jide akiendelea kuonesha njia ya namna ya kuwa agresivu kwenye biashara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2008

    jamani style nyingine mh!!! Hata mumewe hawezi kumshauri?? hicho kitu alichofunga mbele ya uso kwenye nyewele KULIKONI? AHH Jamani, dada umeshafika hata Ughaibuni lakini style zako za kishamba tu bado ni za Musoma nini?
    Samahani dada lakini niko na waungwana kibao hapa niandikapo maoni haya. HII STYLE YA NYWELE BOMU. KILA MTU ANAKUBALIANA NA HILI/

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2008

    mimi naona huyu dada mnamkosesha raha,cha msingi mumushauri ki saikoroji ili asione kama mnamuchukia. huyo ndiye super star wetu wa taifa changa.

    Taifa lililodumaa au kubemendwa.
    na siku likikomaa na masuper star wetu watajua style kama kawaida.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2008

    Jay Dee kwa kweli tunakupenda .... ila badilisha hiyo staili ya nywele haijatulia kabisa

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2008

    We chakubanga(MPORIPORI) wa kwanza hapo juu mbona una chuki binafsi,style ya nywele kaipenda yeye we haikuhusu hata kama ingekua ya musoma au penginepo we inakuuma nini??au iko kichwani mwako???!!!!! mana misielewi kusuka asuke yeye we uumie.Hata angenyoa upara haikuhusu.Afu unasema kwanini mmewe asimshauri,mmewe ndo kaipenda hiyo style na anafurahi mkewe akisuka hivo.We mshauri mkeo usiingilie mambo ya watu,kilaza we.
    miss R.Nyange-London

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 26, 2008

    Jamani, mume wake atasema nini? na wakati hawajaambatana bado kama Biblia inavyosema. Wakisha ambatana, basi mume atakuwa na la kusema kwa mkewe. Kuambatana si KAZI NDOGO.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 26, 2008

    Michuzi,
    Nimesoma ktk vyombo vya habari kuwa serikali kwa miaka minne sasa ipo ktk mchakato wa kupata waalimu 250 wa lugha ya kiswahili, ambao serikali ya Nigeria kupitia kwa Olesugun Obasanjo waliwahitaji.

    Nafikiri serikali yetu inahitaji msaada wa dada yetu huyu na blogu yako ya jamii ili watanzania wachangamkie ulaji huu huko Nigeria na nafasi zingine 750 za ualimu wa kiswahili Libya, Congo.

    Je wadau mna mawazo gani na 'mchakato' huu wa muda mrefu kuzuia ulaji kwa watanzania nchi za nje?
    Mdau
    Bi Chakumwenda
    Kibaha Mwendapole.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 26, 2008

    Wewe Anon hapo juu kama unawasema wamasai si useme tu. Musoma hakuna style hiyo kati ya makabila 26 yote.May be unalako jambo!! Kama ushamba ushamba wake mwenyewe!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 26, 2008

    Lady Jay Dee AKA(Mrs EBBO) Mr EBBO upo kaka, mpaka aanze kuimba kimasai indio uelewe.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 26, 2008

    Hii imetulia, haya ndio mambo ya ujasirili mali kujitangaza ndio mafanikio sio kwenda bagamoyo....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...