juu niko na nakaaya sumary chini na miss universe tz 2008 amanda

miss universe tz 2008 amanda naye kaja kupata baraka kutoka kwa wazee huku a-taun

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 21 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 02, 2008

    ivi huyu nakaaya ana washauri kweli au?anapendaga sana kuvaa vikaptura vya aina hiyo halafu HAVIMPENDEZI anaonekana kama giant.

    halafu huyu amanda nilikua namsema kumbe ana umbo la kimiss hivyo??BIG UP

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 02, 2008

    weeee michuzi weee mko wapi hapo mbona pamejificha sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 02, 2008

    huto tumiguu mhhhh teh teh teh

    bamuda shorts zina wenyewe

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 02, 2008

    hivi michuzi huwa una enjoy kuwashka shika hawa mademu nini? duu babu poa eeh. na ndo hichi tu tulichojaliwa sisi wabongo yani kila mare mara sijui fashionshow hii mara sijui vile mara hivi, pigeni kitabu eeh mnafikiri vitakusaidiyeni nini hivi vishow show.ujinga na upumbavu mtupu, wenzetu wa west africa wanakwenda mbele na elimu sisi tumebaki na mambo ya kijinga jinga.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 02, 2008

    kaka issa kwa kubambiabambia sikuwezi sa huo mkonoziiiii kwenye mviringo wa dunia ndo tusemaje au ndo utambuzi wa mabara kwenye mambo ya jiografia?haya bwana watakufuata wenyewe daily news

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 03, 2008

    Najua taaluma yako ni mpiga picha sasa inakuwa inashangaza kukuona umepigwa picha ,je ni nani anakupiga picha hizo,tunapenda kuona kazi zako,kama mpiga picha sio wewe kupigwa picha,hali hiyo imekuwa inajitokeza pia kwa mdogo wako.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 03, 2008

    mbona ilo get linaonekana kama la kuingia guest house mlienda kufanyeje

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 03, 2008

    naweye wacha wivu, Michuzi hajajificha ila ni Mikonooooz, hapo ni kwenye babda la maonyesho la deile nyuuuuz pale sulivan ambako michuzi amekuwa kivutio kikubwa sana hapa a-town. wadau wengi walikuwa wanamsikiaga tu.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 03, 2008

    Nakaaya is very beautiful,anavutia kutoka kila angle she is actualy her self,go mama

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 03, 2008

    anon wa 9:29PM umenichekesha sana....sasa wewe wasiwasi wako nini?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 03, 2008

    Top photo reminds me of Brigitte Nielsen standing side by side with Eddie Murphy in Beverly Hills Cop II...

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 03, 2008

    Wameletwa na mazee yao!Hayataki kuwa MISS

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 03, 2008

    Wabongo saa zingine hamna cha kuongea sasa miguu ya nakaaya inakasoro gani?halafu mtu unavaa uwe comfortable na unavyopenda wewe binfasi, hi sio fashion show h,kama ma box yamekulemea sema sio uanze kukandia vitu ambavyo havina maana tena na hisi we vimiguu vyako kama tooth pick changanya mbele

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 03, 2008

    Misupu,
    Siku nyingine usikubali kupiga picha na Nakaaya, maana imebidi mpaka demu ainame kidogo ili angalau mlingane na bado hakufanikiwa hakufanikiwa.

    Labda ukivaa raizon unaweza kumkuta na ukampunguzia shida ya kuinama. Yaani ni noma demu akiwa mrefu halafu awe amekula mikonoz!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 03, 2008

    Hiii!!!Kaka Misupu! huyo demu wa Juu jina lake??naniii!hi!NAKAYA!
    mbona mrefu kakuzidi kimo ?umenikumbusha Pepe kale na Emoro! enzi zile!
    Huyu Demu wa chini poa !laki mkono wako naona kama unaelekea kushuka chini kunako??kiu?no naniii!?

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 03, 2008

    JAMANI LEAVE NAKAAYA ALONE! akivaa bamuda shorts sijui kikaptura si kataka yeye, kwani mpaka wote tuwe na miguu mizuri.mnachosha bwana

    halafu kuna anon mmoja kaongea kuhusu michuzi kupigwa picha ACHA PUMBA kwa kuwa yeye mpiga picha basi yeye hatakiwi kupigwa?mbona kaweka nyingi picha alizozipiga humu,iweje usiseme siku zote,useme leo..UMBEA TU

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 03, 2008

    mmmh weee nakaya embu jifunze kuvaa!! ndo vaa gani hiyo,,,!!

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 03, 2008

    Haya Mechoose,Mzee wa Konooooz,Kazi kwako KUSUKA au KUNYOA!Hapo VIFAA VYOTE VIKALI.Tukuone sasa utaangukia wapi,mambo siyo mchezo mze!Ukumbuke Kunawa tu kabla ya Kula!

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 03, 2008

    HATERZ, stop hating!whats wrong with Nakaaya's outfit??? GF U looking good.

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 04, 2008

    Nkaya huo uvaaji na hicho kipara utadhani msagaji.. ana limwili mwili fulani hivi

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 05, 2008

    MICHUZ,TAFADHALI WACHA MALIZA .............. SHAURI YAKO MIMI SIMO,TUTAKUKONG`OLIIII. INABIDI TUKUENDEE "BIG" BAGAMOYO.UTAJIKUNA WE! MKA KESHOKUTWA ASUBUHI. TEEEEEE HIII TE HIII TETETE.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...