Mama Veronica Kibwana wa Mbezi, Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha mume wake, Jackob Kibwana, kilichotokea nyumbani kwao Africana, Mbezi, Dar es Salaam, Siku ya Jumamosi, tarehe 14/6/2008, saa kumi na mbili Asubuhi.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao, hapo hapo Africana, Mbezi na mazishi yatakuwa siku ya Jumatano, tarehe 18/6/2008, katika makaburi ya kinondoni.
Habari ziwafikie watoto wa marehemu, Steven na Sebastian, wanaoishi London, Uingereza, Mrs Diane Deo Mushi wa Regent Estate Dar es Salaam, ukoo wote waA Kibwana, Ukoo wote wa Mallya, Ukoo wote Munishi, ndugu na jamaa wote.

Kwa taarifa za ziada kuhusiana na msiba, wasiliana na wafuatao

- Tony Uronu +255-715-825258
- Deo Mushi +255-787-500111
- Jay Madeleka +255-774-267112

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2008

    Poleni ndugu zangu.
    Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi!

    Elifaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...