Salaam Michuzi,
Naomba uiweke http://udadisi.blogspot.com/ katika listi yako ya blogu mbalimbali kwenye http://issamichuzi.blogspot.com/.
Bado wanaharakati tunasubiria uweke picha za semina ya blogu uliyoiendesha kwa 'mbwembwe nyingi' pale TGNP!
Asante,
Chambi
Unamuomba Michuzi akuweka kwake wakati wewe mwenyewe kwake hujamuweka, lol!
ReplyDeleteAsante Anon, ushauri wako wa bure nimeufanyia kazi. Naona ndio "Nipe Nikupe" hiyo!
ReplyDeletechambi chachage fanya fanya uhimarishe web yako.imelala!
ReplyDelete