN imeratibu mkutano wa Wanataaluma na Wadau utakaofanyika siku ya Ijuma Tarehe 27-06-2008 British Council kuanzia Saa 11 Jioni kujadili kwa kina wazo hili.
Pia katika mkutano huo wawakilishi wa TPN waliohudhuria mkutano wa China-Africa na Sullivan watatoa report ya mikutano hiyo. Pia Contacts za Kibiashara za China na Marekani zitagawiwa.
Pia Watakaopenda kuunganisha Nguvu za Kibiashara na Wanataaluma wengine wanaalikwa kufika na watume maelezo yao biashara zao wiki moja kabla ya mkutano. Wote mnakaribishwa.
www.tpn.co.tz
www.tpn.co.tz


kingilio dola ngapi mzee?
ReplyDeleteTHE GAME OF BY-PASSING OTHER PEOPLE DESERTATIOM FOR
ReplyDeletePHD HAS BEEN DONE BY MANY AND I HAVE THEM ALL IN MY
FILE.LET ME GIVE YOU EXAMPLE
FROM DEPARTMENT OF DS, WHERE PROF MARJOE MBILINYI WHEN
SHE HAD MASTERS, A PHD STUDENT WHO IS NOW PASSED AWAY
ASKED FOR
MARJOE ASSISTNCE ON HIS GRAMER OF HIS ENGLISH
THESIS,MERJOE WAS TAKIMG EVERY NOTES THAT INTELGEENT
CHAGA BOY GIVE HIM AND SILENT
MISS MARJOE OR MRS MBILINYI PRESENTED THE THESIS AND
IT WAS PASED WHEN THEAT PRESENT HIS TITTLE THEY TOLD
HIM WAHT YOU
HAVE PRESENT HERE AS BEEN PRESENTED BY MRS MBILINYI(NB
THIS PARAGRAPH IS FULL OF FALACITY.)
OOH KUMBE SIO TNGP NI TPN
Tumaini,
ReplyDeleteYour English stinks, and your message is not clear even after my hard effort to correct your grammatical mistakes.
I suggest you ask the so called Miss Marjorie whom you are attacking to also help you with English grammar.
Or are you that intelligent Chagga boy that passed away coming back now to seek some revenge?
President
ReplyDeletesipendi kuandika sana.mimi ni kichwa,nakupa quote uichambue
.....Intense feeling too often obscures the truth - Harry S. Truman
UKWELI NI ASILIMIA KUBWA IMEKWAMBIA UACHE KUIGA HII SUMMIT, HUWEZI KU PROMOTE 'IMITATION' KWA KUMSAGA ALIYEVUMBUA
TOWN SUMMIT sio wazo zuri, rural village meetings ndio nzuri...kumbuka asilimia 82% ya wa tz wanaishi vijijini
ReplyDeletekuandaa summit za wa vaa suti kempinski hakutatua umaskini wetu, ni njia ya kupata pesa tu
Pia Contacts za Kibiashara za China na Marekani zitagawiwa.
ReplyDelete...another TANGIBLE FROM SULLIVAN SUMMIT
Diaspora ulaji mwingine.
ReplyDeleteMh.Tumaini andika kwa kiswahili kwani hiyo lugha ya watu unaibumunda kupita kiasi. Makala yako ingeeleweka kwa kiswahili. kwa mtu ambaye hajui kabisa kiswahili hataambulia hata moja zidi ya mchanganyiko wa maneneo ya kiingereza.
kiswahili ni lugha tukufu tuache kasumba ya kudhani kiingereza ndio usomi kumbe ni lugh akama nyingine tu. Lakini kama lengo lako ni kujifunza kiingeereza ruksa kuendelea lakini kama ni ku-communicate hamna kitu.
umepokea email 50 lakini umeshindwa kuwajibu email hata moja. hata kusema kusema thanks point noted? You have a long way to learn how to organize.
ReplyDeletekiingilio ni bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee au?
ReplyDeleteJOAN MAONI YAKO NIMEYA KUBALI KWA DHATI HIKI NI KIPINDI CHA MPITO. BAADA YA WIKI MOJA KUTOKA LEO UTAGUNDUA KWAMBA THAMANI YAKO WEWE KAMA MTANZANIA NI MABILIONI YA PESA NA UTAKUWA NA AKIBA YA KO USIHOFU. NAKUPONGEZA KWA KUAGA UMASIKINI FIKIRIFU UNAKARIBISHWA KWENYE UTAJIRI USIO NA MWISHO YAAA NI WA MILELE, VITABU VYA MUNGU VINASEMA SEMA UKWELI UWE HURU MAANA YAKE SEMA UWONGO UJIONGEZE MINYORORO. KWA KILA UKWELI UNAOONGEA KILA SIKU UHURU WAKO UNAONGEZEKA, NA KATIKA UONGO UNAOONGEA KILA SIKU VITANZI VYAKO VINAONGEZEKA. USISAHAU KUNA UONGO MTAKATIFU. KAMA MTU ANAULIZIA MWINGINE YUKO WAPI AMUUEWEWE UKASEMA HAYUPO ILI UMUOKOE HUU NI UONGO MTAKATIFU. NAONA KUNA KABURUDANI HAPA CHA WAWAKILISHI NA KISWAHILI
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/watch?v=AOfEtB4wbQw
Michu unazuia sana ushauri wetu.Sio wa matusi wala dharau.kwanini unamlinda sana Mr Presida
ReplyDeleteNashauri tena, TPN wachague tume huru kufanya feasibility study kuona kama hii TOWN SUMMIT (IMITATION) NI VIABLE AU LA. kuendesha taasisi ya wasomi transparency ni muhimu na corporate governance ndio mhimili mkuu wa ku sustain taasisi