sehemu ya kikos cha yanga enzi hizo wakati rais wa tff leodegar tenga alikuwa akicheza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 19, 2008

    Yanga imara Yanga imara! Simba makopo Simba makopo!

    Kama umezaliwa juzi juzi huwezi kujua wimbo huo...

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 19, 2008

    unanikumbusha mwimbo wa yanga imara yanga imara,simba makopo simba makopo

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 19, 2008

    Kwa nini wacheza mpira wa soka huwa wanapenda kukunja mikono yao, kama inavyoonekana hapo pichani, wakati wa kupigwa picha?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 19, 2008

    Naona unarudi Yanga kimkanda mkanda.Weka wazi sema wewe ni Yanga wadau wajue moja wacha kutega watu.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 19, 2008

    hahaaa, hii kali kweli.Kumbe kipindi hicho walikuwa wanacheza wachezaji tisa tu.
    Halafu hizo addidas za wakati huo mnaziona machizi.
    Big up Tenga

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 19, 2008

    Jamani nisahihisheni kama sikosei,timu ya kabumbu si wana wachezaji 11 kila upande,sasa mbona hapo kuna vijana tisa tuu...au hilo boli la mitaani???

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 19, 2008

    Naomba msamaha kama majina hayo sio sahihi,labda Zitto Kiaratu atusaidie...waliosimama Kitwana,simjui,Tenga,Boi,Kapera na Chitete...waliochuchuma Bona,Kilambo,simjui

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 20, 2008

    Mbona simjui wako wawili?

    Big Sam

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 20, 2008

    MH.MKUU WA WILAYA YA TEGETA,AHSANTE KWA PICHA YA KUMBUKUMBU,AWA WACHWZAJI AWAKUWA NA WAFADILI LAKINI WALIJITUMA SANA,NAOMBA NIWAKILISHE KIKOSI AMBACHO NAHISI KILIKUWA CHA MWISHO KWA UNGANGALI JANGWANI
    1.HAMISI KINYE
    2.YUSUFU ISMAIL BANA
    3.AHMED AMASHA
    4.ALAN SHOMARI
    5.ATHUMANI CHAMA JOGOO
    6.JUMA MKAMBI GENERAL
    7.HUSSEIN IDD
    8.BINIFASI MKWASA
    9.MAKUMBI JUMA HOMA YA JIJI
    10.OMARI HUSSEIN
    11.JUMA KAMPALA.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 23, 2008

    waliosimama kitwana manara,-,leodgar tenga,boi iddi,omar kapera- waliokaa ni bona max,muhaji muki na mwinda ramadhani.hapa kilambo alikuwa amejiuzulu na kuwa kocha wa yanga vijana wakiwemo juma pondamali,adolph rishard,kassim manara,mohamed mkweche gordian mapango,mohamed yahya tostao n.k.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...